Skip to main content

Posts

Showing posts with the label Swahili song

Israel Mbonyi | Malengo ya Mungu | Lyrics

  Atakaye kuwa na wema Ahitajie kuheshimiwa Basi aende ayatafute kwa kutenda mema bila kusita Asiyajali macho ya watu Maana yao sio muhimu Bali ajali jina nimuitalo Kwani mi ni Mungu aliyemuumba Chorus Ninayajua yangu malengo Ni mema sio mabaya Ili niwape matumaini ya siku zijazo Nawapenda Wambieni wenye huzuni Tulizeni wenye majelaha Wambieni waje waone Tuna Mungu mwingi wa upendo Alitukuta tukigagaa dhambini akatutoa Katuosha na kutusafisha Akatuahidi uzima wa milele Verse 2 Simameni kwenye mnara, usubiri ntakacho kisema Zizuieni sauti za muovu Na upende kuwa mwenye haki Nenda omba tena uombe Tofautisha kuomba kwako, Maana hapo nitakuokoa Nitaoa jeshi kubwa kwa ajili yako

Ila YESU | Henrick Mruma | LYRICS

  Umejawa nazo nguvu Umeketi enzini Jina lako la shangaza,  La stajabisha Yesu (Repeat) Chorus Ila Yesu nimekunyoshea mikono Unatisha, haulinganishiki hata iweje (Repeat) Umetamalaki, umetamalaki, Uko juu sana Ya miungu yote Jina lako halifanani Hali lingani Na miungu mingine (Repeat) Chorus Ila Yesu nimekunyoshea mikono Unatisha, haulinganishiki hata iweje Umetamalaki, umetamalaki, Uko juu sana Ya miungu yote Jina lako halifanani Hali lingani Na miungu mingine (Repeat) Waamamisha milima Wapasua bahari Wafungua vifungo Wafufua wafu Chorus Ila Yesu nimekunyoshea mikono Unatisha, haulinganishiki hata iweje Umetamalaki, umetamalaki, Uko juu sana Ya miungu yote Jina lako halifanani Hali lingani Na miungu mingine (Repeat)

REJESHA | Njoki Munyi | LYRICS

Ijapo safari iwe na ugumu Utanishika mkono Ijapo adui aje kwa vishindo Bado wewe uko nami Iwapo safari iwe na huzuni Utayapanguza machozi Ijapo adui aje kwa vishindo Bado wewe uko nami Chorus Utayarejesha maono yangu Miaka yote iliyoliwa na nzige Nimeona wema wako Na nguvu zako maishani mwangu Iwapo safari iwe na giza Utaangaza njia zangu Ijapo adui aje kwa vishindo Bado wewe uko nami Iwapo safari iwe na ukame Wewe ni maji ya uzima Ijapo adui aje kwa vishindo Bado wewe uko nami Chorus Utayarejesha maono yangu Miaka yote iliyoliwa na nzige Nimeona wema wako Na nguvu zako maishani mwangu Refrain Akisema ndio akuna wa kupinga Nitasimama kwa agano lake Nimeona aa wema wako Na nguvu zako maishani mwangu Akifungua mlango hakuna atakaye funga Amesema amesema, Hakuna wa kupinga Nimeona aa wema wako Na nguvu zako maishani mwangu Akikubariki hakuna wakupinga Simama leo kwa hilo neno Nimeona aa wema wako Na nguvu zako maishani mwangu Akikuponya wewe umepona Simama leo kwa ahadi zake Nimeona aa we...

Sitasahau | Kestin Mbogo ft. Pst. Emmanuel Mule | LYRICS

  Najirusha chini ya miguu yako, Yesu nasema ahsante, Nimerudi na shukurani kwako, Sawasawa na yale umetenda, Mataifa yote na yaisikie Sauti yangu leo Nitaimba nitasifu nitakiri Sawasawa na yale umetenda Chorus Nakuabudu, Nakutukuza, Nakuinua Pokea sifa wewe ni Mungu Refrain Sitasahau, Sitasahau, Siwezisahau Mema umenitendea Bridge Mito: Umenivusha Jangwa: Umenivusha Moto: Umenivusha Sitasahau Mawimbi: Umetuliza Dhoruba: Umetuliza Njia: Katengeneza Sitasahau Neno lako: Umetimiza Ahadi: Umetimiza Njia: Katengeneza Sitasahau Magonjwa: Umeniponya Moyo: Umeniponya Dambi zangu zote: Umesamehe Sitasahau Kibali: Umenivisha Heshima: Umenivisha Wema: Umenivisha Sitasahau Refrain Sitasahau, Sitasahau, Siwezisahau, Mema Umenitendea Baba Asante Baba Asante Umenitendea Baba asante(repeat)

Paul Clement - Unaweza Yesu ( Official Video )

  Utukuzwe wewe uwezaye kufanya, Mambo ya ajabu mno Bwana. Kuliko yote tuyaombayo, Unaweza Yesu. Utukuzwe wewe uwezaye kutenda, Mambo ya ajabu mno Bwana. Kuliko yote tuyawazayo, Unaweza Yesu...×2 CHORUS Unaweza kufanya, Unaweza kutenda, Yaliyo makubwa, Unaweza Yesu.×2 Unaweza kufanya Unaweza kutenda Yaliyo makubwa Unaweza Yesu ×2 VERSE 1 Ibrahimu na Sarah walijua, Hawawezi kupata mtoto tena, Lakini Mungu ukawashangaza, Zaidi ya walivyowaza. Lazaro alikufa, akaoza kabisa, Siku nne alilala kaburini Lakini Yesu ukamfufua Lazaro akawa hai tena. BRIDGE. Zaidi ya... (Iyeee) Tuombayo...(Iyeee) Zaidi ya... (Iyeee) Tuwazayo...(Iyee) Unaweza kufanya Unaweza Yesu CHORUS Unaweza kufanya Unaweza kutenda Yaliyo makubwa Unaweza Yesu ×2 Verse 2 Nani alijua kama ungefanya njia, Katikati ya bahari ya shamu, Umeishangaza dunia, Hakuna linalokushinda. Nani alijua ile mifupa mikavu, Inaweza kuwa hai tena, Kwa pumzi ya uhai wako, Mifupa ikawa jeshi kubwa. BRIDGE. Zaidi ya... (Iyeee) Tuombayo....

Neema Gospel Choir - Victory Declaration (Live Music Video)

  Tumesimama juu ya mwamba Kamwe hatutatikisika Hatuna shaka Ndani ya Yesu tuko salama Tumesimama juu ya mwamba Kamwe hatutatikisika Hatuna shaka Ndani ya Yesu tuko salama Tumesimama juu ya mwamba Kamwe hatutatikisika Hatuna shaka Ndani ya Yesu tuko salama Tumesimama juu ya mwamba Kamwe hatutatikisika Hatuna shaka Ndani ya Yesu tuko salama Tumekimbilia kwake Tumesitirika kwake Katukumbatia kwa mbawa zake Hatuna shaka Ndani ya Yesu tuko salama Tumekimbilia kwake Tumesitirika kwake Katukumbatia kwa mbawa zake Hatuna shaka Ndani ya Yesu tuko salama Ni yake haya mapenzi mema Ni yake hii nyingi neema Ni yake haya mapenzi mema Ni yake hii nyingi neema Ni yake haya mapenzi mema Ni yake hii nyingi neema Ni yake haya mapenzi mema Ni yake hii nyingi neema Ni yake haya mapenzi mema Ni yake hii nyingi neema Ni yake haya mapenzi mema Ni yake hii nyingi neema Imetimia kwetu Ameifanya kweli Ahadi yake Imetimia kwetu Ameifanya kweli Ahadi yake Imetimia kwetu Ameifanya kweli Ahadi yake Imetimia kwe...

Joel Lwaga - Olodumare (Official Lyric Video) | Song Lyrics

Oh Baba Olodumare, My one and the only, The giver of Life, Equal to none  Hapa nasimama cos uko na mimi You never let me go Mipaka yangu umeitanulia mbali Even sky sio limit kwa hii kibali Hata haters wanashangilia  Kwa ndani umewa‘win’ hao! Sina kingine mimi najivunia zaidi yako Baba Ndio maana niko tuli nimetulia, we hunaga baya Hata wale wananionea husuda shabaha yao mbaya Watanipataje Mwamba umenifunika Bure wata‘tire’ Cos I know you You got me wey You got me You got me wey You got me Papa You got me wey You got me That’s why I never, never, never fall down You got me wey You got me You got me wey You got me Papa You got me wey You got me That’s why I never, never, never fall down Nikiteleza Baba unaniinua Hujanitupa wala hujanijutia Kama ni toba zimejaa gunia Ukweli ni kwamba tu umenihurumia Ningekulipa nini kama ungetaka Nilipe jema moja moja Maana hata hii pumzi ninayovuta Hakuna Dollar ingetosha Sina kingine mimi najivunia zaidi yako Baba Ndio maana niko tuli nimetulia...