Skip to main content

UTUKUZWE | EUNICE NJERI MUTHII | LYRICS



Baba we ni moto wewe mtakatifu

Wewe ndiwe Mungu pekee
Tena we sauti ukinena nani apinge
Nasema we sauti
Ukisema ni ndio na amina 

Njia ya uzima, kweli na uhai niwe
Baba we ni mot wewe mtakatifu
Wewe ndiwe Mungu pekee
Nasema we sauti ukinena nani apinge
Nasema we sauti
Ukisema ni ndio na amina 

Njia ya uzima, kweli na uhai niwe
Njia ya uzima, kweli na uhai niwe

Utukuzwe Bwana, utukuzwe
Utuzwe Bwana, milele
Sifa zako bado zaenea
Bwana utukuzwe

Utukuzwe Bwana, utukuzwe
Utuzwe Bwana, milele
Sifa zako bado zaenea
Bwana utukuzwe 

Moyo wangu nauegemeza kwako
Na macho yangu nakuinulia tena
Uhai wangu nimeachilia kwako Baba
Wastahili nakusalimu, nakusalimu Yesu

Utukuzwe Bwana, utukuzwe
Utuzwe Bwana, milele
Sifa zako bado zaenea
Bwana utukuzwe 

Hallelujah eeh, halleluja aah
Hallelujah eeh, halleluja aah
(Ni kwa nani)
Hallelujah eeh, halleluja aah
(Ni kwa Yesu)
Hallelujah eeh, halleluja aah
(Inua kabisa)
Hallelujah eeh, halleluja aah

Utukuzwe Bwana, utukuzwe
Utuzwe Bwana, milele
Sifa zako bado zaenea
Bwana utukuzwe 


Comments

Popular posts from this blog

Paul Clement Ft Victor Maestro - Baraka (Official Video ) | Lyrics

  Ananiongezea baraka Naiona tofauti ya leo na jana Ananiongezea baraka Huyu ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka Ananiongezea baraka Naiona tofauti ya leo na jana Ananiongezea baraka Huyu ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka Ananiongezea baraka Naiona tofauti ya leo na jana Ananiongezea baraka Huyu ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka Ananiongezea baraka Naiona tofauti ya leo na jana Ananiongezea baraka Huyu ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka Amenijibu zaidi ya vile nivyo muomba Nimemuomba Kazi amenipa na ndoa Nimemuomba watoto amenipa na gari Huyu yesu anazidi kuninyeshea mvua ya baraka eh (Chants) Ananiongezea baraka Naiona tofauti ya leo na jana Ananiongezea baraka Nii Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka Ananiongezea baraka Naiona tofauti ya leo na jana Ananiongezea baraka Ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka Ananiongezea baraka Naiona tofauti ya leo na jana Ananiongezea baraka Ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka Yeye aliye ia—nzisha safari Ataimaliza,yeye mwenye...

Paul Clement - Unaweza Yesu ( Official Video )

  Utukuzwe wewe uwezaye kufanya, Mambo ya ajabu mno Bwana. Kuliko yote tuyaombayo, Unaweza Yesu. Utukuzwe wewe uwezaye kutenda, Mambo ya ajabu mno Bwana. Kuliko yote tuyawazayo, Unaweza Yesu...×2 CHORUS Unaweza kufanya, Unaweza kutenda, Yaliyo makubwa, Unaweza Yesu.×2 Unaweza kufanya Unaweza kutenda Yaliyo makubwa Unaweza Yesu ×2 VERSE 1 Ibrahimu na Sarah walijua, Hawawezi kupata mtoto tena, Lakini Mungu ukawashangaza, Zaidi ya walivyowaza. Lazaro alikufa, akaoza kabisa, Siku nne alilala kaburini Lakini Yesu ukamfufua Lazaro akawa hai tena. BRIDGE. Zaidi ya... (Iyeee) Tuombayo...(Iyeee) Zaidi ya... (Iyeee) Tuwazayo...(Iyee) Unaweza kufanya Unaweza Yesu CHORUS Unaweza kufanya Unaweza kutenda Yaliyo makubwa Unaweza Yesu ×2 Verse 2 Nani alijua kama ungefanya njia, Katikati ya bahari ya shamu, Umeishangaza dunia, Hakuna linalokushinda. Nani alijua ile mifupa mikavu, Inaweza kuwa hai tena, Kwa pumzi ya uhai wako, Mifupa ikawa jeshi kubwa. BRIDGE. Zaidi ya... (Iyeee) Tuombayo....

Zaidi ya Fahamu/Uko Mwenyewe | Henrick Mruma ft. Clara Minja | Song Lyrics

  Wewe Mungu wa ajabu, Unafanya Maajabu Pale ninaposhindwa Unafanya Mwenyewe   [Repeat]   Zaidi ya fahamu zangu Zaidi ya mawazo yangu Zaidi ya akili yangu Zaidi ya upeo wangu [Repeat}   Uko Mwenyewe Uko Mwenyewe Hakuna wa mfano wako Bwana Uko mwenyewe. [Repeat]   Tazama naenda mbele, wala Hakuna Narudi nyuma tena, Lakini siwezi kumwona kama Wewe. [Repeat]   (Kama wewe, Kama wewe) Wala hakuna (Kama wewe, Kama wewe) Lakini siwezi kumwona kama wewe. [Repeat]   Tazama naenda mbele, wala Hakuna Narudi nyuma tena, Lakini siwezi kumwona kama Wewe. [Repeat]   Wa mfano wako Wa uweza wako Wa mfano wako Wa uweza wako. [Repeat]   Tazama naenda mbele, wala Hakuna Narudi nyuma tena, Lakini siwezi kumwona kama Wewe. [Repeat]