Skip to main content

Utukufu na Heshima | Ali Mukhwana | Lyrics



Utukufu na heshima bwana
Ni zako Yahweh
Ni zako usiyeshindwa

Utukufu na heshima bwana
Ni zako Yahweh
Ni zako usiyeshindwa

Wewe uliyenihesabia haki
Kwa neema yako
Ni zako usiyeshindwa
Mnara wangu wa utukufu
Na kinga yangu
Ni wewe usiyeshindwa

Utukufu na heshima bwana
Ni zako Yahweh
Ni zako usiyeshindwa

Haki yako bwana yanitangulia
Utukufu wako wanifuata
Ni wewe usiyeshindwa
Ninayemtegemea ni wewe
Ngao yangu ni wewe
Ni wewe usiyeshindwa

Utukufu na heshima bwana
Ni zako Yahweh
Ni zako usiyeshindwa

Utukufu na heshima bwana
Ni zako Yahweh
Ni zako usiyeshindwa

Uliyenichagua ni wewe
Uzima wangu ni wewe
Ni wewe usiyeshindwa
Anilindaye na mabaya ni wewe
Ni wewe bwana aa
Ni wewe bwana usiyeshindwa

Utukufu na heshima bwana
Ni zako Yahweh
Ni zako usiyeshindwa

Utukufu na heshima bwana
Ni zako Yahweh
Ni zako usiyeshindwa

Aliye kama wewe ni nani?
Mwenye heshima kama zako ni nani?
Mwenye upendo kama wako ?
Mwenye neema ?
Mwenye kubariki kama wewe?
Mwenye kuinua kama wewe?
Maamlaka yote hapa duniani
Na kule mbinguni
Ni zako usiyeshindwa

Utukufu na heshima bwana
Ni zako Yahweh
Ni zako usiyeshindwa

Utukufu na heshima bwana
Ni zako Yahweh
Ni zako usiyeshindwa

Comments

Popular posts from this blog

Paul Clement Ft Victor Maestro - Baraka (Official Video ) | Lyrics

  Ananiongezea baraka Naiona tofauti ya leo na jana Ananiongezea baraka Huyu ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka Ananiongezea baraka Naiona tofauti ya leo na jana Ananiongezea baraka Huyu ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka Ananiongezea baraka Naiona tofauti ya leo na jana Ananiongezea baraka Huyu ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka Ananiongezea baraka Naiona tofauti ya leo na jana Ananiongezea baraka Huyu ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka Amenijibu zaidi ya vile nivyo muomba Nimemuomba Kazi amenipa na ndoa Nimemuomba watoto amenipa na gari Huyu yesu anazidi kuninyeshea mvua ya baraka eh (Chants) Ananiongezea baraka Naiona tofauti ya leo na jana Ananiongezea baraka Nii Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka Ananiongezea baraka Naiona tofauti ya leo na jana Ananiongezea baraka Ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka Ananiongezea baraka Naiona tofauti ya leo na jana Ananiongezea baraka Ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka Yeye aliye ia—nzisha safari Ataimaliza,yeye mwenye...

Paul Clement - Unaweza Yesu ( Official Video )

  Utukuzwe wewe uwezaye kufanya, Mambo ya ajabu mno Bwana. Kuliko yote tuyaombayo, Unaweza Yesu. Utukuzwe wewe uwezaye kutenda, Mambo ya ajabu mno Bwana. Kuliko yote tuyawazayo, Unaweza Yesu...×2 CHORUS Unaweza kufanya, Unaweza kutenda, Yaliyo makubwa, Unaweza Yesu.×2 Unaweza kufanya Unaweza kutenda Yaliyo makubwa Unaweza Yesu ×2 VERSE 1 Ibrahimu na Sarah walijua, Hawawezi kupata mtoto tena, Lakini Mungu ukawashangaza, Zaidi ya walivyowaza. Lazaro alikufa, akaoza kabisa, Siku nne alilala kaburini Lakini Yesu ukamfufua Lazaro akawa hai tena. BRIDGE. Zaidi ya... (Iyeee) Tuombayo...(Iyeee) Zaidi ya... (Iyeee) Tuwazayo...(Iyee) Unaweza kufanya Unaweza Yesu CHORUS Unaweza kufanya Unaweza kutenda Yaliyo makubwa Unaweza Yesu ×2 Verse 2 Nani alijua kama ungefanya njia, Katikati ya bahari ya shamu, Umeishangaza dunia, Hakuna linalokushinda. Nani alijua ile mifupa mikavu, Inaweza kuwa hai tena, Kwa pumzi ya uhai wako, Mifupa ikawa jeshi kubwa. BRIDGE. Zaidi ya... (Iyeee) Tuombayo....

Zaidi ya Fahamu/Uko Mwenyewe | Henrick Mruma ft. Clara Minja | Song Lyrics

  Wewe Mungu wa ajabu, Unafanya Maajabu Pale ninaposhindwa Unafanya Mwenyewe   [Repeat]   Zaidi ya fahamu zangu Zaidi ya mawazo yangu Zaidi ya akili yangu Zaidi ya upeo wangu [Repeat}   Uko Mwenyewe Uko Mwenyewe Hakuna wa mfano wako Bwana Uko mwenyewe. [Repeat]   Tazama naenda mbele, wala Hakuna Narudi nyuma tena, Lakini siwezi kumwona kama Wewe. [Repeat]   (Kama wewe, Kama wewe) Wala hakuna (Kama wewe, Kama wewe) Lakini siwezi kumwona kama wewe. [Repeat]   Tazama naenda mbele, wala Hakuna Narudi nyuma tena, Lakini siwezi kumwona kama Wewe. [Repeat]   Wa mfano wako Wa uweza wako Wa mfano wako Wa uweza wako. [Repeat]   Tazama naenda mbele, wala Hakuna Narudi nyuma tena, Lakini siwezi kumwona kama Wewe. [Repeat]