Hakuna usiloweza,
Hakuna usiloweza
Naye Roho anipa ufahamu
Kwamba wewe ni mungu
Ushindwi na lolote
Wewe ni Mungu wa vyote
Hakuna usiloweza
Hakuna usiloweza,
Hakuna usiloweza
Sio kwa nguvu, mamlaka, ila kwa Roho wako tu,
Ni rehema yako kwa mwanadamu kumfanyia mema
Ni rehema yako tu, kwa mwanadamu wee kumfanyia mema
Ni rehema, rehema, rehema yako, watufanyia mema
Ah ukipendezwa, pendezwa wewe wa angaza njia zetu uu
Mungu mkubwa, Mungu mkubwa eh Haku-u-una
Hakuna usiloweza
Hakuna usiloweza
Hakuna usiloweza
Comments
Post a Comment