Skip to main content

Eve Nyasha Ngoloma Ft Rebekah Dawn | Bila Wewe Siwezi | Lyrics

 


Verse 1

Nimeonja wema wako

(I've tasted Your godness)

Nimeona uzuri wako

(I've seen Your beauty)

Naamini we ni yule yule

(I believe You're still the same)

Uliyetenda toka mwanzo

(The One who's been faithful from the start)

Basi ninakuamini

(So I put my trust in You)

Hata nikiwa mabondeni

(Even in my lowest valleys)

Naamini we ni yule yule

(I believe You're still the same)

Unayetembea nami

(Walking beside me)


Pre-Chorus

Njoo hima uniokoe Bwana

(Make haste, come and save me, Lord)

Usichelewe niokoe Bwana

(Don't delay, rescue me, Lord)


Chorus

Bila wewe siwezi, Siwezi Bwana

(I can't make it without You, I can't, Lord)

Pekee yangu siwezi, Siwezi Bwana

(Left to myself, I can't make it, I can't, Lord)

Bila wewe siwezi, Siwezi Bwana

(I can't make it without You, I can't, Lord)

Pekee yangu siwezi, Siwezi Bwana

(Left to myself, I can't make it, I can't, Lord)


Verse 2

Mwenye haki akilia

(When the righteous one cries out)

Bwana unamsikia

(You hear him, Lord)

Anayekukimbilia

(Whoever runs to You)

Atapata msaada

(Finds the help they need)

Basi nakukimbilia

(So I run to You now)

Bwana tenda muujiza

(Lord, work a miracle)

Naamini wewe ni yule yule

(I believe You're still the same)

Nahitaji msaada

(I desperately need Your help now)


Pre-chorus

Njoo hima uniokoe Bwana

(Make haste, come and save me, Lord)

Usichelewe niokoe Bwana

(Don't delay, rescue me, Lord)


Chorus

Bila wewe siwezi, Siwezi Bwana

(I can't make it without You, I can't, Lord)

Pekee yangu siwezi, Siwezi Bwana

(Left to myself, I can't make it, I can't, Lord)

Bila wewe siwezi, Siwezi Bwana

(I can't make it without You, I can't, Lord)

Pekee yangu siwezi, Siwezi Bwana

(Left to myself, I can't make it, I can't, Lord)

Bila wewe siwezi, Siwezi Bwana

(I can't make it without You, I can't, Lord)

Pekee yangu siwezi, Siwezi Bwana

(Left to myself, I can't make it, I can't, Lord)


Bridge 

Wamtumainiyo Bwana watapata nguvu mpya

(Those who trust in the Lord will find new strength)

Watapaa juu kwa mbawa kama tai

(They will rise up on wings like eagles)

Watakimbia hawatachoka

(They will run and not grow weary)

Watatembea hawatazimia

(They will walk and not be faint)

Wamtumainiyo Bwana watapata nguvu mpya

(Those who trust in the Lord will find new strength)

Watapaa juu kwa mbawa kama tai

(They will rise up on wings like eagles)

Watakimbia hawatachoka

(They will run and not grow weary)

Watatembea hawatazimia

(They will walk and not be faint)


Vamp

Bwana sasa, Nakutumainiya maana

(Lord, I'm trusting in You now, because)

Bila wewe, pekee yangu, siwezi Bwana

(I can't make it alone, I can't, Lord)

Kwa unyenyekevu, nakurudia maana

(Humbly, I come back to You in surrender, because)

Bila wewe, pekee yangu, siwezi Bwana

(I can't make it alone, I can't, Lord)

Mimi hapa, nakutegemea maana

(Here I am, I depend on You, because)

Bila wewe, pekee yangu, siwezi Bwana

(I can't make it alone, I can't, Lord)

Nakukimbilia, nipe msaada

(I'm running to You, send Your help)

Bila wewe, pekee yangu, siwezi Bwana

(I can't make it alone, I can't, Lord)




Comments

Popular posts from this blog

Paul Clement - Unaweza Yesu ( Official Video ) | Lyrics

  Utukuzwe wewe uwezaye kufanya, Mambo ya ajabu mno Bwana. Kuliko yote tuyaombayo, Unaweza Yesu. Utukuzwe wewe uwezaye kutenda, Mambo ya ajabu mno Bwana. Kuliko yote tuyawazayo, Unaweza Yesu...×2 CHORUS Unaweza kufanya, Unaweza kutenda, Yaliyo makubwa, Unaweza Yesu.×2 Unaweza kufanya Unaweza kutenda Yaliyo makubwa Unaweza Yesu ×2 VERSE 1 Ibrahimu na Sarah walijua, Hawawezi kupata mtoto tena, Lakini Mungu ukawashangaza, Zaidi ya walivyowaza. Lazaro alikufa, akaoza kabisa, Siku nne alilala kaburini Lakini Yesu ukamfufua Lazaro akawa hai tena. BRIDGE. Zaidi ya... (Iyeee) Tuombayo...(Iyeee) Zaidi ya... (Iyeee) Tuwazayo...(Iyee) Unaweza kufanya Unaweza Yesu CHORUS Unaweza kufanya Unaweza kutenda Yaliyo makubwa Unaweza Yesu ×2 Verse 2 Nani alijua kama ungefanya njia, Katikati ya bahari ya shamu, Umeishangaza dunia, Hakuna linalokushinda. Nani alijua ile mifupa mikavu, Inaweza kuwa hai tena, Kwa pumzi ya uhai wako, Mifupa ikawa jeshi kubwa. BRIDGE. Zaidi ya... (Iyeee) Tuombayo....

Paul Clement Ft Victor Maestro - Baraka (Official Video ) | Lyrics

  Ananiongezea baraka Naiona tofauti ya leo na jana Ananiongezea baraka Huyu ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka Ananiongezea baraka Naiona tofauti ya leo na jana Ananiongezea baraka Huyu ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka Ananiongezea baraka Naiona tofauti ya leo na jana Ananiongezea baraka Huyu ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka Ananiongezea baraka Naiona tofauti ya leo na jana Ananiongezea baraka Huyu ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka Amenijibu zaidi ya vile nivyo muomba Nimemuomba Kazi amenipa na ndoa Nimemuomba watoto amenipa na gari Huyu yesu anazidi kuninyeshea mvua ya baraka eh (Chants) Ananiongezea baraka Naiona tofauti ya leo na jana Ananiongezea baraka Nii Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka Ananiongezea baraka Naiona tofauti ya leo na jana Ananiongezea baraka Ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka Ananiongezea baraka Naiona tofauti ya leo na jana Ananiongezea baraka Ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka Yeye aliye ia—nzisha safari Ataimaliza,yeye mwenye...

Sitafa Moyo | Paul Mwai | Lyrics

Tulipo ianza safari,tulikuwa wengi sana Wengine wamepoteza imani yao,na kurudi nyuma wakafa moyo Lakini kwa neema na fadhili zako,Ebenezer umeniwezesha Sitafa Moyo, Ninajua, Wewe uliniita, Umwaminifu, Kazi ulioanza, Maishani mwangu, Nakuamini utaimaliza Sitafa Moyo, Ninajua, Wewe uliniita, Umwaminifu, Kazi ulioanza, Maishani mwangu, Nakuamini utaimaliza Umenitoa,mbali sana Na safari yangu,ni ndefu sana Milima na mabonde,nimepanda umbali umenileta nimekuona Bwana Umechukua laana zangu,ili niishi Umwema na mwaminifu,nakupenda Rabii Sitafa Moyo, Ninajua, Wewe uliniita, Umwaminifu, Kazi ulioanza, Maishani mwangu, Nakuamini utaimaliza Sasa roho yangu,nisikize Sema unazo nguvu,maana anaishi Usidhani umaskini,sema umepata Aishie ndani yako, ni mkuu saana Sitafa Moyo, Ninajua, Wewe uliniita, Umwaminifu, Kazi ulioanza, Maishani mwangu, Nakuamini utaimaliza Mimi sitahofu,sitakata tamaa Wewe ulinifia,najua unaishi Wewe ulichagua,kufa niishi Uaminifu wako Rabii,hauna kipimo Sitafa moyo (sitahangai...