Skip to main content

Sitafa Moyo | Paul Mwai | Lyrics


Tulipo ianza safari,tulikuwa wengi sana

Wengine wamepoteza imani yao,na kurudi nyuma wakafa moyo

Lakini kwa neema na fadhili zako,Ebenezer umeniwezesha


Sitafa Moyo, Ninajua,

Wewe uliniita, Umwaminifu,

Kazi ulioanza, Maishani mwangu,

Nakuamini utaimaliza


Sitafa Moyo, Ninajua,

Wewe uliniita, Umwaminifu,

Kazi ulioanza, Maishani mwangu,

Nakuamini utaimaliza


Umenitoa,mbali sana

Na safari yangu,ni ndefu sana

Milima na mabonde,nimepanda umbali umenileta nimekuona Bwana

Umechukua laana zangu,ili niishi

Umwema na mwaminifu,nakupenda Rabii


Sitafa Moyo, Ninajua,

Wewe uliniita, Umwaminifu,

Kazi ulioanza, Maishani mwangu,

Nakuamini utaimaliza


Sasa roho yangu,nisikize

Sema unazo nguvu,maana anaishi

Usidhani umaskini,sema umepata

Aishie ndani yako, ni mkuu saana


Sitafa Moyo, Ninajua,

Wewe uliniita, Umwaminifu,

Kazi ulioanza, Maishani mwangu,

Nakuamini utaimaliza


Mimi sitahofu,sitakata tamaa

Wewe ulinifia,najua unaishi

Wewe ulichagua,kufa niishi

Uaminifu wako Rabii,hauna kipimo


Sitafa moyo (sitahangaika)

Mi najua,(nakutumainia wewe)wewe uliniita

Umwaminifu(uliyeanza kazi moyoni mwangu)Kazi ulioanza(nakutegemea)

Maishani mwangu(usiye na mwisho)nakuamini utaimaliza(najua umwema)

Sitafa moyo

Ninajua,wewe uliniita

Umwaminifu,Kazi ulioanza

Maishani mwangu,nakuamini utaimaliza


Usiyedharau mwanadamu yeyote

Oooooh oooooh,nakuamini(nakutumainia wewe)

Oooooh oooooh,utaimaliza


Comments

Popular posts from this blog

Paul Clement - Unaweza Yesu ( Official Video )

  Utukuzwe wewe uwezaye kufanya, Mambo ya ajabu mno Bwana. Kuliko yote tuyaombayo, Unaweza Yesu. Utukuzwe wewe uwezaye kutenda, Mambo ya ajabu mno Bwana. Kuliko yote tuyawazayo, Unaweza Yesu...×2 CHORUS Unaweza kufanya, Unaweza kutenda, Yaliyo makubwa, Unaweza Yesu.×2 Unaweza kufanya Unaweza kutenda Yaliyo makubwa Unaweza Yesu ×2 VERSE 1 Ibrahimu na Sarah walijua, Hawawezi kupata mtoto tena, Lakini Mungu ukawashangaza, Zaidi ya walivyowaza. Lazaro alikufa, akaoza kabisa, Siku nne alilala kaburini Lakini Yesu ukamfufua Lazaro akawa hai tena. BRIDGE. Zaidi ya... (Iyeee) Tuombayo...(Iyeee) Zaidi ya... (Iyeee) Tuwazayo...(Iyee) Unaweza kufanya Unaweza Yesu CHORUS Unaweza kufanya Unaweza kutenda Yaliyo makubwa Unaweza Yesu ×2 Verse 2 Nani alijua kama ungefanya njia, Katikati ya bahari ya shamu, Umeishangaza dunia, Hakuna linalokushinda. Nani alijua ile mifupa mikavu, Inaweza kuwa hai tena, Kwa pumzi ya uhai wako, Mifupa ikawa jeshi kubwa. BRIDGE. Zaidi ya... (Iyeee) Tuombayo....

Paul Clement Ft Victor Maestro - Baraka (Official Video ) | Lyrics

  Ananiongezea baraka Naiona tofauti ya leo na jana Ananiongezea baraka Huyu ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka Ananiongezea baraka Naiona tofauti ya leo na jana Ananiongezea baraka Huyu ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka Ananiongezea baraka Naiona tofauti ya leo na jana Ananiongezea baraka Huyu ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka Ananiongezea baraka Naiona tofauti ya leo na jana Ananiongezea baraka Huyu ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka Amenijibu zaidi ya vile nivyo muomba Nimemuomba Kazi amenipa na ndoa Nimemuomba watoto amenipa na gari Huyu yesu anazidi kuninyeshea mvua ya baraka eh (Chants) Ananiongezea baraka Naiona tofauti ya leo na jana Ananiongezea baraka Nii Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka Ananiongezea baraka Naiona tofauti ya leo na jana Ananiongezea baraka Ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka Ananiongezea baraka Naiona tofauti ya leo na jana Ananiongezea baraka Ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka Yeye aliye ia—nzisha safari Ataimaliza,yeye mwenye...

Zaidi ya Fahamu/Uko Mwenyewe | Henrick Mruma ft. Clara Minja | Song Lyrics

  Wewe Mungu wa ajabu, Unafanya Maajabu Pale ninaposhindwa Unafanya Mwenyewe   [Repeat]   Zaidi ya fahamu zangu Zaidi ya mawazo yangu Zaidi ya akili yangu Zaidi ya upeo wangu [Repeat}   Uko Mwenyewe Uko Mwenyewe Hakuna wa mfano wako Bwana Uko mwenyewe. [Repeat]   Tazama naenda mbele, wala Hakuna Narudi nyuma tena, Lakini siwezi kumwona kama Wewe. [Repeat]   (Kama wewe, Kama wewe) Wala hakuna (Kama wewe, Kama wewe) Lakini siwezi kumwona kama wewe. [Repeat]   Tazama naenda mbele, wala Hakuna Narudi nyuma tena, Lakini siwezi kumwona kama Wewe. [Repeat]   Wa mfano wako Wa uweza wako Wa mfano wako Wa uweza wako. [Repeat]   Tazama naenda mbele, wala Hakuna Narudi nyuma tena, Lakini siwezi kumwona kama Wewe. [Repeat]