Skip to main content

Posts

AYALA | EUNICE NJERI MUTHII | LYRICS

  Nafsi yangu, zaidi yatamani maskani yako Mungu mwenye enzi Moyo wangu na mwili huu Wakulilia ee Mungu Jua langu, Ngao yangu Wanipa neema na utukufu Hakuna kitu chema Wewe wanyima watafutao uso wako  Kama ayala, aionavyo kiu Ndivyo nafsi yangu yakutamani (Repeat) Naweka moyo kweye hija Bonde la kilio nitapita  Naweka moyo kweye hija Sayuni kwako nisimame (Repeat) Nimekukimbilia, chemichemi ya uzima (Repeat)
Recent posts

KARURA VOICES - USIKUBALI | LYRICS

Nitaishi aje kama mtu Asiyekujuwa Usikubali Na wakati wangu ukifika Uniite nyumbani Kama hodari Na shetani akiomba ruhusa Aniangamize Usikubali Na shetani akiomba ruhusa Anikandamize Usikubali Chorus Usikubali Usikubali Siogopi kifo Naogopa kufa na sikujui Siogopi moto Sio wangu moto ni wa aadui Nimependwa na Baba Baba ah Alinifia Mwana Mwana ah Nimejazwa na Roho Roho oh Baba, Mwana, Roho

Ila YESU | Henrick Mruma | LYRICS

  Umejawa nazo nguvu Umeketi enzini Jina lako la shangaza,  La stajabisha Yesu (Repeat) Chorus Ila Yesu nimekunyoshea mikono Unatisha, haulinganishiki hata iweje (Repeat) Umetamalaki, umetamalaki, Uko juu sana Ya miungu yote Jina lako halifanani Hali lingani Na miungu mingine (Repeat) Chorus Ila Yesu nimekunyoshea mikono Unatisha, haulinganishiki hata iweje Umetamalaki, umetamalaki, Uko juu sana Ya miungu yote Jina lako halifanani Hali lingani Na miungu mingine (Repeat) Waamamisha milima Wapasua bahari Wafungua vifungo Wafufua wafu Chorus Ila Yesu nimekunyoshea mikono Unatisha, haulinganishiki hata iweje Umetamalaki, umetamalaki, Uko juu sana Ya miungu yote Jina lako halifanani Hali lingani Na miungu mingine (Repeat)

REJESHA | Njoki Munyi | LYRICS

Ijapo safari iwe na ugumu Utanishika mkono Ijapo adui aje kwa vishindo Bado wewe uko nami Iwapo safari iwe na huzuni Utayapanguza machozi Ijapo adui aje kwa vishindo Bado wewe uko nami Chorus Utayarejesha maono yangu Miaka yote iliyoliwa na nzige Nimeona wema wako Na nguvu zako maishani mwangu Iwapo safari iwe na giza Utaangaza njia zangu Ijapo adui aje kwa vishindo Bado wewe uko nami Iwapo safari iwe na ukame Wewe ni maji ya uzima Ijapo adui aje kwa vishindo Bado wewe uko nami Chorus Utayarejesha maono yangu Miaka yote iliyoliwa na nzige Nimeona wema wako Na nguvu zako maishani mwangu Refrain Akisema ndio akuna wa kupinga Nitasimama kwa agano lake Nimeona aa wema wako Na nguvu zako maishani mwangu Akifungua mlango hakuna atakaye funga Amesema amesema, Hakuna wa kupinga Nimeona aa wema wako Na nguvu zako maishani mwangu Akikubariki hakuna wakupinga Simama leo kwa hilo neno Nimeona aa wema wako Na nguvu zako maishani mwangu Akikuponya wewe umepona Simama leo kwa ahadi zake Nimeona aa we...

UTUKUZWE | EUNICE NJERI MUTHII | LYRICS

Baba we ni moto wewe mtakatifu Wewe ndiwe Mungu pekee Tena we sauti ukinena nani apinge Nasema we sauti Ukisema ni ndio na amina  Njia ya uzima, kweli na uhai niwe Baba we ni mot wewe mtakatifu Wewe ndiwe Mungu pekee Nasema we sauti ukinena nani apinge Nasema we sauti Ukisema ni ndio na amina  Njia ya uzima, kweli na uhai niwe Njia ya uzima, kweli na uhai niwe Utukuzwe Bwana, utukuzwe Utuzwe Bwana, milele Sifa zako bado zaenea Bwana utukuzwe Utukuzwe Bwana, utukuzwe Utuzwe Bwana, milele Sifa zako bado zaenea Bwana utukuzwe  Moyo wangu nauegemeza kwako Na macho yangu nakuinulia tena Uhai wangu nimeachilia kwako Baba Wastahili nakusalimu, nakusalimu Yesu Utukuzwe Bwana, utukuzwe Utuzwe Bwana, milele Sifa zako bado zaenea Bwana utukuzwe  Hallelujah eeh, halleluja aah Hallelujah eeh, halleluja aah (Ni kwa nani) Hallelujah eeh, halleluja aah (Ni kwa Yesu) Hallelujah eeh, halleluja aah (Inua kabisa) Hallelujah eeh, halleluja aah Utukuzwe Bwana, utukuzwe Utuzwe Bwana, milel...

Jane Aller | Wastahili (Worthy) | LYRICS

  Malaika wakuabudu, Wewe wastahili Maserafi na makerubi, Wakusujudu Wastahili kuabudiwa, Wewe wastahili  Wastahili kusujudiwa, Wewe wastahili Naungana na Malaika miguuni pako nikisema hakika wastahili  Naungana na Maserafi miguuni pako nikisema hakika wastahili Wastahili, wastahili wastahili mwokozi You are worthy  You are worthy  You are worthy Lamb of God Wagiriire Wageriire,  Wagiriire Mwathani

Sitasahau | Kestin Mbogo ft. Pst. Emmanuel Mule | LYRICS

  Najirusha chini ya miguu yako, Yesu nasema ahsante, Nimerudi na shukurani kwako, Sawasawa na yale umetenda, Mataifa yote na yaisikie Sauti yangu leo Nitaimba nitasifu nitakiri Sawasawa na yale umetenda Chorus Nakuabudu, Nakutukuza, Nakuinua Pokea sifa wewe ni Mungu Refrain Sitasahau, Sitasahau, Siwezisahau Mema umenitendea Bridge Mito: Umenivusha Jangwa: Umenivusha Moto: Umenivusha Sitasahau Mawimbi: Umetuliza Dhoruba: Umetuliza Njia: Katengeneza Sitasahau Neno lako: Umetimiza Ahadi: Umetimiza Njia: Katengeneza Sitasahau Magonjwa: Umeniponya Moyo: Umeniponya Dambi zangu zote: Umesamehe Sitasahau Kibali: Umenivisha Heshima: Umenivisha Wema: Umenivisha Sitasahau Refrain Sitasahau, Sitasahau, Siwezisahau, Mema Umenitendea Baba Asante Baba Asante Umenitendea Baba asante(repeat)