Skip to main content

Sitafa Moyo | Paul Mwai | Lyrics


Tulipo ianza safari,tulikuwa wengi sana

Wengine wamepoteza imani yao,na kurudi nyuma wakafa moyo

Lakini kwa neema na fadhili zako,Ebenezer umeniwezesha


Sitafa Moyo, Ninajua,

Wewe uliniita, Umwaminifu,

Kazi ulioanza, Maishani mwangu,

Nakuamini utaimaliza


Sitafa Moyo, Ninajua,

Wewe uliniita, Umwaminifu,

Kazi ulioanza, Maishani mwangu,

Nakuamini utaimaliza


Umenitoa,mbali sana

Na safari yangu,ni ndefu sana

Milima na mabonde,nimepanda umbali umenileta nimekuona Bwana

Umechukua laana zangu,ili niishi

Umwema na mwaminifu,nakupenda Rabii


Sitafa Moyo, Ninajua,

Wewe uliniita, Umwaminifu,

Kazi ulioanza, Maishani mwangu,

Nakuamini utaimaliza


Sasa roho yangu,nisikize

Sema unazo nguvu,maana anaishi

Usidhani umaskini,sema umepata

Aishie ndani yako, ni mkuu saana


Sitafa Moyo, Ninajua,

Wewe uliniita, Umwaminifu,

Kazi ulioanza, Maishani mwangu,

Nakuamini utaimaliza


Mimi sitahofu,sitakata tamaa

Wewe ulinifia,najua unaishi

Wewe ulichagua,kufa niishi

Uaminifu wako Rabii,hauna kipimo


Sitafa moyo (sitahangaika)

Mi najua,(nakutumainia wewe)wewe uliniita

Umwaminifu(uliyeanza kazi moyoni mwangu)Kazi ulioanza(nakutegemea)

Maishani mwangu(usiye na mwisho)nakuamini utaimaliza(najua umwema)

Sitafa moyo

Ninajua,wewe uliniita

Umwaminifu,Kazi ulioanza

Maishani mwangu,nakuamini utaimaliza


Usiyedharau mwanadamu yeyote

Oooooh oooooh,nakuamini(nakutumainia wewe)

Oooooh oooooh,utaimaliza


Comments

Popular posts from this blog

KARURA VOICES - USIKUBALI | LYRICS

Nitaishi aje kama mtu Asiyekujuwa Usikubali Na wakati wangu ukifika Uniite nyumbani Kama hodari Na shetani akiomba ruhusa Aniangamize Usikubali Na shetani akiomba ruhusa Anikandamize Usikubali Chorus Usikubali Usikubali Siogopi kifo Naogopa kufa na sikujui Siogopi moto Sio wangu moto ni wa aadui Nimependwa na Baba Baba ah Alinifia Mwana Mwana ah Nimejazwa na Roho Roho oh Baba, Mwana, Roho

Sitasahau | Kestin Mbogo ft. Pst. Emmanuel Mule | LYRICS

  Najirusha chini ya miguu yako, Yesu nasema ahsante, Nimerudi na shukurani kwako, Sawasawa na yale umetenda, Mataifa yote na yaisikie Sauti yangu leo Nitaimba nitasifu nitakiri Sawasawa na yale umetenda Chorus Nakuabudu, Nakutukuza, Nakuinua Pokea sifa wewe ni Mungu Refrain Sitasahau, Sitasahau, Siwezisahau Mema umenitendea Bridge Mito: Umenivusha Jangwa: Umenivusha Moto: Umenivusha Sitasahau Mawimbi: Umetuliza Dhoruba: Umetuliza Njia: Katengeneza Sitasahau Neno lako: Umetimiza Ahadi: Umetimiza Njia: Katengeneza Sitasahau Magonjwa: Umeniponya Moyo: Umeniponya Dambi zangu zote: Umesamehe Sitasahau Kibali: Umenivisha Heshima: Umenivisha Wema: Umenivisha Sitasahau Refrain Sitasahau, Sitasahau, Siwezisahau, Mema Umenitendea Baba Asante Baba Asante Umenitendea Baba asante(repeat)

Jane Aller | Wastahili (Worthy) | LYRICS

  Malaika wakuabudu, Wewe wastahili Maserafi na makerubi, Wakusujudu Wastahili kuabudiwa, Wewe wastahili  Wastahili kusujudiwa, Wewe wastahili Naungana na Malaika miguuni pako nikisema hakika wastahili  Naungana na Maserafi miguuni pako nikisema hakika wastahili Wastahili, wastahili wastahili mwokozi You are worthy  You are worthy  You are worthy Lamb of God Wagiriire Wageriire,  Wagiriire Mwathani