Skip to main content

Paul Clement Ft Victor Maestro - Baraka (Official Video ) | Lyrics

 


Ananiongezea baraka

Naiona tofauti ya leo na jana

Ananiongezea baraka

Huyu ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka


Ananiongezea baraka

Naiona tofauti ya leo na jana

Ananiongezea baraka

Huyu ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka


Ananiongezea baraka

Naiona tofauti ya leo na jana

Ananiongezea baraka

Huyu ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka


Ananiongezea baraka

Naiona tofauti ya leo na jana

Ananiongezea baraka

Huyu ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka


Amenijibu zaidi ya vile nivyo muomba

Nimemuomba Kazi amenipa na ndoa

Nimemuomba watoto amenipa na gari

Huyu yesu anazidi kuninyeshea mvua ya baraka eh

(Chants)


Ananiongezea baraka

Naiona tofauti ya leo na jana

Ananiongezea baraka

Nii Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka


Ananiongezea baraka

Naiona tofauti ya leo na jana

Ananiongezea baraka

Ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka


Ananiongezea baraka

Naiona tofauti ya leo na jana

Ananiongezea baraka

Ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka




Yeye aliye ia—nzisha safari

Ataimaliza,yeye mwenye huru

Anajua kutenda, anajua kujali

Anaitwa Mwokozi yesu (Eze Ebube)


Yeye aliye ia—nzisha safari

Ataimaliza,yeye mwenyewe

Anajua kutenda, anajua kujali

Anaitwa Mwokozi yesu (Eze Ebube)


Kanibariki Mjini 

(Amenifanyia amani)

Kanibariki shambani

(Amenifanyia amani)

Kanibariki Mjini 

(Amenifanyia amani)

Kanibariki shambani

(Amenifanyia amani)

Amenipa na watoto

(Amenifanyia amani)

Amenipa familia nzuri

(Amenifanyia amani)


Amenibariki Mjini 

(Amenifanyia amani)

Amenibariki nyumbani

(Amenifanyia amani)

Amenipa na elimu

(Amenifanyia Amani)

Amenipa biashara nzuri

(Amenifanyia Amani)


Nikienda kushoto

(Yupo)

Nikienda Kulia

(Yupo)

Nikienda mbele na nyuma

(Kanizingira Pande zote)


Nikienda kushoto

(Yupo)

Nikienda Kulia

(Yupo)

Nikienda mbele nyuma yoo

(Kanizingira Pande zote)


Kanibariki shambani 

(Amenifanyia amani)

Amenibariki mjini

(Amenifanyia amani)

Huyu Yesu amenibariki shambani

(Amenifanyia amani)

Amenibariki mjini

(Amenifanyia amani)

Huyu Yesu amenibariki shambani

(Amenifanyia amani)

Kanibariki mjini

(Amenifanyia amani)


Kanipa familia Nzuri

(Amenifanyia amani)

Amenipa marafiki wazuri

(Amenifanyia amani)

Huyu Yesu ameniinua

(Amenifanyia Amani)

Huyu Yesu amenipa jina mpya

(Amenifanyia Amani)

Amenitoa Mavumbini na kuniweka juu

(Amenifanyia amani)

Huyu Yesu amenivuta machozi

(Amenifanyia amani)


Nikienda kushoto

(Yupo)

Nikienda Kulia

(Yupo)

Nikienda mbele na nyuma

(Kanizingira Pande zote)


Nikienda kushoto

(Yupo)

Nikienda Kulia

(Yupo)

Nikienda juu chini ah

(Kanizingira Pande zote)


(Chants and dance)


Amenifanyia eh

(Amenifanyia Amani)

Kanibariki Mjini 

(Amenifanyia amani)

Kanibariki shambani

(Amenifanyia amani)

Kanibariki Mjini 

(Amenifanyia amani)

Kanibariki shambani

(Amenifanyia amani)

Kanibariki nyumbani

(Amenifanyia Amani)

Amenipa na watoto

(Amenifanyia amani)

Amenipa familia nzuri

(Amenifanyia amani)

Amenipa na huduma

(Amenifanyia amani)

Watu wana barikiwa 

(Amenifanyia Amani)

Amenipa na neema

(Amenifanyia amani)

Kanibariki Mjini 

(Amenifanyia amani)

Amenifanyia amani

(Amenifanyia amani)

Amenifanyia Amani

(Amenifanyia amani)














Comments

Popular posts from this blog

KARURA VOICES - USIKUBALI | LYRICS

Nitaishi aje kama mtu Asiyekujuwa Usikubali Na wakati wangu ukifika Uniite nyumbani Kama hodari Na shetani akiomba ruhusa Aniangamize Usikubali Na shetani akiomba ruhusa Anikandamize Usikubali Chorus Usikubali Usikubali Siogopi kifo Naogopa kufa na sikujui Siogopi moto Sio wangu moto ni wa aadui Nimependwa na Baba Baba ah Alinifia Mwana Mwana ah Nimejazwa na Roho Roho oh Baba, Mwana, Roho

Sitasahau | Kestin Mbogo ft. Pst. Emmanuel Mule | LYRICS

  Najirusha chini ya miguu yako, Yesu nasema ahsante, Nimerudi na shukurani kwako, Sawasawa na yale umetenda, Mataifa yote na yaisikie Sauti yangu leo Nitaimba nitasifu nitakiri Sawasawa na yale umetenda Chorus Nakuabudu, Nakutukuza, Nakuinua Pokea sifa wewe ni Mungu Refrain Sitasahau, Sitasahau, Siwezisahau Mema umenitendea Bridge Mito: Umenivusha Jangwa: Umenivusha Moto: Umenivusha Sitasahau Mawimbi: Umetuliza Dhoruba: Umetuliza Njia: Katengeneza Sitasahau Neno lako: Umetimiza Ahadi: Umetimiza Njia: Katengeneza Sitasahau Magonjwa: Umeniponya Moyo: Umeniponya Dambi zangu zote: Umesamehe Sitasahau Kibali: Umenivisha Heshima: Umenivisha Wema: Umenivisha Sitasahau Refrain Sitasahau, Sitasahau, Siwezisahau, Mema Umenitendea Baba Asante Baba Asante Umenitendea Baba asante(repeat)

REJESHA | Njoki Munyi | LYRICS

Ijapo safari iwe na ugumu Utanishika mkono Ijapo adui aje kwa vishindo Bado wewe uko nami Iwapo safari iwe na huzuni Utayapanguza machozi Ijapo adui aje kwa vishindo Bado wewe uko nami Chorus Utayarejesha maono yangu Miaka yote iliyoliwa na nzige Nimeona wema wako Na nguvu zako maishani mwangu Iwapo safari iwe na giza Utaangaza njia zangu Ijapo adui aje kwa vishindo Bado wewe uko nami Iwapo safari iwe na ukame Wewe ni maji ya uzima Ijapo adui aje kwa vishindo Bado wewe uko nami Chorus Utayarejesha maono yangu Miaka yote iliyoliwa na nzige Nimeona wema wako Na nguvu zako maishani mwangu Refrain Akisema ndio akuna wa kupinga Nitasimama kwa agano lake Nimeona aa wema wako Na nguvu zako maishani mwangu Akifungua mlango hakuna atakaye funga Amesema amesema, Hakuna wa kupinga Nimeona aa wema wako Na nguvu zako maishani mwangu Akikubariki hakuna wakupinga Simama leo kwa hilo neno Nimeona aa wema wako Na nguvu zako maishani mwangu Akikuponya wewe umepona Simama leo kwa ahadi zake Nimeona aa we...