Kuna yule aliyenipenda Si kwa ajili ya mali Alinipenda wala hakujali udhaifu wangu Akanionyesha upendo ambao sijaona kwa wengine Huyu halali wala, hasizinzii Hata leo hajawai kunichoka Sikumtafuta, ni yeye aliyekuja kwangu Ingawazaje dhambi, makosa yangu Yesu alinipenda wa kwanza Nikamwamini, yeye kanisamehe dhambi Upendo wake, Yesu yeye wanishangaza Yesu, huyu Yesu, Rafiki mwema Yesu, huyu Yesu ninampenda (Repeat) Yesu Kristo Bwana wangu, ni Rafiki mwema ( x4) Yesu huyu Yesu Rafiki mwema Yesu huyu Yesu ninampenda (Reapeat)
"Find inspiration in every verse - Your go-to destination for Christian music lyrics"