Skip to main content

Posts

Showing posts with the label tanzanian music

Ila YESU | Henrick Mruma | LYRICS

  Umejawa nazo nguvu Umeketi enzini Jina lako la shangaza,  La stajabisha Yesu (Repeat) Chorus Ila Yesu nimekunyoshea mikono Unatisha, haulinganishiki hata iweje (Repeat) Umetamalaki, umetamalaki, Uko juu sana Ya miungu yote Jina lako halifanani Hali lingani Na miungu mingine (Repeat) Chorus Ila Yesu nimekunyoshea mikono Unatisha, haulinganishiki hata iweje Umetamalaki, umetamalaki, Uko juu sana Ya miungu yote Jina lako halifanani Hali lingani Na miungu mingine (Repeat) Waamamisha milima Wapasua bahari Wafungua vifungo Wafufua wafu Chorus Ila Yesu nimekunyoshea mikono Unatisha, haulinganishiki hata iweje Umetamalaki, umetamalaki, Uko juu sana Ya miungu yote Jina lako halifanani Hali lingani Na miungu mingine (Repeat)

Paul Clement - Unaweza Yesu ( Official Video ) | Lyrics

  Utukuzwe wewe uwezaye kufanya, Mambo ya ajabu mno Bwana. Kuliko yote tuyaombayo, Unaweza Yesu. Utukuzwe wewe uwezaye kutenda, Mambo ya ajabu mno Bwana. Kuliko yote tuyawazayo, Unaweza Yesu...×2 CHORUS Unaweza kufanya, Unaweza kutenda, Yaliyo makubwa, Unaweza Yesu.×2 Unaweza kufanya Unaweza kutenda Yaliyo makubwa Unaweza Yesu ×2 VERSE 1 Ibrahimu na Sarah walijua, Hawawezi kupata mtoto tena, Lakini Mungu ukawashangaza, Zaidi ya walivyowaza. Lazaro alikufa, akaoza kabisa, Siku nne alilala kaburini Lakini Yesu ukamfufua Lazaro akawa hai tena. BRIDGE. Zaidi ya... (Iyeee) Tuombayo...(Iyeee) Zaidi ya... (Iyeee) Tuwazayo...(Iyee) Unaweza kufanya Unaweza Yesu CHORUS Unaweza kufanya Unaweza kutenda Yaliyo makubwa Unaweza Yesu ×2 Verse 2 Nani alijua kama ungefanya njia, Katikati ya bahari ya shamu, Umeishangaza dunia, Hakuna linalokushinda. Nani alijua ile mifupa mikavu, Inaweza kuwa hai tena, Kwa pumzi ya uhai wako, Mifupa ikawa jeshi kubwa. BRIDGE. Zaidi ya... (Iyeee) Tuombayo....

Yesu Nakupenda | Henrick Mruma | Lyrics

  Yesu Yesu nakupenda U Mwamba wangu, Dhabiti, imara, milele Yesu Yesu nakupenda U Mwamba wangu, Dhabiti, imara, milele Yesu Yesu nakupenda U mwamba wangu, Dhabiti, imara, milele Yesu Yesu nakupenda U mwamba wangu, Dhabiti, imara milele Yale umetenda kwangu Sijaweza kuhesabu Oh o nakupenda Yesu We Mwamba wangu Yesu Yesu nakupenda U Mwamba wangu, Dhabiti, imara, milele Yesu Yesu nakupenda U Mwamba wangu, Dhabiti, imara, milele Yale umetenda kwangu Sijaweza kuhesabu Oh o nakupenda Yesu We Mwamba wangu Yale umetenda kwangu Sijaweza kuhesabu Oh o nakupenda Yesu We Mwamba wangu Yale umetenda kwangu Sijaweza kuhesabu Oh o nakupenda Yesu We Mwamba wangu Yale umetenda kwangu Sijaweza kuhesabu Oh o nakupenda Yesu We Mwamba wangu Nakupenda Yesu We Mwamba wangu Nakupenda Yesu We Mwamba wangu Nakupenda Yesu We Mwamba wangu Nakupenda Yesu We Mwamba wangu

Moyo | Eliya Mwantondo ft Paul Seleli | Lyrics

Naomba Uniguze Bwana Naomba Uniguze Bwana Guza moyo wangu Guza moyo wangu Naomba Uniguze Bwana Naomba Uniguze Bwana Guza moyo wangu Guza moyo wangu Naomba uniponye Bwana Naomba uniponye Bwana Ponya moyo wangu Ponya moyo wangu Naomba uniponye Bwana Naomba uniponye Bwana Ponya moyo wangu Ponya moyo wangu Naomba Uniguze Bwana Naomba Uniguze Bwana Guza moyo wangu Guza moyo wangu Naomba unigange Bwana Naomba unigange Bwana Ganga moyo wangu Ganga moyo wangu Naomba Uniguze Bwana Naomba Uniguze Bwana Guza moyo wangu Guza moyo wangu Yesu wee eeh ewe Yesu wee eeh ewe Guza moyo wangu Guza moyo wangu Yesu wee eeh ewe Yesu wee eeh ewe Ponya moyo wangu Ponya moyo wangu Yesu wee eeh ewe Yesu wee eeh ewe Ponya moyo wangu Ponya moyo wangu Yesu wee eeh ewe Yesu wee eeh ewe Ponya moyo wangu Ponya moyo wangu Moyo wangu, Moyo wangu Nataka Nikuabudu wewe Yesu Moyo wangu Moyo wangu, Moyo wangu Nataka ukuabudu wewe Yesu Moyo wangu Moyo wangu, Moyo wangu Nataka ukuabudu wewe Yesu Moyo wangu Maisha yangu, Maish...

Paul Clement Ft Victor Maestro - Baraka (Official Video ) | Lyrics

  Ananiongezea baraka Naiona tofauti ya leo na jana Ananiongezea baraka Huyu ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka Ananiongezea baraka Naiona tofauti ya leo na jana Ananiongezea baraka Huyu ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka Ananiongezea baraka Naiona tofauti ya leo na jana Ananiongezea baraka Huyu ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka Ananiongezea baraka Naiona tofauti ya leo na jana Ananiongezea baraka Huyu ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka Amenijibu zaidi ya vile nivyo muomba Nimemuomba Kazi amenipa na ndoa Nimemuomba watoto amenipa na gari Huyu yesu anazidi kuninyeshea mvua ya baraka eh (Chants) Ananiongezea baraka Naiona tofauti ya leo na jana Ananiongezea baraka Nii Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka Ananiongezea baraka Naiona tofauti ya leo na jana Ananiongezea baraka Ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka Ananiongezea baraka Naiona tofauti ya leo na jana Ananiongezea baraka Ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka Yeye aliye ia—nzisha safari Ataimaliza,yeye mwenye...