Skip to main content

Joel Lwaga - Olodumare (Official Lyric Video) | Song Lyrics


Oh Baba Olodumare, My one and the only,

The giver of Life, Equal to none 

Hapa nasimama cos uko na mimi

You never let me go

Mipaka yangu umeitanulia mbali

Even sky sio limit kwa hii kibali

Hata haters wanashangilia 

Kwa ndani umewa‘win’ hao!


Sina kingine mimi najivunia zaidi yako Baba

Ndio maana niko tuli nimetulia, we hunaga baya

Hata wale wananionea husuda shabaha yao mbaya

Watanipataje Mwamba umenifunika

Bure wata‘tire’


Cos I know you

You got me wey You got me

You got me wey You got me Papa

You got me wey You got me

That’s why I never, never, never fall down


You got me wey You got me

You got me wey You got me Papa

You got me wey You got me

That’s why I never, never, never fall down


Nikiteleza Baba unaniinua

Hujanitupa wala hujanijutia

Kama ni toba zimejaa gunia

Ukweli ni kwamba tu umenihurumia

Ningekulipa nini kama ungetaka

Nilipe jema moja moja

Maana hata hii pumzi ninayovuta

Hakuna Dollar ingetosha


Sina kingine mimi najivunia zaidi yako Baba

Ndio maana niko tuli nimetulia, we hunaga baya

Hata wale wananionea husuda shabaha yao mbaya

Watanipataje Mwamba umenifunika Bure wata‘tire’



Cos I know you

You got me wey You got me

You got me wey You got me Papa

You got me wey You got me

That’s why I never, never, never fall down


You got me wey You got me

You got me wey You got me Papa

You got me wey You got me

That’s why I never, never, never fall down


You got me wey You got me

You got me wey You got me Papa

You got me wey You got me

That’s why I never, never, never fall down


That’s why I never, never, never fall down


Comments

  1. Welcome to the community, All your complements, review and suggestions are most welcome

    ReplyDelete

Post a Comment

Popular posts from this blog

Paul Clement Ft Victor Maestro - Baraka (Official Video ) | Lyrics

  Ananiongezea baraka Naiona tofauti ya leo na jana Ananiongezea baraka Huyu ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka Ananiongezea baraka Naiona tofauti ya leo na jana Ananiongezea baraka Huyu ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka Ananiongezea baraka Naiona tofauti ya leo na jana Ananiongezea baraka Huyu ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka Ananiongezea baraka Naiona tofauti ya leo na jana Ananiongezea baraka Huyu ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka Amenijibu zaidi ya vile nivyo muomba Nimemuomba Kazi amenipa na ndoa Nimemuomba watoto amenipa na gari Huyu yesu anazidi kuninyeshea mvua ya baraka eh (Chants) Ananiongezea baraka Naiona tofauti ya leo na jana Ananiongezea baraka Nii Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka Ananiongezea baraka Naiona tofauti ya leo na jana Ananiongezea baraka Ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka Ananiongezea baraka Naiona tofauti ya leo na jana Ananiongezea baraka Ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka Yeye aliye ia—nzisha safari Ataimaliza,yeye mwenye...

Paul Clement - Unaweza Yesu ( Official Video )

  Utukuzwe wewe uwezaye kufanya, Mambo ya ajabu mno Bwana. Kuliko yote tuyaombayo, Unaweza Yesu. Utukuzwe wewe uwezaye kutenda, Mambo ya ajabu mno Bwana. Kuliko yote tuyawazayo, Unaweza Yesu...×2 CHORUS Unaweza kufanya, Unaweza kutenda, Yaliyo makubwa, Unaweza Yesu.×2 Unaweza kufanya Unaweza kutenda Yaliyo makubwa Unaweza Yesu ×2 VERSE 1 Ibrahimu na Sarah walijua, Hawawezi kupata mtoto tena, Lakini Mungu ukawashangaza, Zaidi ya walivyowaza. Lazaro alikufa, akaoza kabisa, Siku nne alilala kaburini Lakini Yesu ukamfufua Lazaro akawa hai tena. BRIDGE. Zaidi ya... (Iyeee) Tuombayo...(Iyeee) Zaidi ya... (Iyeee) Tuwazayo...(Iyee) Unaweza kufanya Unaweza Yesu CHORUS Unaweza kufanya Unaweza kutenda Yaliyo makubwa Unaweza Yesu ×2 Verse 2 Nani alijua kama ungefanya njia, Katikati ya bahari ya shamu, Umeishangaza dunia, Hakuna linalokushinda. Nani alijua ile mifupa mikavu, Inaweza kuwa hai tena, Kwa pumzi ya uhai wako, Mifupa ikawa jeshi kubwa. BRIDGE. Zaidi ya... (Iyeee) Tuombayo....

Zaidi ya Fahamu/Uko Mwenyewe | Henrick Mruma ft. Clara Minja | Song Lyrics

  Wewe Mungu wa ajabu, Unafanya Maajabu Pale ninaposhindwa Unafanya Mwenyewe   [Repeat]   Zaidi ya fahamu zangu Zaidi ya mawazo yangu Zaidi ya akili yangu Zaidi ya upeo wangu [Repeat}   Uko Mwenyewe Uko Mwenyewe Hakuna wa mfano wako Bwana Uko mwenyewe. [Repeat]   Tazama naenda mbele, wala Hakuna Narudi nyuma tena, Lakini siwezi kumwona kama Wewe. [Repeat]   (Kama wewe, Kama wewe) Wala hakuna (Kama wewe, Kama wewe) Lakini siwezi kumwona kama wewe. [Repeat]   Tazama naenda mbele, wala Hakuna Narudi nyuma tena, Lakini siwezi kumwona kama Wewe. [Repeat]   Wa mfano wako Wa uweza wako Wa mfano wako Wa uweza wako. [Repeat]   Tazama naenda mbele, wala Hakuna Narudi nyuma tena, Lakini siwezi kumwona kama Wewe. [Repeat]