Skip to main content

Posts

Showing posts with the label Ali Mukhwana

Utukufu na Heshima | Ali Mukhwana | Lyrics

Utukufu na heshima bwana Ni zako Yahweh Ni zako usiyeshindwa Utukufu na heshima bwana Ni zako Yahweh Ni zako usiyeshindwa Wewe uliyenihesabia haki Kwa neema yako Ni zako usiyeshindwa Mnara wangu wa utukufu Na kinga yangu Ni wewe usiyeshindwa Utukufu na heshima bwana Ni zako Yahweh Ni zako usiyeshindwa Haki yako bwana yanitangulia Utukufu wako wanifuata Ni wewe usiyeshindwa Ninayemtegemea ni wewe Ngao yangu ni wewe Ni wewe usiyeshindwa Utukufu na heshima bwana Ni zako Yahweh Ni zako usiyeshindwa Utukufu na heshima bwana Ni zako Yahweh Ni zako usiyeshindwa Uliyenichagua ni wewe Uzima wangu ni wewe Ni wewe usiyeshindwa Anilindaye na mabaya ni wewe Ni wewe bwana aa Ni wewe bwana usiyeshindwa Utukufu na heshima bwana Ni zako Yahweh Ni zako usiyeshindwa Utukufu na heshima bwana Ni zako Yahweh Ni zako usiyeshindwa Aliye kama wewe ni nani? Mwenye heshima kama zako ni nani? Mwenye upendo kama wako ? Mwenye neema ? Mwenye kubariki kama wewe? Mwenye kuinua kama wewe? Maamlaka yote hapa duniani Na...

Utukufu na Heshima | Ali Mukhwana | Lyrics

  Utukufu na heshima Bwana Ni zako Yahweh Ni zako usiyeshindwa Utukufu na heshima Bwana Ni zako Yahweh Ni zako usiyeshindwa Wewe uliyenihesabia haki Kwa neema yako Ni zako usiyeshindwa Mnara wangu wa utukufu Na kinga yangu Ni wewe usiyeshindwa   Haki yako Bwana yanitangulia Utukufu wako wanifuata Ni wewe usiyeshindwa Ninayemtegemea ni wewe Ngao yangu ni wewe Ni wewe usiyeshindwa Uliyenichagua ni wewe Uzima wangu ni wewe Ni wewe usiyeshindwa Anilindaye kwa mabaya ni wewe Ni wewe Bwana Ni wewe Bwana usiyeshindwa Aliye kama wewe ni nani? Mwenye heshima kama zako ni nani? Mwenye upendo kama wako ? Mwenye neema ? Mwenye kubariki kama wewe? Mwenye kuinua kama wewe?   Maamlaka yote hapa duniani Na kule mbinguni Ni yako usiyeshindwa