Skip to main content

Posts

Showing posts from August, 2023

Zaidi ya Fahamu/Uko Mwenyewe | Henrick Mruma ft. Clara Minja | Song Lyrics

  Wewe Mungu wa ajabu, Unafanya Maajabu Pale ninaposhindwa Unafanya Mwenyewe   [Repeat]   Zaidi ya fahamu zangu Zaidi ya mawazo yangu Zaidi ya akili yangu Zaidi ya upeo wangu [Repeat}   Uko Mwenyewe Uko Mwenyewe Hakuna wa mfano wako Bwana Uko mwenyewe. [Repeat]   Tazama naenda mbele, wala Hakuna Narudi nyuma tena, Lakini siwezi kumwona kama Wewe. [Repeat]   (Kama wewe, Kama wewe) Wala hakuna (Kama wewe, Kama wewe) Lakini siwezi kumwona kama wewe. [Repeat]   Tazama naenda mbele, wala Hakuna Narudi nyuma tena, Lakini siwezi kumwona kama Wewe. [Repeat]   Wa mfano wako Wa uweza wako Wa mfano wako Wa uweza wako. [Repeat]   Tazama naenda mbele, wala Hakuna Narudi nyuma tena, Lakini siwezi kumwona kama Wewe. [Repeat]            

Nindagutia | Paul Mwai | Lyrics

Verse 1 Jehovah, Kihoti Wa Mothe, Unene Waku, Ni Wakugegania, Nduriri ciothe, Ni Ikuinamagirira Nayo Ngoro ino, Igagutiwe wemunene CHORUS Ni dagutia, Ni dagutia We wambararitio, iguro muno Ni dagutia, Ni dagutia Ndakuinamirira, We Mutheru Verse 2 Nindiririirie, Gutuarana nawe, Na Kuigua Tu, Mugambo Waku Naguo Uthingu Waku, Utuike Irio Ciakwa, Gia giikaro riu, Thiinii Wakwa Udue Mutheru Verse 3 Nguenda Gukuona, We Uturaga Muoyo, Nguenda gukumenya,  Nyonia Njira Ciaku, Ndikuenda guitongoria,  Muturireini Uyu, Dakuhe Ngoro Ino, Na Meciria Makwa Twarana Na nii

Maritwa Mega | Tony Kinyua | Lyrics

  Verse 1 Wi Ngai, Kiambiriria ona muico Wi Ngai Mumbi, Ningi we nduombiruo Yahweh El-Olam, Ngai uria uri hinya Wi maritwa mega, nindaguthathaiya     Chorus Wi Ihua, Ihua riakwa ria Gituamba, Wi Riuha, niwe unjaragira, Thamaka nowe Muruthi wa Juda Wi maritwa mega nitwaguthathaiya Wi maritwa mega nindaguthathaiya     Verse 2 Rapha Ngai uria uhonanagia Jireh, wi Ngai Muheani, Tsidkenu we nowe uthingu wakwa Wi maritwa mega nindaguthathaiya     Verse 3 El-Elyon we wi iguru muno Rohi wi Ngai uria wonaga Elohim, Elshaddai, El Olam Maritwa mathaka, Ingigweta mothe, rwimbo rutingithira

Utukufu na Heshima | Ali Mukhwana | Lyrics

  Utukufu na heshima Bwana Ni zako Yahweh Ni zako usiyeshindwa Utukufu na heshima Bwana Ni zako Yahweh Ni zako usiyeshindwa Wewe uliyenihesabia haki Kwa neema yako Ni zako usiyeshindwa Mnara wangu wa utukufu Na kinga yangu Ni wewe usiyeshindwa   Haki yako Bwana yanitangulia Utukufu wako wanifuata Ni wewe usiyeshindwa Ninayemtegemea ni wewe Ngao yangu ni wewe Ni wewe usiyeshindwa Uliyenichagua ni wewe Uzima wangu ni wewe Ni wewe usiyeshindwa Anilindaye kwa mabaya ni wewe Ni wewe Bwana Ni wewe Bwana usiyeshindwa Aliye kama wewe ni nani? Mwenye heshima kama zako ni nani? Mwenye upendo kama wako ? Mwenye neema ? Mwenye kubariki kama wewe? Mwenye kuinua kama wewe?   Maamlaka yote hapa duniani Na kule mbinguni Ni yako usiyeshindwa