Skip to main content

Posts

Showing posts with the label Kiswahili song

Paul Clement - Unaweza Yesu ( Official Video )

  Utukuzwe wewe uwezaye kufanya, Mambo ya ajabu mno Bwana. Kuliko yote tuyaombayo, Unaweza Yesu. Utukuzwe wewe uwezaye kutenda, Mambo ya ajabu mno Bwana. Kuliko yote tuyawazayo, Unaweza Yesu...×2 CHORUS Unaweza kufanya, Unaweza kutenda, Yaliyo makubwa, Unaweza Yesu.×2 Unaweza kufanya Unaweza kutenda Yaliyo makubwa Unaweza Yesu ×2 VERSE 1 Ibrahimu na Sarah walijua, Hawawezi kupata mtoto tena, Lakini Mungu ukawashangaza, Zaidi ya walivyowaza. Lazaro alikufa, akaoza kabisa, Siku nne alilala kaburini Lakini Yesu ukamfufua Lazaro akawa hai tena. BRIDGE. Zaidi ya... (Iyeee) Tuombayo...(Iyeee) Zaidi ya... (Iyeee) Tuwazayo...(Iyee) Unaweza kufanya Unaweza Yesu CHORUS Unaweza kufanya Unaweza kutenda Yaliyo makubwa Unaweza Yesu ×2 Verse 2 Nani alijua kama ungefanya njia, Katikati ya bahari ya shamu, Umeishangaza dunia, Hakuna linalokushinda. Nani alijua ile mifupa mikavu, Inaweza kuwa hai tena, Kwa pumzi ya uhai wako, Mifupa ikawa jeshi kubwa. BRIDGE. Zaidi ya... (Iyeee) Tuombayo....

Yesu Nakupenda | Henrick Mruma | Lyrics

  Yesu Yesu nakupenda U Mwamba wangu, Dhabiti, imara, milele Yesu Yesu nakupenda U Mwamba wangu, Dhabiti, imara, milele Yesu Yesu nakupenda U mwamba wangu, Dhabiti, imara, milele Yesu Yesu nakupenda U mwamba wangu, Dhabiti, imara milele Yale umetenda kwangu Sijaweza kuhesabu Oh o nakupenda Yesu We Mwamba wangu Yesu Yesu nakupenda U Mwamba wangu, Dhabiti, imara, milele Yesu Yesu nakupenda U Mwamba wangu, Dhabiti, imara, milele Yale umetenda kwangu Sijaweza kuhesabu Oh o nakupenda Yesu We Mwamba wangu Yale umetenda kwangu Sijaweza kuhesabu Oh o nakupenda Yesu We Mwamba wangu Yale umetenda kwangu Sijaweza kuhesabu Oh o nakupenda Yesu We Mwamba wangu Yale umetenda kwangu Sijaweza kuhesabu Oh o nakupenda Yesu We Mwamba wangu Nakupenda Yesu We Mwamba wangu Nakupenda Yesu We Mwamba wangu Nakupenda Yesu We Mwamba wangu Nakupenda Yesu We Mwamba wangu

Sitafa Moyo | Paul Mwai | Lyrics

Tulipo ianza safari,tulikuwa wengi sana Wengine wamepoteza imani yao,na kurudi nyuma wakafa moyo Lakini kwa neema na fadhili zako,Ebenezer umeniwezesha Sitafa Moyo, Ninajua, Wewe uliniita, Umwaminifu, Kazi ulioanza, Maishani mwangu, Nakuamini utaimaliza Sitafa Moyo, Ninajua, Wewe uliniita, Umwaminifu, Kazi ulioanza, Maishani mwangu, Nakuamini utaimaliza Umenitoa,mbali sana Na safari yangu,ni ndefu sana Milima na mabonde,nimepanda umbali umenileta nimekuona Bwana Umechukua laana zangu,ili niishi Umwema na mwaminifu,nakupenda Rabii Sitafa Moyo, Ninajua, Wewe uliniita, Umwaminifu, Kazi ulioanza, Maishani mwangu, Nakuamini utaimaliza Sasa roho yangu,nisikize Sema unazo nguvu,maana anaishi Usidhani umaskini,sema umepata Aishie ndani yako, ni mkuu saana Sitafa Moyo, Ninajua, Wewe uliniita, Umwaminifu, Kazi ulioanza, Maishani mwangu, Nakuamini utaimaliza Mimi sitahofu,sitakata tamaa Wewe ulinifia,najua unaishi Wewe ulichagua,kufa niishi Uaminifu wako Rabii,hauna kipimo Sitafa moyo (sitahangai...

Neema Gospel Choir - Victory Declaration (Live Music Video)

  Tumesimama juu ya mwamba Kamwe hatutatikisika Hatuna shaka Ndani ya Yesu tuko salama Tumesimama juu ya mwamba Kamwe hatutatikisika Hatuna shaka Ndani ya Yesu tuko salama Tumesimama juu ya mwamba Kamwe hatutatikisika Hatuna shaka Ndani ya Yesu tuko salama Tumesimama juu ya mwamba Kamwe hatutatikisika Hatuna shaka Ndani ya Yesu tuko salama Tumekimbilia kwake Tumesitirika kwake Katukumbatia kwa mbawa zake Hatuna shaka Ndani ya Yesu tuko salama Tumekimbilia kwake Tumesitirika kwake Katukumbatia kwa mbawa zake Hatuna shaka Ndani ya Yesu tuko salama Ni yake haya mapenzi mema Ni yake hii nyingi neema Ni yake haya mapenzi mema Ni yake hii nyingi neema Ni yake haya mapenzi mema Ni yake hii nyingi neema Ni yake haya mapenzi mema Ni yake hii nyingi neema Ni yake haya mapenzi mema Ni yake hii nyingi neema Ni yake haya mapenzi mema Ni yake hii nyingi neema Imetimia kwetu Ameifanya kweli Ahadi yake Imetimia kwetu Ameifanya kweli Ahadi yake Imetimia kwetu Ameifanya kweli Ahadi yake Imetimia kwe...

Moyo | Eliya Mwantondo ft Paul Seleli | Lyrics

Naomba Uniguze Bwana Naomba Uniguze Bwana Guza moyo wangu Guza moyo wangu Naomba Uniguze Bwana Naomba Uniguze Bwana Guza moyo wangu Guza moyo wangu Naomba uniponye Bwana Naomba uniponye Bwana Ponya moyo wangu Ponya moyo wangu Naomba uniponye Bwana Naomba uniponye Bwana Ponya moyo wangu Ponya moyo wangu Naomba Uniguze Bwana Naomba Uniguze Bwana Guza moyo wangu Guza moyo wangu Naomba unigange Bwana Naomba unigange Bwana Ganga moyo wangu Ganga moyo wangu Naomba Uniguze Bwana Naomba Uniguze Bwana Guza moyo wangu Guza moyo wangu Yesu wee eeh ewe Yesu wee eeh ewe Guza moyo wangu Guza moyo wangu Yesu wee eeh ewe Yesu wee eeh ewe Ponya moyo wangu Ponya moyo wangu Yesu wee eeh ewe Yesu wee eeh ewe Ponya moyo wangu Ponya moyo wangu Yesu wee eeh ewe Yesu wee eeh ewe Ponya moyo wangu Ponya moyo wangu Moyo wangu, Moyo wangu Nataka Nikuabudu wewe Yesu Moyo wangu Moyo wangu, Moyo wangu Nataka ukuabudu wewe Yesu Moyo wangu Moyo wangu, Moyo wangu Nataka ukuabudu wewe Yesu Moyo wangu Maisha yangu, Maish...

Paul Clement Ft Victor Maestro - Baraka (Official Video ) | Lyrics

  Ananiongezea baraka Naiona tofauti ya leo na jana Ananiongezea baraka Huyu ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka Ananiongezea baraka Naiona tofauti ya leo na jana Ananiongezea baraka Huyu ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka Ananiongezea baraka Naiona tofauti ya leo na jana Ananiongezea baraka Huyu ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka Ananiongezea baraka Naiona tofauti ya leo na jana Ananiongezea baraka Huyu ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka Amenijibu zaidi ya vile nivyo muomba Nimemuomba Kazi amenipa na ndoa Nimemuomba watoto amenipa na gari Huyu yesu anazidi kuninyeshea mvua ya baraka eh (Chants) Ananiongezea baraka Naiona tofauti ya leo na jana Ananiongezea baraka Nii Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka Ananiongezea baraka Naiona tofauti ya leo na jana Ananiongezea baraka Ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka Ananiongezea baraka Naiona tofauti ya leo na jana Ananiongezea baraka Ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka Yeye aliye ia—nzisha safari Ataimaliza,yeye mwenye...