Skip to main content

UTUKUZWE | EUNICE NJERI MUTHII | LYRICS



Baba we ni moto wewe mtakatifu

Wewe ndiwe Mungu pekee
Tena we sauti ukinena nani apinge
Nasema we sauti
Ukisema ni ndio na amina 

Njia ya uzima, kweli na uhai niwe
Baba we ni mot wewe mtakatifu
Wewe ndiwe Mungu pekee
Nasema we sauti ukinena nani apinge
Nasema we sauti
Ukisema ni ndio na amina 

Njia ya uzima, kweli na uhai niwe
Njia ya uzima, kweli na uhai niwe

Utukuzwe Bwana, utukuzwe
Utuzwe Bwana, milele
Sifa zako bado zaenea
Bwana utukuzwe

Utukuzwe Bwana, utukuzwe
Utuzwe Bwana, milele
Sifa zako bado zaenea
Bwana utukuzwe 

Moyo wangu nauegemeza kwako
Na macho yangu nakuinulia tena
Uhai wangu nimeachilia kwako Baba
Wastahili nakusalimu, nakusalimu Yesu

Utukuzwe Bwana, utukuzwe
Utuzwe Bwana, milele
Sifa zako bado zaenea
Bwana utukuzwe 

Hallelujah eeh, halleluja aah
Hallelujah eeh, halleluja aah
(Ni kwa nani)
Hallelujah eeh, halleluja aah
(Ni kwa Yesu)
Hallelujah eeh, halleluja aah
(Inua kabisa)
Hallelujah eeh, halleluja aah

Utukuzwe Bwana, utukuzwe
Utuzwe Bwana, milele
Sifa zako bado zaenea
Bwana utukuzwe 


Comments

Popular posts from this blog

KARURA VOICES - USIKUBALI | LYRICS

Nitaishi aje kama mtu Asiyekujuwa Usikubali Na wakati wangu ukifika Uniite nyumbani Kama hodari Na shetani akiomba ruhusa Aniangamize Usikubali Na shetani akiomba ruhusa Anikandamize Usikubali Chorus Usikubali Usikubali Siogopi kifo Naogopa kufa na sikujui Siogopi moto Sio wangu moto ni wa aadui Nimependwa na Baba Baba ah Alinifia Mwana Mwana ah Nimejazwa na Roho Roho oh Baba, Mwana, Roho

Sitasahau | Kestin Mbogo ft. Pst. Emmanuel Mule | LYRICS

  Najirusha chini ya miguu yako, Yesu nasema ahsante, Nimerudi na shukurani kwako, Sawasawa na yale umetenda, Mataifa yote na yaisikie Sauti yangu leo Nitaimba nitasifu nitakiri Sawasawa na yale umetenda Chorus Nakuabudu, Nakutukuza, Nakuinua Pokea sifa wewe ni Mungu Refrain Sitasahau, Sitasahau, Siwezisahau Mema umenitendea Bridge Mito: Umenivusha Jangwa: Umenivusha Moto: Umenivusha Sitasahau Mawimbi: Umetuliza Dhoruba: Umetuliza Njia: Katengeneza Sitasahau Neno lako: Umetimiza Ahadi: Umetimiza Njia: Katengeneza Sitasahau Magonjwa: Umeniponya Moyo: Umeniponya Dambi zangu zote: Umesamehe Sitasahau Kibali: Umenivisha Heshima: Umenivisha Wema: Umenivisha Sitasahau Refrain Sitasahau, Sitasahau, Siwezisahau, Mema Umenitendea Baba Asante Baba Asante Umenitendea Baba asante(repeat)

Jane Aller | Wastahili (Worthy) | LYRICS

  Malaika wakuabudu, Wewe wastahili Maserafi na makerubi, Wakusujudu Wastahili kuabudiwa, Wewe wastahili  Wastahili kusujudiwa, Wewe wastahili Naungana na Malaika miguuni pako nikisema hakika wastahili  Naungana na Maserafi miguuni pako nikisema hakika wastahili Wastahili, wastahili wastahili mwokozi You are worthy  You are worthy  You are worthy Lamb of God Wagiriire Wageriire,  Wagiriire Mwathani