Skip to main content

Posts

Showing posts with the label kenyan gospel

Kestin Mbogo ft. Peter Watako | Ni Jina La Yesu | Lyrics

  Ni jina La Yesu Ni jina la Yesu oh Latupa nguvu na mamlaka Latupa nguvu na mamlaka (Repeat) Viwete watembea Viziwi wasikia Vipofu wanaona Wagonjwa wanapona Kwa hilo jina lake Yesu Kwa hilo jina lake Yesu Ni jina La Yesu Ni jina la Yesu oh Latupa nguvu na mamlaka Latupa nguvu na mamlaka (Repeat) Nyororo zinavunjwa Wokovu tunapata Na nguvu tunapewa Mamlaka tunajazwa Kwa hilo jina lake Yesu Kwa hilo jina lake Yesu Ni jina La Yesu Ni jina la Yesu oh Latupa nguvu na mamlaka Latupa nguvu na mamlaka (Repeat) Latupa nguvu na mamlaka Latupa nguvu na mamlaka (Repeat)

UTUKUZWE | EUNICE NJERI MUTHII | LYRICS

Baba we ni moto wewe mtakatifu Wewe ndiwe Mungu pekee Tena we sauti ukinena nani apinge Nasema we sauti Ukisema ni ndio na amina  Njia ya uzima, kweli na uhai niwe Baba we ni mot wewe mtakatifu Wewe ndiwe Mungu pekee Nasema we sauti ukinena nani apinge Nasema we sauti Ukisema ni ndio na amina  Njia ya uzima, kweli na uhai niwe Njia ya uzima, kweli na uhai niwe Utukuzwe Bwana, utukuzwe Utuzwe Bwana, milele Sifa zako bado zaenea Bwana utukuzwe Utukuzwe Bwana, utukuzwe Utuzwe Bwana, milele Sifa zako bado zaenea Bwana utukuzwe  Moyo wangu nauegemeza kwako Na macho yangu nakuinulia tena Uhai wangu nimeachilia kwako Baba Wastahili nakusalimu, nakusalimu Yesu Utukuzwe Bwana, utukuzwe Utuzwe Bwana, milele Sifa zako bado zaenea Bwana utukuzwe  Hallelujah eeh, halleluja aah Hallelujah eeh, halleluja aah (Ni kwa nani) Hallelujah eeh, halleluja aah (Ni kwa Yesu) Hallelujah eeh, halleluja aah (Inua kabisa) Hallelujah eeh, halleluja aah Utukuzwe Bwana, utukuzwe Utuzwe Bwana, milel...

Jane Aller | Wastahili (Worthy) | LYRICS

  Malaika wakuabudu, Wewe wastahili Maserafi na makerubi, Wakusujudu Wastahili kuabudiwa, Wewe wastahili  Wastahili kusujudiwa, Wewe wastahili Naungana na Malaika miguuni pako nikisema hakika wastahili  Naungana na Maserafi miguuni pako nikisema hakika wastahili Wastahili, wastahili wastahili mwokozi You are worthy  You are worthy  You are worthy Lamb of God Wagiriire Wageriire,  Wagiriire Mwathani

Sitasahau | Kestin Mbogo ft. Pst. Emmanuel Mule | LYRICS

  Najirusha chini ya miguu yako, Yesu nasema ahsante, Nimerudi na shukurani kwako, Sawasawa na yale umetenda, Mataifa yote na yaisikie Sauti yangu leo Nitaimba nitasifu nitakiri Sawasawa na yale umetenda Chorus Nakuabudu, Nakutukuza, Nakuinua Pokea sifa wewe ni Mungu Refrain Sitasahau, Sitasahau, Siwezisahau Mema umenitendea Bridge Mito: Umenivusha Jangwa: Umenivusha Moto: Umenivusha Sitasahau Mawimbi: Umetuliza Dhoruba: Umetuliza Njia: Katengeneza Sitasahau Neno lako: Umetimiza Ahadi: Umetimiza Njia: Katengeneza Sitasahau Magonjwa: Umeniponya Moyo: Umeniponya Dambi zangu zote: Umesamehe Sitasahau Kibali: Umenivisha Heshima: Umenivisha Wema: Umenivisha Sitasahau Refrain Sitasahau, Sitasahau, Siwezisahau, Mema Umenitendea Baba Asante Baba Asante Umenitendea Baba asante(repeat)

Sitafa Moyo | Paul Mwai | Lyrics

Tulipo ianza safari,tulikuwa wengi sana Wengine wamepoteza imani yao,na kurudi nyuma wakafa moyo Lakini kwa neema na fadhili zako,Ebenezer umeniwezesha Sitafa Moyo, Ninajua, Wewe uliniita, Umwaminifu, Kazi ulioanza, Maishani mwangu, Nakuamini utaimaliza Sitafa Moyo, Ninajua, Wewe uliniita, Umwaminifu, Kazi ulioanza, Maishani mwangu, Nakuamini utaimaliza Umenitoa,mbali sana Na safari yangu,ni ndefu sana Milima na mabonde,nimepanda umbali umenileta nimekuona Bwana Umechukua laana zangu,ili niishi Umwema na mwaminifu,nakupenda Rabii Sitafa Moyo, Ninajua, Wewe uliniita, Umwaminifu, Kazi ulioanza, Maishani mwangu, Nakuamini utaimaliza Sasa roho yangu,nisikize Sema unazo nguvu,maana anaishi Usidhani umaskini,sema umepata Aishie ndani yako, ni mkuu saana Sitafa Moyo, Ninajua, Wewe uliniita, Umwaminifu, Kazi ulioanza, Maishani mwangu, Nakuamini utaimaliza Mimi sitahofu,sitakata tamaa Wewe ulinifia,najua unaishi Wewe ulichagua,kufa niishi Uaminifu wako Rabii,hauna kipimo Sitafa moyo (sitahangai...

BAHATI - YAHWEH (Official Video) | Lyrics

Yahweh, Yahweh eh Mwamba wangu, we ni Mungu wangu Yahweh, Yahweh eh Mwamba wangu, nguvu yangu Inao nyingi shinda, umenipa ushindi Walipoteta Baba, ulisimama nami Baba wakati wa vita, ukaniita mshindi Kwa waisraeli ukaleta maji jangwani Umenibeba ka mtototo, na mama Umetimiza ndototo, za zama Umenibeba ka mtototo, na mama Umetimiza ndototo, zangu za zama Baba Yahweh, Yahweh eh Mwamba wangu, we ni Mungu wangu Yahweh, Yahweh eh Mwamba wangu, nguvu yangu Kwa hii safari, nifikishe salama Ingawa mitego mingi niondolee njiani Ninapokosa shukrani lawama Baba rehema zako kwangu hazikomi Baba niondolee, nami nikujue kiundani Niondolee kilicho ndani hakikupendezi Niondolee, marafiki wanafiki Niondolee Yesu niondolee Yahweh, Yahweh eh Mwamba wangu, we ni Mungu wangu Yahweh, Yahweh eh Mwamba wangu, nguvu yangu Umenibeba ka mtototo, na mama Nimetimiza ndototo, za zama Umenibeba ka mtototo, na mama Nimetimiza ndototo, zangu za zama Baba Yahweh, Yahweh eh Muumba wangu, nguvu yangu Yahweh, Yahweh eh Mw...

Zaidi ya Fahamu/Uko Mwenyewe | Henrick Mruma ft. Clara Minja | Song Lyrics

  Wewe Mungu wa ajabu, Unafanya Maajabu Pale ninaposhindwa Unafanya Mwenyewe   [Repeat]   Zaidi ya fahamu zangu Zaidi ya mawazo yangu Zaidi ya akili yangu Zaidi ya upeo wangu [Repeat}   Uko Mwenyewe Uko Mwenyewe Hakuna wa mfano wako Bwana Uko mwenyewe. [Repeat]   Tazama naenda mbele, wala Hakuna Narudi nyuma tena, Lakini siwezi kumwona kama Wewe. [Repeat]   (Kama wewe, Kama wewe) Wala hakuna (Kama wewe, Kama wewe) Lakini siwezi kumwona kama wewe. [Repeat]   Tazama naenda mbele, wala Hakuna Narudi nyuma tena, Lakini siwezi kumwona kama Wewe. [Repeat]   Wa mfano wako Wa uweza wako Wa mfano wako Wa uweza wako. [Repeat]   Tazama naenda mbele, wala Hakuna Narudi nyuma tena, Lakini siwezi kumwona kama Wewe. [Repeat]