Skip to main content

Posts

Showing posts with the label AfroGospel

Naomi Wasonga | Wewe ni Mwema | Lyrics

  Twakutukuza Twakuinua Wewe ni Mungu Wastahili sifa (Fadhili zako) Ni mpya kila siku asubui (Wema wako) Wanizunguka pande zote (Yesu) Wewe ni mwema Wewe ni mwema Nitakuimbia maana umetukuka sana Farasi na mpanda farasi umewatupa baharini Bwana ni guvu zangu, tena wimbo wangu Nitakusifu wewe siku zote Wewe ni mwema Wewe ni mwema Wewe ni mwema Wewe ni mwema Wewe ni mwema  Mwema aaah ahh ah

Monica Gloria - Unajibu | Lyrics

  Verse 1 Unajua haya ya moyo wangu (You know the desire of my heart) Unajua ombi la moyo wangu (You know the prayer of my heart) Unajibu kwa wakati wako (You answer at your time) Unajibu kwa wakati unaofaa (You answer at the right time)*2 Chorus Ahadi zako ni Kweli na Amina (Your promises are Yeh and Amen) Neno lako ni Kweli na Amina (Your word is Yes and Amen) Njia zako ni kweli na Amina (Your ways are true/Yes and Amen) Verse 2 Bwana umetamalaki juu ya dunia na miungu yote (Lord you rule over the world/universe and all gods ) Umeamua Idadi ya nyota na kuzipa zote jina zao (You've determined the number of the stars; you've called them each by name) Maarifa yako hayaeleweki, umesimamisha sayari bila hata nguzo (Your knowledge is beyond comprehension, you've held the planet without any pillar) Ewe Mungu, ewe Mungu wa ajabu (You God*2 , are awesome ) Ewe Mungu, ewe u mkuu (You God*2, Are great) Chorus Ahadi zako ni Kweli na Amina (Your promises are Yeh and Amen) Neno...

UTUKUZWE | EUNICE NJERI MUTHII | LYRICS

Baba we ni moto wewe mtakatifu Wewe ndiwe Mungu pekee Tena we sauti ukinena nani apinge Nasema we sauti Ukisema ni ndio na amina  Njia ya uzima, kweli na uhai niwe Baba we ni mot wewe mtakatifu Wewe ndiwe Mungu pekee Nasema we sauti ukinena nani apinge Nasema we sauti Ukisema ni ndio na amina  Njia ya uzima, kweli na uhai niwe Njia ya uzima, kweli na uhai niwe Utukuzwe Bwana, utukuzwe Utuzwe Bwana, milele Sifa zako bado zaenea Bwana utukuzwe Utukuzwe Bwana, utukuzwe Utuzwe Bwana, milele Sifa zako bado zaenea Bwana utukuzwe  Moyo wangu nauegemeza kwako Na macho yangu nakuinulia tena Uhai wangu nimeachilia kwako Baba Wastahili nakusalimu, nakusalimu Yesu Utukuzwe Bwana, utukuzwe Utuzwe Bwana, milele Sifa zako bado zaenea Bwana utukuzwe  Hallelujah eeh, halleluja aah Hallelujah eeh, halleluja aah (Ni kwa nani) Hallelujah eeh, halleluja aah (Ni kwa Yesu) Hallelujah eeh, halleluja aah (Inua kabisa) Hallelujah eeh, halleluja aah Utukuzwe Bwana, utukuzwe Utuzwe Bwana, milel...

Jane Aller | Wastahili (Worthy) | LYRICS

  Malaika wakuabudu, Wewe wastahili Maserafi na makerubi, Wakusujudu Wastahili kuabudiwa, Wewe wastahili  Wastahili kusujudiwa, Wewe wastahili Naungana na Malaika miguuni pako nikisema hakika wastahili  Naungana na Maserafi miguuni pako nikisema hakika wastahili Wastahili, wastahili wastahili mwokozi You are worthy  You are worthy  You are worthy Lamb of God Wagiriire Wageriire,  Wagiriire Mwathani

Sitasahau | Kestin Mbogo ft. Pst. Emmanuel Mule | LYRICS

  Najirusha chini ya miguu yako, Yesu nasema ahsante, Nimerudi na shukurani kwako, Sawasawa na yale umetenda, Mataifa yote na yaisikie Sauti yangu leo Nitaimba nitasifu nitakiri Sawasawa na yale umetenda Chorus Nakuabudu, Nakutukuza, Nakuinua Pokea sifa wewe ni Mungu Refrain Sitasahau, Sitasahau, Siwezisahau Mema umenitendea Bridge Mito: Umenivusha Jangwa: Umenivusha Moto: Umenivusha Sitasahau Mawimbi: Umetuliza Dhoruba: Umetuliza Njia: Katengeneza Sitasahau Neno lako: Umetimiza Ahadi: Umetimiza Njia: Katengeneza Sitasahau Magonjwa: Umeniponya Moyo: Umeniponya Dambi zangu zote: Umesamehe Sitasahau Kibali: Umenivisha Heshima: Umenivisha Wema: Umenivisha Sitasahau Refrain Sitasahau, Sitasahau, Siwezisahau, Mema Umenitendea Baba Asante Baba Asante Umenitendea Baba asante(repeat)

Paul Clement - Unaweza Yesu ( Official Video ) | Lyrics

  Utukuzwe wewe uwezaye kufanya, Mambo ya ajabu mno Bwana. Kuliko yote tuyaombayo, Unaweza Yesu. Utukuzwe wewe uwezaye kutenda, Mambo ya ajabu mno Bwana. Kuliko yote tuyawazayo, Unaweza Yesu...×2 CHORUS Unaweza kufanya, Unaweza kutenda, Yaliyo makubwa, Unaweza Yesu.×2 Unaweza kufanya Unaweza kutenda Yaliyo makubwa Unaweza Yesu ×2 VERSE 1 Ibrahimu na Sarah walijua, Hawawezi kupata mtoto tena, Lakini Mungu ukawashangaza, Zaidi ya walivyowaza. Lazaro alikufa, akaoza kabisa, Siku nne alilala kaburini Lakini Yesu ukamfufua Lazaro akawa hai tena. BRIDGE. Zaidi ya... (Iyeee) Tuombayo...(Iyeee) Zaidi ya... (Iyeee) Tuwazayo...(Iyee) Unaweza kufanya Unaweza Yesu CHORUS Unaweza kufanya Unaweza kutenda Yaliyo makubwa Unaweza Yesu ×2 Verse 2 Nani alijua kama ungefanya njia, Katikati ya bahari ya shamu, Umeishangaza dunia, Hakuna linalokushinda. Nani alijua ile mifupa mikavu, Inaweza kuwa hai tena, Kwa pumzi ya uhai wako, Mifupa ikawa jeshi kubwa. BRIDGE. Zaidi ya... (Iyeee) Tuombayo....

Joel Lwaga - Olodumare (Official Lyric Video) | Song Lyrics

Oh Baba Olodumare, My one and the only, The giver of Life, Equal to none  Hapa nasimama cos uko na mimi You never let me go Mipaka yangu umeitanulia mbali Even sky sio limit kwa hii kibali Hata haters wanashangilia  Kwa ndani umewa‘win’ hao! Sina kingine mimi najivunia zaidi yako Baba Ndio maana niko tuli nimetulia, we hunaga baya Hata wale wananionea husuda shabaha yao mbaya Watanipataje Mwamba umenifunika Bure wata‘tire’ Cos I know you You got me wey You got me You got me wey You got me Papa You got me wey You got me That’s why I never, never, never fall down You got me wey You got me You got me wey You got me Papa You got me wey You got me That’s why I never, never, never fall down Nikiteleza Baba unaniinua Hujanitupa wala hujanijutia Kama ni toba zimejaa gunia Ukweli ni kwamba tu umenihurumia Ningekulipa nini kama ungetaka Nilipe jema moja moja Maana hata hii pumzi ninayovuta Hakuna Dollar ingetosha Sina kingine mimi najivunia zaidi yako Baba Ndio maana niko tuli nimetulia...