Skip to main content

Posts

Showing posts with the label paul mwai

Sitafa Moyo | Paul Mwai | Lyrics

Tulipo ianza safari,tulikuwa wengi sana Wengine wamepoteza imani yao,na kurudi nyuma wakafa moyo Lakini kwa neema na fadhili zako,Ebenezer umeniwezesha Sitafa Moyo, Ninajua, Wewe uliniita, Umwaminifu, Kazi ulioanza, Maishani mwangu, Nakuamini utaimaliza Sitafa Moyo, Ninajua, Wewe uliniita, Umwaminifu, Kazi ulioanza, Maishani mwangu, Nakuamini utaimaliza Umenitoa,mbali sana Na safari yangu,ni ndefu sana Milima na mabonde,nimepanda umbali umenileta nimekuona Bwana Umechukua laana zangu,ili niishi Umwema na mwaminifu,nakupenda Rabii Sitafa Moyo, Ninajua, Wewe uliniita, Umwaminifu, Kazi ulioanza, Maishani mwangu, Nakuamini utaimaliza Sasa roho yangu,nisikize Sema unazo nguvu,maana anaishi Usidhani umaskini,sema umepata Aishie ndani yako, ni mkuu saana Sitafa Moyo, Ninajua, Wewe uliniita, Umwaminifu, Kazi ulioanza, Maishani mwangu, Nakuamini utaimaliza Mimi sitahofu,sitakata tamaa Wewe ulinifia,najua unaishi Wewe ulichagua,kufa niishi Uaminifu wako Rabii,hauna kipimo Sitafa moyo (sitahangai...

Nindagutia | Paul Mwai | Lyrics

Verse 1 Jehovah, Kihoti Wa Mothe, Unene Waku, Ni Wakugegania, Nduriri ciothe, Ni Ikuinamagirira Nayo Ngoro ino, Igagutiwe wemunene CHORUS Ni dagutia, Ni dagutia We wambararitio, iguro muno Ni dagutia, Ni dagutia Ndakuinamirira, We Mutheru Verse 2 Nindiririirie, Gutuarana nawe, Na Kuigua Tu, Mugambo Waku Naguo Uthingu Waku, Utuike Irio Ciakwa, Gia giikaro riu, Thiinii Wakwa Udue Mutheru Verse 3 Nguenda Gukuona, We Uturaga Muoyo, Nguenda gukumenya,  Nyonia Njira Ciaku, Ndikuenda guitongoria,  Muturireini Uyu, Dakuhe Ngoro Ino, Na Meciria Makwa Twarana Na nii