Skip to main content

Moyo | Eliya Mwantondo ft Paul Seleli | Lyrics



Naomba Uniguze Bwana

Naomba Uniguze Bwana

Guza moyo wangu

Guza moyo wangu


Naomba Uniguze Bwana

Naomba Uniguze Bwana

Guza moyo wangu

Guza moyo wangu


Naomba uniponye Bwana

Naomba uniponye Bwana

Ponya moyo wangu

Ponya moyo wangu


Naomba uniponye Bwana

Naomba uniponye Bwana

Ponya moyo wangu

Ponya moyo wangu



Naomba Uniguze Bwana

Naomba Uniguze Bwana

Guza moyo wangu

Guza moyo wangu


Naomba unigange Bwana

Naomba unigange Bwana

Ganga moyo wangu

Ganga moyo wangu


Naomba Uniguze Bwana

Naomba Uniguze Bwana

Guza moyo wangu

Guza moyo wangu


Yesu wee eeh ewe

Yesu wee eeh ewe

Guza moyo wangu

Guza moyo wangu


Yesu wee eeh ewe

Yesu wee eeh ewe

Ponya moyo wangu

Ponya moyo wangu


Yesu wee eeh ewe

Yesu wee eeh ewe

Ponya moyo wangu

Ponya moyo wangu


Yesu wee eeh ewe

Yesu wee eeh ewe

Ponya moyo wangu

Ponya moyo wangu


Moyo wangu, Moyo wangu

Nataka Nikuabudu wewe Yesu

Moyo wangu


Moyo wangu, Moyo wangu

Nataka ukuabudu wewe Yesu

Moyo wangu


Moyo wangu, Moyo wangu

Nataka ukuabudu wewe Yesu

Moyo wangu


Maisha yangu, Maisha yangu

Nataka ya kuabudu wewe Yesu

Maisha yangu


Ufahamu wangu, Ufahamu wangu

Nataka ukuabudu wewe Yesu

Ufahamu wangu


Kinywa changu, Kinywa changu

Nataka ukuabudu wewe Yesu

Kinywa changu


Mwili wangu, Mwili wangu

Nataka ukuabudu wewe Yesu

Mwili wangu


Mawazo yangu, Mawazo yangu

Nataka yakuabudu wewe Yesu

Mawazo yangu


Yesu wee eeh ewe

Yesu wee eeh ewe

Guza moyo wangu

Ponya moyo wangu


Yesu wee eeh ewe

Yesu wee eeh ewe

Ponya moyo wangu

Ponya moyo wangu



















Comments

Popular posts from this blog

KARURA VOICES - USIKUBALI | LYRICS

Nitaishi aje kama mtu Asiyekujuwa Usikubali Na wakati wangu ukifika Uniite nyumbani Kama hodari Na shetani akiomba ruhusa Aniangamize Usikubali Na shetani akiomba ruhusa Anikandamize Usikubali Chorus Usikubali Usikubali Siogopi kifo Naogopa kufa na sikujui Siogopi moto Sio wangu moto ni wa aadui Nimependwa na Baba Baba ah Alinifia Mwana Mwana ah Nimejazwa na Roho Roho oh Baba, Mwana, Roho

Sitasahau | Kestin Mbogo ft. Pst. Emmanuel Mule | LYRICS

  Najirusha chini ya miguu yako, Yesu nasema ahsante, Nimerudi na shukurani kwako, Sawasawa na yale umetenda, Mataifa yote na yaisikie Sauti yangu leo Nitaimba nitasifu nitakiri Sawasawa na yale umetenda Chorus Nakuabudu, Nakutukuza, Nakuinua Pokea sifa wewe ni Mungu Refrain Sitasahau, Sitasahau, Siwezisahau Mema umenitendea Bridge Mito: Umenivusha Jangwa: Umenivusha Moto: Umenivusha Sitasahau Mawimbi: Umetuliza Dhoruba: Umetuliza Njia: Katengeneza Sitasahau Neno lako: Umetimiza Ahadi: Umetimiza Njia: Katengeneza Sitasahau Magonjwa: Umeniponya Moyo: Umeniponya Dambi zangu zote: Umesamehe Sitasahau Kibali: Umenivisha Heshima: Umenivisha Wema: Umenivisha Sitasahau Refrain Sitasahau, Sitasahau, Siwezisahau, Mema Umenitendea Baba Asante Baba Asante Umenitendea Baba asante(repeat)

Jane Aller | Wastahili (Worthy) | LYRICS

  Malaika wakuabudu, Wewe wastahili Maserafi na makerubi, Wakusujudu Wastahili kuabudiwa, Wewe wastahili  Wastahili kusujudiwa, Wewe wastahili Naungana na Malaika miguuni pako nikisema hakika wastahili  Naungana na Maserafi miguuni pako nikisema hakika wastahili Wastahili, wastahili wastahili mwokozi You are worthy  You are worthy  You are worthy Lamb of God Wagiriire Wageriire,  Wagiriire Mwathani