Skip to main content

Posts

Showing posts with the label Kenyan gospel music

Eve Nyasha Ngoloma Ft Rebekah Dawn | Bila Wewe Siwezi | Lyrics

  Verse 1 Nimeonja wema wako (I've tasted Your godness) Nimeona uzuri wako (I've seen Your beauty) Naamini we ni yule yule (I believe You're still the same) Uliyetenda toka mwanzo (The One who's been faithful from the start) Basi ninakuamini (So I put my trust in You) Hata nikiwa mabondeni (Even in my lowest valleys) Naamini we ni yule yule (I believe You're still the same) Unayetembea nami (Walking beside me) Pre-Chorus Njoo hima uniokoe Bwana (Make haste, come and save me, Lord) Usichelewe niokoe Bwana (Don't delay, rescue me, Lord) Chorus Bila wewe siwezi, Siwezi Bwana (I can't make it without You, I can't, Lord) Pekee yangu siwezi, Siwezi Bwana (Left to myself, I can't make it, I can't, Lord) Bila wewe siwezi, Siwezi Bwana (I can't make it without You, I can't, Lord) Pekee yangu siwezi, Siwezi Bwana (Left to myself, I can't make it, I can't, Lord) Verse 2 Mwenye haki akilia (When the righteous one cries out) Bwana unamsikia (Y...

Naomi Wasonga | Wewe ni Mwema | Lyrics

  Twakutukuza Twakuinua Wewe ni Mungu Wastahili sifa (Fadhili zako) Ni mpya kila siku asubui (Wema wako) Wanizunguka pande zote (Yesu) Wewe ni mwema Wewe ni mwema Nitakuimbia maana umetukuka sana Farasi na mpanda farasi umewatupa baharini Bwana ni guvu zangu, tena wimbo wangu Nitakusifu wewe siku zote Wewe ni mwema Wewe ni mwema Wewe ni mwema Wewe ni mwema Wewe ni mwema  Mwema aaah ahh ah

Monica Gloria - Unajibu | Lyrics

  Verse 1 Unajua haya ya moyo wangu (You know the desire of my heart) Unajua ombi la moyo wangu (You know the prayer of my heart) Unajibu kwa wakati wako (You answer at your time) Unajibu kwa wakati unaofaa (You answer at the right time)*2 Chorus Ahadi zako ni Kweli na Amina (Your promises are Yeh and Amen) Neno lako ni Kweli na Amina (Your word is Yes and Amen) Njia zako ni kweli na Amina (Your ways are true/Yes and Amen) Verse 2 Bwana umetamalaki juu ya dunia na miungu yote (Lord you rule over the world/universe and all gods ) Umeamua Idadi ya nyota na kuzipa zote jina zao (You've determined the number of the stars; you've called them each by name) Maarifa yako hayaeleweki, umesimamisha sayari bila hata nguzo (Your knowledge is beyond comprehension, you've held the planet without any pillar) Ewe Mungu, ewe Mungu wa ajabu (You God*2 , are awesome ) Ewe Mungu, ewe u mkuu (You God*2, Are great) Chorus Ahadi zako ni Kweli na Amina (Your promises are Yeh and Amen) Neno...

Kestin Mbogo ft. Peter Watako | Ni Jina La Yesu | Lyrics

  Ni jina La Yesu Ni jina la Yesu oh Latupa nguvu na mamlaka Latupa nguvu na mamlaka (Repeat) Viwete watembea Viziwi wasikia Vipofu wanaona Wagonjwa wanapona Kwa hilo jina lake Yesu Kwa hilo jina lake Yesu Ni jina La Yesu Ni jina la Yesu oh Latupa nguvu na mamlaka Latupa nguvu na mamlaka (Repeat) Nyororo zinavunjwa Wokovu tunapata Na nguvu tunapewa Mamlaka tunajazwa Kwa hilo jina lake Yesu Kwa hilo jina lake Yesu Ni jina La Yesu Ni jina la Yesu oh Latupa nguvu na mamlaka Latupa nguvu na mamlaka (Repeat) Latupa nguvu na mamlaka Latupa nguvu na mamlaka (Repeat)

AYALA | EUNICE NJERI MUTHII | LYRICS

  Nafsi yangu, zaidi yatamani maskani yako Mungu mwenye enzi Moyo wangu na mwili huu Wakulilia ee Mungu Jua langu, Ngao yangu Wanipa neema na utukufu Hakuna kitu chema Wewe wanyima watafutao uso wako  Kama ayala, aionavyo kiu Ndivyo nafsi yangu yakutamani (Repeat) Naweka moyo kweye hija Bonde la kilio nitapita  Naweka moyo kweye hija Sayuni kwako nisimame (Repeat) Nimekukimbilia, chemichemi ya uzima (Repeat)

REJESHA | Njoki Munyi | LYRICS

Ijapo safari iwe na ugumu Utanishika mkono Ijapo adui aje kwa vishindo Bado wewe uko nami Iwapo safari iwe na huzuni Utayapanguza machozi Ijapo adui aje kwa vishindo Bado wewe uko nami Chorus Utayarejesha maono yangu Miaka yote iliyoliwa na nzige Nimeona wema wako Na nguvu zako maishani mwangu Iwapo safari iwe na giza Utaangaza njia zangu Ijapo adui aje kwa vishindo Bado wewe uko nami Iwapo safari iwe na ukame Wewe ni maji ya uzima Ijapo adui aje kwa vishindo Bado wewe uko nami Chorus Utayarejesha maono yangu Miaka yote iliyoliwa na nzige Nimeona wema wako Na nguvu zako maishani mwangu Refrain Akisema ndio akuna wa kupinga Nitasimama kwa agano lake Nimeona aa wema wako Na nguvu zako maishani mwangu Akifungua mlango hakuna atakaye funga Amesema amesema, Hakuna wa kupinga Nimeona aa wema wako Na nguvu zako maishani mwangu Akikubariki hakuna wakupinga Simama leo kwa hilo neno Nimeona aa wema wako Na nguvu zako maishani mwangu Akikuponya wewe umepona Simama leo kwa ahadi zake Nimeona aa we...

UTUKUZWE | EUNICE NJERI MUTHII | LYRICS

Baba we ni moto wewe mtakatifu Wewe ndiwe Mungu pekee Tena we sauti ukinena nani apinge Nasema we sauti Ukisema ni ndio na amina  Njia ya uzima, kweli na uhai niwe Baba we ni mot wewe mtakatifu Wewe ndiwe Mungu pekee Nasema we sauti ukinena nani apinge Nasema we sauti Ukisema ni ndio na amina  Njia ya uzima, kweli na uhai niwe Njia ya uzima, kweli na uhai niwe Utukuzwe Bwana, utukuzwe Utuzwe Bwana, milele Sifa zako bado zaenea Bwana utukuzwe Utukuzwe Bwana, utukuzwe Utuzwe Bwana, milele Sifa zako bado zaenea Bwana utukuzwe  Moyo wangu nauegemeza kwako Na macho yangu nakuinulia tena Uhai wangu nimeachilia kwako Baba Wastahili nakusalimu, nakusalimu Yesu Utukuzwe Bwana, utukuzwe Utuzwe Bwana, milele Sifa zako bado zaenea Bwana utukuzwe  Hallelujah eeh, halleluja aah Hallelujah eeh, halleluja aah (Ni kwa nani) Hallelujah eeh, halleluja aah (Ni kwa Yesu) Hallelujah eeh, halleluja aah (Inua kabisa) Hallelujah eeh, halleluja aah Utukuzwe Bwana, utukuzwe Utuzwe Bwana, milel...