Skip to main content

Posts

Showing posts with the label kenyan gospel

Sitafa Moyo | Paul Mwai | Lyrics

Tulipo ianza safari,tulikuwa wengi sana Wengine wamepoteza imani yao,na kurudi nyuma wakafa moyo Lakini kwa neema na fadhili zako,Ebenezer umeniwezesha Sitafa Moyo, Ninajua, Wewe uliniita, Umwaminifu, Kazi ulioanza, Maishani mwangu, Nakuamini utaimaliza Sitafa Moyo, Ninajua, Wewe uliniita, Umwaminifu, Kazi ulioanza, Maishani mwangu, Nakuamini utaimaliza Umenitoa,mbali sana Na safari yangu,ni ndefu sana Milima na mabonde,nimepanda umbali umenileta nimekuona Bwana Umechukua laana zangu,ili niishi Umwema na mwaminifu,nakupenda Rabii Sitafa Moyo, Ninajua, Wewe uliniita, Umwaminifu, Kazi ulioanza, Maishani mwangu, Nakuamini utaimaliza Sasa roho yangu,nisikize Sema unazo nguvu,maana anaishi Usidhani umaskini,sema umepata Aishie ndani yako, ni mkuu saana Sitafa Moyo, Ninajua, Wewe uliniita, Umwaminifu, Kazi ulioanza, Maishani mwangu, Nakuamini utaimaliza Mimi sitahofu,sitakata tamaa Wewe ulinifia,najua unaishi Wewe ulichagua,kufa niishi Uaminifu wako Rabii,hauna kipimo Sitafa moyo (sitahangai...

BAHATI - YAHWEH (Official Video) | Lyrics

Yahweh, Yahweh eh Mwamba wangu, we ni Mungu wangu Yahweh, Yahweh eh Mwamba wangu, nguvu yangu Inao nyingi shinda, umenipa ushindi Walipoteta Baba, ulisimama nami Baba wakati wa vita, ukaniita mshindi Kwa waisraeli ukaleta maji jangwani Umenibeba ka mtototo, na mama Umetimiza ndototo, za zama Umenibeba ka mtototo, na mama Umetimiza ndototo, zangu za zama Baba Yahweh, Yahweh eh Mwamba wangu, we ni Mungu wangu Yahweh, Yahweh eh Mwamba wangu, nguvu yangu Kwa hii safari, nifikishe salama Ingawa mitego mingi niondolee njiani Ninapokosa shukrani lawama Baba rehema zako kwangu hazikomi Baba niondolee, nami nikujue kiundani Niondolee kilicho ndani hakikupendezi Niondolee, marafiki wanafiki Niondolee Yesu niondolee Yahweh, Yahweh eh Mwamba wangu, we ni Mungu wangu Yahweh, Yahweh eh Mwamba wangu, nguvu yangu Umenibeba ka mtototo, na mama Nimetimiza ndototo, za zama Umenibeba ka mtototo, na mama Nimetimiza ndototo, zangu za zama Baba Yahweh, Yahweh eh Muumba wangu, nguvu yangu Yahweh, Yahweh eh Mw...

Zaidi ya Fahamu/Uko Mwenyewe | Henrick Mruma ft. Clara Minja | Song Lyrics

  Wewe Mungu wa ajabu, Unafanya Maajabu Pale ninaposhindwa Unafanya Mwenyewe   [Repeat]   Zaidi ya fahamu zangu Zaidi ya mawazo yangu Zaidi ya akili yangu Zaidi ya upeo wangu [Repeat}   Uko Mwenyewe Uko Mwenyewe Hakuna wa mfano wako Bwana Uko mwenyewe. [Repeat]   Tazama naenda mbele, wala Hakuna Narudi nyuma tena, Lakini siwezi kumwona kama Wewe. [Repeat]   (Kama wewe, Kama wewe) Wala hakuna (Kama wewe, Kama wewe) Lakini siwezi kumwona kama wewe. [Repeat]   Tazama naenda mbele, wala Hakuna Narudi nyuma tena, Lakini siwezi kumwona kama Wewe. [Repeat]   Wa mfano wako Wa uweza wako Wa mfano wako Wa uweza wako. [Repeat]   Tazama naenda mbele, wala Hakuna Narudi nyuma tena, Lakini siwezi kumwona kama Wewe. [Repeat]            

Nindagutia | Paul Mwai | Lyrics

Verse 1 Jehovah, Kihoti Wa Mothe, Unene Waku, Ni Wakugegania, Nduriri ciothe, Ni Ikuinamagirira Nayo Ngoro ino, Igagutiwe wemunene CHORUS Ni dagutia, Ni dagutia We wambararitio, iguro muno Ni dagutia, Ni dagutia Ndakuinamirira, We Mutheru Verse 2 Nindiririirie, Gutuarana nawe, Na Kuigua Tu, Mugambo Waku Naguo Uthingu Waku, Utuike Irio Ciakwa, Gia giikaro riu, Thiinii Wakwa Udue Mutheru Verse 3 Nguenda Gukuona, We Uturaga Muoyo, Nguenda gukumenya,  Nyonia Njira Ciaku, Ndikuenda guitongoria,  Muturireini Uyu, Dakuhe Ngoro Ino, Na Meciria Makwa Twarana Na nii

Maritwa Mega | Tony Kinyua | Lyrics

  Verse 1 Wi Ngai, Kiambiriria ona muico Wi Ngai Mumbi, Ningi we nduombiruo Yahweh El-Olam, Ngai uria uri hinya Wi maritwa mega, nindaguthathaiya     Chorus Wi Ihua, Ihua riakwa ria Gituamba, Wi Riuha, niwe unjaragira, Thamaka nowe Muruthi wa Juda Wi maritwa mega nitwaguthathaiya Wi maritwa mega nindaguthathaiya     Verse 2 Rapha Ngai uria uhonanagia Jireh, wi Ngai Muheani, Tsidkenu we nowe uthingu wakwa Wi maritwa mega nindaguthathaiya     Verse 3 El-Elyon we wi iguru muno Rohi wi Ngai uria wonaga Elohim, Elshaddai, El Olam Maritwa mathaka, Ingigweta mothe, rwimbo rutingithira

Utukufu na Heshima | Ali Mukhwana | Lyrics

  Utukufu na heshima Bwana Ni zako Yahweh Ni zako usiyeshindwa Utukufu na heshima Bwana Ni zako Yahweh Ni zako usiyeshindwa Wewe uliyenihesabia haki Kwa neema yako Ni zako usiyeshindwa Mnara wangu wa utukufu Na kinga yangu Ni wewe usiyeshindwa   Haki yako Bwana yanitangulia Utukufu wako wanifuata Ni wewe usiyeshindwa Ninayemtegemea ni wewe Ngao yangu ni wewe Ni wewe usiyeshindwa Uliyenichagua ni wewe Uzima wangu ni wewe Ni wewe usiyeshindwa Anilindaye kwa mabaya ni wewe Ni wewe Bwana Ni wewe Bwana usiyeshindwa Aliye kama wewe ni nani? Mwenye heshima kama zako ni nani? Mwenye upendo kama wako ? Mwenye neema ? Mwenye kubariki kama wewe? Mwenye kuinua kama wewe?   Maamlaka yote hapa duniani Na kule mbinguni Ni yako usiyeshindwa

HAKUNA USILOWEZA | LYRICS - JACKIE M. OBIERO

  Hakuna usiloweza, Hakuna usiloweza   Nakwabudu kwa Roho Naye Roho anipa ufahamu Kwamba wewe ni mungu Ushindwi na lolote Wewe ni Mungu wa vyote   Hakuna usiloweza, Hakuna usiloweza Hakuna usiloweza, Hakuna usiloweza   Waonyesha rehema kwa yule upendaye, Sio kwa nguvu, mamlaka, ila kwa Roho wako tu, Ni rehema yako kwa mwanadamu kumfanyia mema Ni rehema yako tu, kwa mwanadamu wee kumfanyia mema Ni rehema, rehema, rehema yako, watufanyia mema Ah ukipendezwa, pendezwa wewe wa angaza njia zetu uu Mungu mkubwa, Mungu mkubwa eh Haku-u-una   Hakuna usiloweza, Hakuna usiloweza   Hakuna usiloweza, Hakuna usiloweza   Hakuna usiloweza, Hakuna usiloweza

FAITH MBUGUA HAKUNA MUNGU KAMA WEWE | LYRICS

  Hakuna Mungu Kama wewe Hakuna Mungu Kama wewe Uko juu sana wala kule kuzimu Hakuna mungu kama wewe (Repeat)   Ndiri na ciugo jiganiru Ciakwaria uhoro wa unene waku hindi ndahoya tauria uturaga moyo honania inya waku umuthi   Gutiri ngai ungi tawe Gutiri ngai ungi tawe Iguru mono ona kuria kuriku

MercyLinah - Mwenye Nguvu (Official Video)| LYRICS

  Utendaye mambo makuu yasiyotafutikana Mambo ya ajabu yasiyohesabika Ufanyaye njia jangwani Na mito ya maji nyikani Eeeh Mungu mwaminifu usiyeshindwa   Mwenye Nguvu, Ni wee mwenye mamlaka, ni wee Mwenye uweza, ni wee Ehh Yahwe, ni wee   Ooh Yahwe, Yahwe Oooh Yahwe Twakuheshimu Twakuabudu

Mungu Wetu By Israel Ezekia (Official Video) | LYRICS

Mungu Wetu, Mwenye uweza wote, Tunakuimamia, Mtawala wa Kila kilichopo,  Tunakupa sifa wewe Twa kwabudu Yesu, Twakuinua Yesu, Wema wako, Fadhili zako, Huruma zako, Uweza wako,  Yesu, wee wa pekee