Ananiongezea baraka
Naiona tofauti ya leo na jana
Ananiongezea baraka
Huyu ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka
Ananiongezea baraka
Naiona tofauti ya leo na jana
Ananiongezea baraka
Huyu ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka
Ananiongezea baraka
Naiona tofauti ya leo na jana
Ananiongezea baraka
Huyu ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka
Ananiongezea baraka
Naiona tofauti ya leo na jana
Ananiongezea baraka
Huyu ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka
Amenijibu zaidi ya vile nivyo muomba
Nimemuomba Kazi amenipa na ndoa
Nimemuomba watoto amenipa na gari
Huyu yesu anazidi kuninyeshea mvua ya baraka eh
(Chants)
Ananiongezea baraka
Naiona tofauti ya leo na jana
Ananiongezea baraka
Nii Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka
Ananiongezea baraka
Naiona tofauti ya leo na jana
Ananiongezea baraka
Ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka
Ananiongezea baraka
Naiona tofauti ya leo na jana
Ananiongezea baraka
Ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka
Yeye aliye ia—nzisha safari
Ataimaliza,yeye mwenye huru
Anajua kutenda, anajua kujali
Anaitwa Mwokozi yesu (Eze Ebube)
Yeye aliye ia—nzisha safari
Ataimaliza,yeye mwenyewe
Anajua kutenda, anajua kujali
Anaitwa Mwokozi yesu (Eze Ebube)
Kanibariki Mjini
(Amenifanyia amani)
Kanibariki shambani
(Amenifanyia amani)
Kanibariki Mjini
(Amenifanyia amani)
Kanibariki shambani
(Amenifanyia amani)
Amenipa na watoto
(Amenifanyia amani)
Amenipa familia nzuri
(Amenifanyia amani)
Amenibariki Mjini
(Amenifanyia amani)
Amenibariki nyumbani
(Amenifanyia amani)
Amenipa na elimu
(Amenifanyia Amani)
Amenipa biashara nzuri
(Amenifanyia Amani)
Nikienda kushoto
(Yupo)
Nikienda Kulia
(Yupo)
Nikienda mbele na nyuma
(Kanizingira Pande zote)
Nikienda kushoto
(Yupo)
Nikienda Kulia
(Yupo)
Nikienda mbele nyuma yoo
(Kanizingira Pande zote)
Kanibariki shambani
(Amenifanyia amani)
Amenibariki mjini
(Amenifanyia amani)
Huyu Yesu amenibariki shambani
(Amenifanyia amani)
Amenibariki mjini
(Amenifanyia amani)
Huyu Yesu amenibariki shambani
(Amenifanyia amani)
Kanibariki mjini
(Amenifanyia amani)
Kanipa familia Nzuri
(Amenifanyia amani)
Amenipa marafiki wazuri
(Amenifanyia amani)
Huyu Yesu ameniinua
(Amenifanyia Amani)
Huyu Yesu amenipa jina mpya
(Amenifanyia Amani)
Amenitoa Mavumbini na kuniweka juu
(Amenifanyia amani)
Huyu Yesu amenivuta machozi
(Amenifanyia amani)
Nikienda kushoto
(Yupo)
Nikienda Kulia
(Yupo)
Nikienda mbele na nyuma
(Kanizingira Pande zote)
Nikienda kushoto
(Yupo)
Nikienda Kulia
(Yupo)
Nikienda juu chini ah
(Kanizingira Pande zote)
(Chants and dance)
Amenifanyia eh
(Amenifanyia Amani)
Kanibariki Mjini
(Amenifanyia amani)
Kanibariki shambani
(Amenifanyia amani)
Kanibariki Mjini
(Amenifanyia amani)
Kanibariki shambani
(Amenifanyia amani)
Kanibariki nyumbani
(Amenifanyia Amani)
Amenipa na watoto
(Amenifanyia amani)
Amenipa familia nzuri
(Amenifanyia amani)
Amenipa na huduma
(Amenifanyia amani)
Watu wana barikiwa
(Amenifanyia Amani)
Amenipa na neema
(Amenifanyia amani)
Kanibariki Mjini
(Amenifanyia amani)
Amenifanyia amani
(Amenifanyia amani)
Amenifanyia Amani
(Amenifanyia amani)
Comments
Post a Comment