Skip to main content

Paul Clement Ft Victor Maestro - Baraka (Official Video ) | Lyrics

 


Ananiongezea baraka

Naiona tofauti ya leo na jana

Ananiongezea baraka

Huyu ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka


Ananiongezea baraka

Naiona tofauti ya leo na jana

Ananiongezea baraka

Huyu ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka


Ananiongezea baraka

Naiona tofauti ya leo na jana

Ananiongezea baraka

Huyu ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka


Ananiongezea baraka

Naiona tofauti ya leo na jana

Ananiongezea baraka

Huyu ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka


Amenijibu zaidi ya vile nivyo muomba

Nimemuomba Kazi amenipa na ndoa

Nimemuomba watoto amenipa na gari

Huyu yesu anazidi kuninyeshea mvua ya baraka eh

(Chants)


Ananiongezea baraka

Naiona tofauti ya leo na jana

Ananiongezea baraka

Nii Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka


Ananiongezea baraka

Naiona tofauti ya leo na jana

Ananiongezea baraka

Ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka


Ananiongezea baraka

Naiona tofauti ya leo na jana

Ananiongezea baraka

Ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka




Yeye aliye ia—nzisha safari

Ataimaliza,yeye mwenye huru

Anajua kutenda, anajua kujali

Anaitwa Mwokozi yesu (Eze Ebube)


Yeye aliye ia—nzisha safari

Ataimaliza,yeye mwenyewe

Anajua kutenda, anajua kujali

Anaitwa Mwokozi yesu (Eze Ebube)


Kanibariki Mjini 

(Amenifanyia amani)

Kanibariki shambani

(Amenifanyia amani)

Kanibariki Mjini 

(Amenifanyia amani)

Kanibariki shambani

(Amenifanyia amani)

Amenipa na watoto

(Amenifanyia amani)

Amenipa familia nzuri

(Amenifanyia amani)


Amenibariki Mjini 

(Amenifanyia amani)

Amenibariki nyumbani

(Amenifanyia amani)

Amenipa na elimu

(Amenifanyia Amani)

Amenipa biashara nzuri

(Amenifanyia Amani)


Nikienda kushoto

(Yupo)

Nikienda Kulia

(Yupo)

Nikienda mbele na nyuma

(Kanizingira Pande zote)


Nikienda kushoto

(Yupo)

Nikienda Kulia

(Yupo)

Nikienda mbele nyuma yoo

(Kanizingira Pande zote)


Kanibariki shambani 

(Amenifanyia amani)

Amenibariki mjini

(Amenifanyia amani)

Huyu Yesu amenibariki shambani

(Amenifanyia amani)

Amenibariki mjini

(Amenifanyia amani)

Huyu Yesu amenibariki shambani

(Amenifanyia amani)

Kanibariki mjini

(Amenifanyia amani)


Kanipa familia Nzuri

(Amenifanyia amani)

Amenipa marafiki wazuri

(Amenifanyia amani)

Huyu Yesu ameniinua

(Amenifanyia Amani)

Huyu Yesu amenipa jina mpya

(Amenifanyia Amani)

Amenitoa Mavumbini na kuniweka juu

(Amenifanyia amani)

Huyu Yesu amenivuta machozi

(Amenifanyia amani)


Nikienda kushoto

(Yupo)

Nikienda Kulia

(Yupo)

Nikienda mbele na nyuma

(Kanizingira Pande zote)


Nikienda kushoto

(Yupo)

Nikienda Kulia

(Yupo)

Nikienda juu chini ah

(Kanizingira Pande zote)


(Chants and dance)


Amenifanyia eh

(Amenifanyia Amani)

Kanibariki Mjini 

(Amenifanyia amani)

Kanibariki shambani

(Amenifanyia amani)

Kanibariki Mjini 

(Amenifanyia amani)

Kanibariki shambani

(Amenifanyia amani)

Kanibariki nyumbani

(Amenifanyia Amani)

Amenipa na watoto

(Amenifanyia amani)

Amenipa familia nzuri

(Amenifanyia amani)

Amenipa na huduma

(Amenifanyia amani)

Watu wana barikiwa 

(Amenifanyia Amani)

Amenipa na neema

(Amenifanyia amani)

Kanibariki Mjini 

(Amenifanyia amani)

Amenifanyia amani

(Amenifanyia amani)

Amenifanyia Amani

(Amenifanyia amani)














Comments

Popular posts from this blog

Paul Clement - Unaweza Yesu ( Official Video )

  Utukuzwe wewe uwezaye kufanya, Mambo ya ajabu mno Bwana. Kuliko yote tuyaombayo, Unaweza Yesu. Utukuzwe wewe uwezaye kutenda, Mambo ya ajabu mno Bwana. Kuliko yote tuyawazayo, Unaweza Yesu...×2 CHORUS Unaweza kufanya, Unaweza kutenda, Yaliyo makubwa, Unaweza Yesu.×2 Unaweza kufanya Unaweza kutenda Yaliyo makubwa Unaweza Yesu ×2 VERSE 1 Ibrahimu na Sarah walijua, Hawawezi kupata mtoto tena, Lakini Mungu ukawashangaza, Zaidi ya walivyowaza. Lazaro alikufa, akaoza kabisa, Siku nne alilala kaburini Lakini Yesu ukamfufua Lazaro akawa hai tena. BRIDGE. Zaidi ya... (Iyeee) Tuombayo...(Iyeee) Zaidi ya... (Iyeee) Tuwazayo...(Iyee) Unaweza kufanya Unaweza Yesu CHORUS Unaweza kufanya Unaweza kutenda Yaliyo makubwa Unaweza Yesu ×2 Verse 2 Nani alijua kama ungefanya njia, Katikati ya bahari ya shamu, Umeishangaza dunia, Hakuna linalokushinda. Nani alijua ile mifupa mikavu, Inaweza kuwa hai tena, Kwa pumzi ya uhai wako, Mifupa ikawa jeshi kubwa. BRIDGE. Zaidi ya... (Iyeee) Tuombayo....

Zaidi ya Fahamu/Uko Mwenyewe | Henrick Mruma ft. Clara Minja | Song Lyrics

  Wewe Mungu wa ajabu, Unafanya Maajabu Pale ninaposhindwa Unafanya Mwenyewe   [Repeat]   Zaidi ya fahamu zangu Zaidi ya mawazo yangu Zaidi ya akili yangu Zaidi ya upeo wangu [Repeat}   Uko Mwenyewe Uko Mwenyewe Hakuna wa mfano wako Bwana Uko mwenyewe. [Repeat]   Tazama naenda mbele, wala Hakuna Narudi nyuma tena, Lakini siwezi kumwona kama Wewe. [Repeat]   (Kama wewe, Kama wewe) Wala hakuna (Kama wewe, Kama wewe) Lakini siwezi kumwona kama wewe. [Repeat]   Tazama naenda mbele, wala Hakuna Narudi nyuma tena, Lakini siwezi kumwona kama Wewe. [Repeat]   Wa mfano wako Wa uweza wako Wa mfano wako Wa uweza wako. [Repeat]   Tazama naenda mbele, wala Hakuna Narudi nyuma tena, Lakini siwezi kumwona kama Wewe. [Repeat]