Skip to main content

REJESHA | Njoki Munyi | LYRICS




Ijapo safari iwe na ugumu

Utanishika mkono

Ijapo adui aje kwa vishindo

Bado wewe uko nami


Iwapo safari iwe na huzuni

Utayapanguza machozi

Ijapo adui aje kwa vishindo

Bado wewe uko nami


Chorus

Utayarejesha maono yangu

Miaka yote iliyoliwa na nzige

Nimeona wema wako

Na nguvu zako maishani mwangu


Iwapo safari iwe na giza

Utaangaza njia zangu

Ijapo adui aje kwa vishindo

Bado wewe uko nami


Iwapo safari iwe na ukame

Wewe ni maji ya uzima

Ijapo adui aje kwa vishindo

Bado wewe uko nami


Chorus

Utayarejesha maono yangu

Miaka yote iliyoliwa na nzige

Nimeona wema wako

Na nguvu zako maishani mwangu


Refrain

Akisema ndio akuna wa kupinga

Nitasimama kwa agano lake

Nimeona aa wema wako

Na nguvu zako maishani mwangu


Akifungua mlango hakuna atakaye funga

Amesema amesema, Hakuna wa kupinga

Nimeona aa wema wako

Na nguvu zako maishani mwangu


Akikubariki hakuna wakupinga

Simama leo kwa hilo neno

Nimeona aa wema wako

Na nguvu zako maishani mwangu


Akikuponya wewe umepona

Simama leo kwa ahadi zake

Nimeona aa wema wako

Na nguvu zako maishani mwangu



Chorus

Utayarejesha maono yangu

Miaka yote iliyoliwa na nzige

Nimeona aa wema wako

Na nguvu zako maishani mwangu




Comments

Popular posts from this blog

KARURA VOICES - USIKUBALI | LYRICS

Nitaishi aje kama mtu Asiyekujuwa Usikubali Na wakati wangu ukifika Uniite nyumbani Kama hodari Na shetani akiomba ruhusa Aniangamize Usikubali Na shetani akiomba ruhusa Anikandamize Usikubali Chorus Usikubali Usikubali Siogopi kifo Naogopa kufa na sikujui Siogopi moto Sio wangu moto ni wa aadui Nimependwa na Baba Baba ah Alinifia Mwana Mwana ah Nimejazwa na Roho Roho oh Baba, Mwana, Roho

Sitasahau | Kestin Mbogo ft. Pst. Emmanuel Mule | LYRICS

  Najirusha chini ya miguu yako, Yesu nasema ahsante, Nimerudi na shukurani kwako, Sawasawa na yale umetenda, Mataifa yote na yaisikie Sauti yangu leo Nitaimba nitasifu nitakiri Sawasawa na yale umetenda Chorus Nakuabudu, Nakutukuza, Nakuinua Pokea sifa wewe ni Mungu Refrain Sitasahau, Sitasahau, Siwezisahau Mema umenitendea Bridge Mito: Umenivusha Jangwa: Umenivusha Moto: Umenivusha Sitasahau Mawimbi: Umetuliza Dhoruba: Umetuliza Njia: Katengeneza Sitasahau Neno lako: Umetimiza Ahadi: Umetimiza Njia: Katengeneza Sitasahau Magonjwa: Umeniponya Moyo: Umeniponya Dambi zangu zote: Umesamehe Sitasahau Kibali: Umenivisha Heshima: Umenivisha Wema: Umenivisha Sitasahau Refrain Sitasahau, Sitasahau, Siwezisahau, Mema Umenitendea Baba Asante Baba Asante Umenitendea Baba asante(repeat)

Jane Aller | Wastahili (Worthy) | LYRICS

  Malaika wakuabudu, Wewe wastahili Maserafi na makerubi, Wakusujudu Wastahili kuabudiwa, Wewe wastahili  Wastahili kusujudiwa, Wewe wastahili Naungana na Malaika miguuni pako nikisema hakika wastahili  Naungana na Maserafi miguuni pako nikisema hakika wastahili Wastahili, wastahili wastahili mwokozi You are worthy  You are worthy  You are worthy Lamb of God Wagiriire Wageriire,  Wagiriire Mwathani