Skip to main content

Moyo | Eliya Mwantondo ft Paul Seleli | Lyrics



Naomba Uniguze Bwana

Naomba Uniguze Bwana

Guza moyo wangu

Guza moyo wangu


Naomba Uniguze Bwana

Naomba Uniguze Bwana

Guza moyo wangu

Guza moyo wangu


Naomba uniponye Bwana

Naomba uniponye Bwana

Ponya moyo wangu

Ponya moyo wangu


Naomba uniponye Bwana

Naomba uniponye Bwana

Ponya moyo wangu

Ponya moyo wangu



Naomba Uniguze Bwana

Naomba Uniguze Bwana

Guza moyo wangu

Guza moyo wangu


Naomba unigange Bwana

Naomba unigange Bwana

Ganga moyo wangu

Ganga moyo wangu


Naomba Uniguze Bwana

Naomba Uniguze Bwana

Guza moyo wangu

Guza moyo wangu


Yesu wee eeh ewe

Yesu wee eeh ewe

Guza moyo wangu

Guza moyo wangu


Yesu wee eeh ewe

Yesu wee eeh ewe

Ponya moyo wangu

Ponya moyo wangu


Yesu wee eeh ewe

Yesu wee eeh ewe

Ponya moyo wangu

Ponya moyo wangu


Yesu wee eeh ewe

Yesu wee eeh ewe

Ponya moyo wangu

Ponya moyo wangu


Moyo wangu, Moyo wangu

Nataka Nikuabudu wewe Yesu

Moyo wangu


Moyo wangu, Moyo wangu

Nataka ukuabudu wewe Yesu

Moyo wangu


Moyo wangu, Moyo wangu

Nataka ukuabudu wewe Yesu

Moyo wangu


Maisha yangu, Maisha yangu

Nataka ya kuabudu wewe Yesu

Maisha yangu


Ufahamu wangu, Ufahamu wangu

Nataka ukuabudu wewe Yesu

Ufahamu wangu


Kinywa changu, Kinywa changu

Nataka ukuabudu wewe Yesu

Kinywa changu


Mwili wangu, Mwili wangu

Nataka ukuabudu wewe Yesu

Mwili wangu


Mawazo yangu, Mawazo yangu

Nataka yakuabudu wewe Yesu

Mawazo yangu


Yesu wee eeh ewe

Yesu wee eeh ewe

Guza moyo wangu

Ponya moyo wangu


Yesu wee eeh ewe

Yesu wee eeh ewe

Ponya moyo wangu

Ponya moyo wangu



















Comments

Popular posts from this blog

Paul Clement - Unaweza Yesu ( Official Video ) | Lyrics

  Utukuzwe wewe uwezaye kufanya, Mambo ya ajabu mno Bwana. Kuliko yote tuyaombayo, Unaweza Yesu. Utukuzwe wewe uwezaye kutenda, Mambo ya ajabu mno Bwana. Kuliko yote tuyawazayo, Unaweza Yesu...×2 CHORUS Unaweza kufanya, Unaweza kutenda, Yaliyo makubwa, Unaweza Yesu.×2 Unaweza kufanya Unaweza kutenda Yaliyo makubwa Unaweza Yesu ×2 VERSE 1 Ibrahimu na Sarah walijua, Hawawezi kupata mtoto tena, Lakini Mungu ukawashangaza, Zaidi ya walivyowaza. Lazaro alikufa, akaoza kabisa, Siku nne alilala kaburini Lakini Yesu ukamfufua Lazaro akawa hai tena. BRIDGE. Zaidi ya... (Iyeee) Tuombayo...(Iyeee) Zaidi ya... (Iyeee) Tuwazayo...(Iyee) Unaweza kufanya Unaweza Yesu CHORUS Unaweza kufanya Unaweza kutenda Yaliyo makubwa Unaweza Yesu ×2 Verse 2 Nani alijua kama ungefanya njia, Katikati ya bahari ya shamu, Umeishangaza dunia, Hakuna linalokushinda. Nani alijua ile mifupa mikavu, Inaweza kuwa hai tena, Kwa pumzi ya uhai wako, Mifupa ikawa jeshi kubwa. BRIDGE. Zaidi ya... (Iyeee) Tuombayo....

Paul Clement Ft Victor Maestro - Baraka (Official Video ) | Lyrics

  Ananiongezea baraka Naiona tofauti ya leo na jana Ananiongezea baraka Huyu ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka Ananiongezea baraka Naiona tofauti ya leo na jana Ananiongezea baraka Huyu ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka Ananiongezea baraka Naiona tofauti ya leo na jana Ananiongezea baraka Huyu ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka Ananiongezea baraka Naiona tofauti ya leo na jana Ananiongezea baraka Huyu ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka Amenijibu zaidi ya vile nivyo muomba Nimemuomba Kazi amenipa na ndoa Nimemuomba watoto amenipa na gari Huyu yesu anazidi kuninyeshea mvua ya baraka eh (Chants) Ananiongezea baraka Naiona tofauti ya leo na jana Ananiongezea baraka Nii Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka Ananiongezea baraka Naiona tofauti ya leo na jana Ananiongezea baraka Ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka Ananiongezea baraka Naiona tofauti ya leo na jana Ananiongezea baraka Ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka Yeye aliye ia—nzisha safari Ataimaliza,yeye mwenye...

Sitafa Moyo | Paul Mwai | Lyrics

Tulipo ianza safari,tulikuwa wengi sana Wengine wamepoteza imani yao,na kurudi nyuma wakafa moyo Lakini kwa neema na fadhili zako,Ebenezer umeniwezesha Sitafa Moyo, Ninajua, Wewe uliniita, Umwaminifu, Kazi ulioanza, Maishani mwangu, Nakuamini utaimaliza Sitafa Moyo, Ninajua, Wewe uliniita, Umwaminifu, Kazi ulioanza, Maishani mwangu, Nakuamini utaimaliza Umenitoa,mbali sana Na safari yangu,ni ndefu sana Milima na mabonde,nimepanda umbali umenileta nimekuona Bwana Umechukua laana zangu,ili niishi Umwema na mwaminifu,nakupenda Rabii Sitafa Moyo, Ninajua, Wewe uliniita, Umwaminifu, Kazi ulioanza, Maishani mwangu, Nakuamini utaimaliza Sasa roho yangu,nisikize Sema unazo nguvu,maana anaishi Usidhani umaskini,sema umepata Aishie ndani yako, ni mkuu saana Sitafa Moyo, Ninajua, Wewe uliniita, Umwaminifu, Kazi ulioanza, Maishani mwangu, Nakuamini utaimaliza Mimi sitahofu,sitakata tamaa Wewe ulinifia,najua unaishi Wewe ulichagua,kufa niishi Uaminifu wako Rabii,hauna kipimo Sitafa moyo (sitahangai...