Skip to main content

Posts

Showing posts with the label Eunice Njeri

AYALA | EUNICE NJERI MUTHII | LYRICS

  Nafsi yangu, zaidi yatamani maskani yako Mungu mwenye enzi Moyo wangu na mwili huu Wakulilia ee Mungu Jua langu, Ngao yangu Wanipa neema na utukufu Hakuna kitu chema Wewe wanyima watafutao uso wako  Kama ayala, aionavyo kiu Ndivyo nafsi yangu yakutamani (Repeat) Naweka moyo kweye hija Bonde la kilio nitapita  Naweka moyo kweye hija Sayuni kwako nisimame (Repeat) Nimekukimbilia, chemichemi ya uzima (Repeat)

UTUKUZWE | EUNICE NJERI MUTHII | LYRICS

Baba we ni moto wewe mtakatifu Wewe ndiwe Mungu pekee Tena we sauti ukinena nani apinge Nasema we sauti Ukisema ni ndio na amina  Njia ya uzima, kweli na uhai niwe Baba we ni mot wewe mtakatifu Wewe ndiwe Mungu pekee Nasema we sauti ukinena nani apinge Nasema we sauti Ukisema ni ndio na amina  Njia ya uzima, kweli na uhai niwe Njia ya uzima, kweli na uhai niwe Utukuzwe Bwana, utukuzwe Utuzwe Bwana, milele Sifa zako bado zaenea Bwana utukuzwe Utukuzwe Bwana, utukuzwe Utuzwe Bwana, milele Sifa zako bado zaenea Bwana utukuzwe  Moyo wangu nauegemeza kwako Na macho yangu nakuinulia tena Uhai wangu nimeachilia kwako Baba Wastahili nakusalimu, nakusalimu Yesu Utukuzwe Bwana, utukuzwe Utuzwe Bwana, milele Sifa zako bado zaenea Bwana utukuzwe  Hallelujah eeh, halleluja aah Hallelujah eeh, halleluja aah (Ni kwa nani) Hallelujah eeh, halleluja aah (Ni kwa Yesu) Hallelujah eeh, halleluja aah (Inua kabisa) Hallelujah eeh, halleluja aah Utukuzwe Bwana, utukuzwe Utuzwe Bwana, milel...