Kuna yule aliyenipenda
Si kwa ajili ya mali
Alinipenda wala hakujali udhaifu wangu
Akanionyesha upendo ambao sijaona kwa wengine
Huyu halali wala, hasizinzii
Hata leo hajawai kunichoka
Sikumtafuta, ni yeye aliyekuja kwangu
Ingawazaje dhambi, makosa yangu
Yesu alinipenda wa kwanza
Nikamwamini, yeye kanisamehe dhambi
Upendo wake, Yesu yeye wanishangaza
Yesu, huyu Yesu, Rafiki mwema
Yesu, huyu Yesu ninampenda (Repeat)
Yesu Kristo Bwana wangu, ni Rafiki mwema (x4)
Yesu huyu Yesu Rafiki mwema
Yesu huyu Yesu ninampenda (Reapeat)
Comments
Post a Comment