Skip to main content

Zoravo - Sina cha kukurudishia (Ahsante) | LYRICS


Sina cha kukurudishia eh Bwana

Kwa fadhili zako maishani mwangu
Umefanya yaliyo makubwa

Wewe ni mwema

Wewe ni mwema (repeat)

 

Ahsante, ahsante, ahsante

Kwa fadhili zako (repeat)

Comments

Popular posts from this blog

KARURA VOICES - USIKUBALI | LYRICS

Nitaishi aje kama mtu Asiyekujuwa Usikubali Na wakati wangu ukifika Uniite nyumbani Kama hodari Na shetani akiomba ruhusa Aniangamize Usikubali Na shetani akiomba ruhusa Anikandamize Usikubali Chorus Usikubali Usikubali Siogopi kifo Naogopa kufa na sikujui Siogopi moto Sio wangu moto ni wa aadui Nimependwa na Baba Baba ah Alinifia Mwana Mwana ah Nimejazwa na Roho Roho oh Baba, Mwana, Roho

Sitasahau | Kestin Mbogo ft. Pst. Emmanuel Mule | LYRICS

  Najirusha chini ya miguu yako, Yesu nasema ahsante, Nimerudi na shukurani kwako, Sawasawa na yale umetenda, Mataifa yote na yaisikie Sauti yangu leo Nitaimba nitasifu nitakiri Sawasawa na yale umetenda Chorus Nakuabudu, Nakutukuza, Nakuinua Pokea sifa wewe ni Mungu Refrain Sitasahau, Sitasahau, Siwezisahau Mema umenitendea Bridge Mito: Umenivusha Jangwa: Umenivusha Moto: Umenivusha Sitasahau Mawimbi: Umetuliza Dhoruba: Umetuliza Njia: Katengeneza Sitasahau Neno lako: Umetimiza Ahadi: Umetimiza Njia: Katengeneza Sitasahau Magonjwa: Umeniponya Moyo: Umeniponya Dambi zangu zote: Umesamehe Sitasahau Kibali: Umenivisha Heshima: Umenivisha Wema: Umenivisha Sitasahau Refrain Sitasahau, Sitasahau, Siwezisahau, Mema Umenitendea Baba Asante Baba Asante Umenitendea Baba asante(repeat)

REJESHA | Njoki Munyi | LYRICS

Ijapo safari iwe na ugumu Utanishika mkono Ijapo adui aje kwa vishindo Bado wewe uko nami Iwapo safari iwe na huzuni Utayapanguza machozi Ijapo adui aje kwa vishindo Bado wewe uko nami Chorus Utayarejesha maono yangu Miaka yote iliyoliwa na nzige Nimeona wema wako Na nguvu zako maishani mwangu Iwapo safari iwe na giza Utaangaza njia zangu Ijapo adui aje kwa vishindo Bado wewe uko nami Iwapo safari iwe na ukame Wewe ni maji ya uzima Ijapo adui aje kwa vishindo Bado wewe uko nami Chorus Utayarejesha maono yangu Miaka yote iliyoliwa na nzige Nimeona wema wako Na nguvu zako maishani mwangu Refrain Akisema ndio akuna wa kupinga Nitasimama kwa agano lake Nimeona aa wema wako Na nguvu zako maishani mwangu Akifungua mlango hakuna atakaye funga Amesema amesema, Hakuna wa kupinga Nimeona aa wema wako Na nguvu zako maishani mwangu Akikubariki hakuna wakupinga Simama leo kwa hilo neno Nimeona aa wema wako Na nguvu zako maishani mwangu Akikuponya wewe umepona Simama leo kwa ahadi zake Nimeona aa we...