Skip to main content

Zaidi ya Fahamu/Uko Mwenyewe | Henrick Mruma ft. Clara Minja | Song Lyrics


 
Wewe Mungu wa ajabu,

Unafanya Maajabu

Pale ninaposhindwa

Unafanya Mwenyewe  [Repeat]

 

Zaidi ya fahamu zangu

Zaidi ya mawazo yangu

Zaidi ya akili yangu

Zaidi ya upeo wangu [Repeat}

 

Uko Mwenyewe

Uko Mwenyewe

Hakuna wa mfano wako Bwana

Uko mwenyewe. [Repeat]

 

Tazama naenda mbele, wala Hakuna

Narudi nyuma tena,

Lakini siwezi kumwona kama Wewe. [Repeat]

 

(Kama wewe, Kama wewe)

Wala hakuna

(Kama wewe, Kama wewe)

Lakini siwezi kumwona kama wewe. [Repeat]

 

Tazama naenda mbele, wala Hakuna

Narudi nyuma tena,

Lakini siwezi kumwona kama Wewe. [Repeat]

 

Wa mfano wako

Wa uweza wako

Wa mfano wako

Wa uweza wako. [Repeat]

 

Tazama naenda mbele, wala Hakuna

Narudi nyuma tena,

Lakini siwezi kumwona kama Wewe. [Repeat]

 

 

 

 

 

 

Comments

Popular posts from this blog

KARURA VOICES - USIKUBALI | LYRICS

Nitaishi aje kama mtu Asiyekujuwa Usikubali Na wakati wangu ukifika Uniite nyumbani Kama hodari Na shetani akiomba ruhusa Aniangamize Usikubali Na shetani akiomba ruhusa Anikandamize Usikubali Chorus Usikubali Usikubali Siogopi kifo Naogopa kufa na sikujui Siogopi moto Sio wangu moto ni wa aadui Nimependwa na Baba Baba ah Alinifia Mwana Mwana ah Nimejazwa na Roho Roho oh Baba, Mwana, Roho

Sitasahau | Kestin Mbogo ft. Pst. Emmanuel Mule | LYRICS

  Najirusha chini ya miguu yako, Yesu nasema ahsante, Nimerudi na shukurani kwako, Sawasawa na yale umetenda, Mataifa yote na yaisikie Sauti yangu leo Nitaimba nitasifu nitakiri Sawasawa na yale umetenda Chorus Nakuabudu, Nakutukuza, Nakuinua Pokea sifa wewe ni Mungu Refrain Sitasahau, Sitasahau, Siwezisahau Mema umenitendea Bridge Mito: Umenivusha Jangwa: Umenivusha Moto: Umenivusha Sitasahau Mawimbi: Umetuliza Dhoruba: Umetuliza Njia: Katengeneza Sitasahau Neno lako: Umetimiza Ahadi: Umetimiza Njia: Katengeneza Sitasahau Magonjwa: Umeniponya Moyo: Umeniponya Dambi zangu zote: Umesamehe Sitasahau Kibali: Umenivisha Heshima: Umenivisha Wema: Umenivisha Sitasahau Refrain Sitasahau, Sitasahau, Siwezisahau, Mema Umenitendea Baba Asante Baba Asante Umenitendea Baba asante(repeat)

Jane Aller | Wastahili (Worthy) | LYRICS

  Malaika wakuabudu, Wewe wastahili Maserafi na makerubi, Wakusujudu Wastahili kuabudiwa, Wewe wastahili  Wastahili kusujudiwa, Wewe wastahili Naungana na Malaika miguuni pako nikisema hakika wastahili  Naungana na Maserafi miguuni pako nikisema hakika wastahili Wastahili, wastahili wastahili mwokozi You are worthy  You are worthy  You are worthy Lamb of God Wagiriire Wageriire,  Wagiriire Mwathani