Ni jina La Yesu Ni jina la Yesu oh Latupa nguvu na mamlaka Latupa nguvu na mamlaka (Repeat) Viwete watembea Viziwi wasikia Vipofu wanaona Wagonjwa wanapona Kwa hilo jina lake Yesu Kwa hilo jina lake Yesu Ni jina La Yesu Ni jina la Yesu oh Latupa nguvu na mamlaka Latupa nguvu na mamlaka (Repeat) Nyororo zinavunjwa Wokovu tunapata Na nguvu tunapewa Mamlaka tunajazwa Kwa hilo jina lake Yesu Kwa hilo jina lake Yesu Ni jina La Yesu Ni jina la Yesu oh Latupa nguvu na mamlaka Latupa nguvu na mamlaka (Repeat) Latupa nguvu na mamlaka Latupa nguvu na mamlaka (Repeat)
Atakaye kuwa na wema Ahitajie kuheshimiwa Basi aende ayatafute kwa kutenda mema bila kusita Asiyajali macho ya watu Maana yao sio muhimu Bali ajali jina nimuitalo Kwani mi ni Mungu aliyemuumba Chorus Ninayajua yangu malengo Ni mema sio mabaya Ili niwape matumaini ya siku zijazo Nawapenda Wambieni wenye huzuni Tulizeni wenye majelaha Wambieni waje waone Tuna Mungu mwingi wa upendo Alitukuta tukigagaa dhambini akatutoa Katuosha na kutusafisha Akatuahidi uzima wa milele Verse 2 Simameni kwenye mnara, usubiri ntakacho kisema Zizuieni sauti za muovu Na upende kuwa mwenye haki Nenda omba tena uombe Tofautisha kuomba kwako, Maana hapo nitakuokoa Nitaoa jeshi kubwa kwa ajili yako