Skip to main content

Posts

Showing posts with the label worship

Neema Gospel Choir - Victory Declaration (Live Music Video)

  Tumesimama juu ya mwamba Kamwe hatutatikisika Hatuna shaka Ndani ya Yesu tuko salama Tumesimama juu ya mwamba Kamwe hatutatikisika Hatuna shaka Ndani ya Yesu tuko salama Tumesimama juu ya mwamba Kamwe hatutatikisika Hatuna shaka Ndani ya Yesu tuko salama Tumesimama juu ya mwamba Kamwe hatutatikisika Hatuna shaka Ndani ya Yesu tuko salama Tumekimbilia kwake Tumesitirika kwake Katukumbatia kwa mbawa zake Hatuna shaka Ndani ya Yesu tuko salama Tumekimbilia kwake Tumesitirika kwake Katukumbatia kwa mbawa zake Hatuna shaka Ndani ya Yesu tuko salama Ni yake haya mapenzi mema Ni yake hii nyingi neema Ni yake haya mapenzi mema Ni yake hii nyingi neema Ni yake haya mapenzi mema Ni yake hii nyingi neema Ni yake haya mapenzi mema Ni yake hii nyingi neema Ni yake haya mapenzi mema Ni yake hii nyingi neema Ni yake haya mapenzi mema Ni yake hii nyingi neema Imetimia kwetu Ameifanya kweli Ahadi yake Imetimia kwetu Ameifanya kweli Ahadi yake Imetimia kwetu Ameifanya kweli Ahadi yake Imetimia kwe...

Moyo | Eliya Mwantondo ft Paul Seleli | Lyrics

Naomba Uniguze Bwana Naomba Uniguze Bwana Guza moyo wangu Guza moyo wangu Naomba Uniguze Bwana Naomba Uniguze Bwana Guza moyo wangu Guza moyo wangu Naomba uniponye Bwana Naomba uniponye Bwana Ponya moyo wangu Ponya moyo wangu Naomba uniponye Bwana Naomba uniponye Bwana Ponya moyo wangu Ponya moyo wangu Naomba Uniguze Bwana Naomba Uniguze Bwana Guza moyo wangu Guza moyo wangu Naomba unigange Bwana Naomba unigange Bwana Ganga moyo wangu Ganga moyo wangu Naomba Uniguze Bwana Naomba Uniguze Bwana Guza moyo wangu Guza moyo wangu Yesu wee eeh ewe Yesu wee eeh ewe Guza moyo wangu Guza moyo wangu Yesu wee eeh ewe Yesu wee eeh ewe Ponya moyo wangu Ponya moyo wangu Yesu wee eeh ewe Yesu wee eeh ewe Ponya moyo wangu Ponya moyo wangu Yesu wee eeh ewe Yesu wee eeh ewe Ponya moyo wangu Ponya moyo wangu Moyo wangu, Moyo wangu Nataka Nikuabudu wewe Yesu Moyo wangu Moyo wangu, Moyo wangu Nataka ukuabudu wewe Yesu Moyo wangu Moyo wangu, Moyo wangu Nataka ukuabudu wewe Yesu Moyo wangu Maisha yangu, Maish...

HAKUNA USILOWEZA | LYRICS - JACKIE M. OBIERO

  Hakuna usiloweza, Hakuna usiloweza   Nakwabudu kwa Roho Naye Roho anipa ufahamu Kwamba wewe ni mungu Ushindwi na lolote Wewe ni Mungu wa vyote   Hakuna usiloweza, Hakuna usiloweza Hakuna usiloweza, Hakuna usiloweza   Waonyesha rehema kwa yule upendaye, Sio kwa nguvu, mamlaka, ila kwa Roho wako tu, Ni rehema yako kwa mwanadamu kumfanyia mema Ni rehema yako tu, kwa mwanadamu wee kumfanyia mema Ni rehema, rehema, rehema yako, watufanyia mema Ah ukipendezwa, pendezwa wewe wa angaza njia zetu uu Mungu mkubwa, Mungu mkubwa eh Haku-u-una   Hakuna usiloweza, Hakuna usiloweza   Hakuna usiloweza, Hakuna usiloweza   Hakuna usiloweza, Hakuna usiloweza

RAFIKI MWEMA | Chandelier de Gloire | LYRICS

  Kuna yule aliyenipenda   Si kwa ajili ya mali   Alinipenda wala hakujali udhaifu wangu Akanionyesha upendo ambao sijaona kwa wengine Huyu halali wala, hasizinzii   Hata leo hajawai kunichoka  Sikumtafuta, ni yeye aliyekuja kwangu   Ingawazaje dhambi, makosa yangu  Yesu alinipenda wa kwanza Nikamwamini, yeye kanisamehe dhambi Upendo wake, Yesu yeye wanishangaza Yesu, huyu Yesu, Rafiki mwema Yesu, huyu Yesu ninampenda  (Repeat) Yesu Kristo Bwana wangu, ni Rafiki mwema ( x4) Yesu huyu Yesu Rafiki mwema Yesu huyu Yesu ninampenda  (Reapeat)

Mungu Wetu By Israel Ezekia (Official Video) | LYRICS

Mungu Wetu, Mwenye uweza wote, Tunakuimamia, Mtawala wa Kila kilichopo,  Tunakupa sifa wewe Twa kwabudu Yesu, Twakuinua Yesu, Wema wako, Fadhili zako, Huruma zako, Uweza wako,  Yesu, wee wa pekee

Essence of Worship - Tunaleta Sifa (Official Music Video) | LYRICS

  Wewe ni Mungu  Hakuna mwingine wa kuabudiwa  Unastahili sifa zote  Wewe ni Bwana aah  Tunaleta sifa zetu kwako  Maana wewe ndiwe Mungu mkuu  Tunaleta sifa zetu kwako Bwana  Tunaleta sifa zetu kwako  Maana wewe ndiwe Mungu mkuu  Tunaleta sifa zetu kwako Bwana  Usifiwe Yahweh  Usifiwe Yahweh  Kazi yako ya msalaba  Yanifanya kuwa salama  Usifwe Yahweh  Upendo wako wa milele  Umenifanya niendelee  Usifiwe Yahweh  Usifiwe Yahweh  Usifiwe Yahweh  Usifiwe Yahweh  Halleluyah Yahweh  Halleluyah Yahweh 

Zoravo - Sina cha kukurudishia (Ahsante) | LYRICS

Sina cha kukurudishia eh Bwana Kwa fadhili zako maishani mwangu Umefanya yaliyo makubwa Wewe ni mwema Wewe ni mwema (repeat)   Ahsante, ahsante, ahsante Kwa fadhili zako (repeat)

Zoravo - Majeshi Ya Malaika (Mtakatifu ni Bwana)-LYRICS

Majeshi Ya Malaika,Yanapaza Sauti Yakisema,  Mtakatifu ni Bwana  Maelfu Kwa Maelfu Tanapaza sauti tukisema,  Mtakatifu ni Bwana Na Sisi Watoto Wako Tanapaza sauti tukisema,  Mtakatifu Ni Bwana Maelfu Kwa Maelfu Tanapaza sauti tukisema,  Mtakatifu ni Bwana  - (Repeat) Ni Bwana  Ni Bwana  Ni Bwana  Mtakatifu ni Bwana - (Repeat)

Tremble - Jenn Johnson | Moment | LYRICS

 Peace, bringing it all to peace The storm surrounding me Let it break at Your name Still, call the sea to still The rage in me to still Every wave at Your name Jesus, Jesus, You make the darkness tremble Jesus, Jesus, You silence fear Jesus, Jesus, You make the darkness tremble Jesus, Jesus Breathe, then call these bones to live Call these lungs to sing Once again, I will praise Jesus, Jesus, You make the darkness tremble Jesus, Jesus, You silence fear Jesus, Jesus, You make the darkness tremble Jesus, Jesus Jesus, Jesus, You make the darkness tremble Jesus, Jesus, You silence fear Jesus, Jesus, You make the darkness tremble Jesus, Jesus Your name is a light that the shadows can’t deny Your name cannot be overcome Your name is alive forever lifted high Your name cannot be overcome Jesus, Jesus, You make the darkness tremble Jesus, Jesus, You silence fear Jesus, Jesus, You make the darkness tremble Jesus, Jesus Jesus, Jesus Jesus, Jesus Your name is a light that the shadows can’t d...

Raise Hallelujah (LIVE) - Jonathan and Melissa Helser | VICTORY | LYRICS

  Verse 1 I raise a hallelujah, in the presence of my enemies I raise a hallelujah, louder than the unbelief I raise a hallelujah, my weapon is a melody I raise a hallelujah, Heaven comes to fight for me   Chorus I’m gonna sing, in the middle of the storm Louder and louder, you’re gonna hear my praises roar Up from the ashes, hope will arise Death is defeated, the King is alive   Verse 2 I raise a hallelujah, with everything inside of me I raise a hallelujah, I will watch the darkness flee I raise a hallelujah, in the middle of the mystery I raise a hallelujah, fear you lost your hold on me   Bridge Sing a little louder - ( Repeat) In the presence of my enemies Sing a little louder Louder than the unbelief Sing a little louder My weapon is a melody Sing a little louder Heaven comes to fight for me I raise a hallelujah -  (repeat)