Wewe ni Mungu
Hakuna mwingine wa kuabudiwa
Unastahili sifa zote
Wewe ni Bwana aah
Tunaleta sifa
zetu kwako
Maana wewe ndiwe Mungu mkuu
Tunaleta sifa zetu kwako Bwana
Tunaleta sifa
zetu kwako
Maana wewe ndiwe Mungu mkuu
Tunaleta sifa zetu kwako Bwana
Usifiwe Yahweh
Usifiwe Yahweh
Kazi yako ya
msalaba
Yanifanya kuwa salama
Usifwe Yahweh
Upendo wako wa milele
Umenifanya niendelee
Usifiwe Yahweh
Usifiwe Yahweh
Usifiwe Yahweh
Usifiwe Yahweh
Halleluyah
Yahweh
Halleluyah Yahweh
Comments
Post a Comment