Skip to main content

Your Glory | Angel Benard and Paul Clement | Lyrics




We’ve seen your Glory

We’ve seen your Power

We lift You higher

All the glory belongs to You


Tumeona utukufu

Tumeona nguvu zako

Tunakuinua

Utukufu wote ni wako


We’ve seen your Glory

We’ve seen your Power

We lift You higher

All the glory belongs to You


Tumeona nguvu zako

Tumeona utukufu wako

Tunakuinua

Utukufu wote ni wako


We’ve seen your Glory

We’ve seen your Power

We lift You higher

All the glory belongs to You


Tumeona nguvu zako

Tumeona utukufu wako

Twakuinua

Utukufu wote ni wako


We’ve seen your Glory

We’ve seen your Power

We lift You higher

All the glory belongs to You


Tumeona nguvu zako

Tumeona utukufu wako

Twakuinua

Utukufu wote ni wako


You made a way

 Where there seems to be no way

We lift You higher 

All the glory belongs to You


Lord, you broke the chain

I couldn't do it by myself

We lift You higher 

All the glory belongs to You


See what you've done

You gave meaning to my life

We lift You higher 

All the glory belongs to You


Unakwenda na mimi Yesu

Hatua hatua mpaka mwisho

Twakuinua

Utukufu wote ni wako


We’ve seen your Glory

We’ve seen your Power

We lift You higher

All the glory belongs to You


Tumeona nguvu zako

Tumeona utukufu wako

Twakuinua

Utukufu wote ni wako


We’ve seen your Glory

We’ve seen your Power

We lift You higher

All the glory belongs to You


Tumeona nguvu zako

Tumeona utukufu wako

Twakuinua

Utukufu wote ni wako


Talodabire

Talodabire

We lift You higher

All the glory belongs to You


Wa ajabu Yesu

Wa ajabu Yesu

Twakuinua

Utukufu wote ni wako


You are my Helper

Your Helper

We lift You higher

All the glory belongs to You


My Deliverer

My Redeemer Jesus

We lift You higher

All the glory belongs to You


You're my Anchor

You're my Anchor

We lift you higher

All the glory belongs to You


We’ve seen your Glory

We’ve seen your Power

We lift You higher

All the glory belongs to You


Tumeona nguvu zako

Tumeona utukufu wako

Twakuinua

Utukufu wote ni wako


Tumeona nguvu zako

Tumeona utukufu wako

Twakuinua

Utukufu wote ni wako


Tumeona nguvu zako

Tumeona utukufu wako

Twakuinua

Utukufu wote ni wako



Talodabire

Talodabire

We lift You higher

All the glory belongs to You


Tumeona nguvu zako

Tumeona utukufu wako

Twakuinua

Utukufu wote ni wako


Tumeona nguvu zako

Tumeona utukufu wako

Twakuinua

Utukufu wote ni wako











Comments

Popular posts from this blog

Paul Clement Ft Victor Maestro - Baraka (Official Video ) | Lyrics

  Ananiongezea baraka Naiona tofauti ya leo na jana Ananiongezea baraka Huyu ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka Ananiongezea baraka Naiona tofauti ya leo na jana Ananiongezea baraka Huyu ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka Ananiongezea baraka Naiona tofauti ya leo na jana Ananiongezea baraka Huyu ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka Ananiongezea baraka Naiona tofauti ya leo na jana Ananiongezea baraka Huyu ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka Amenijibu zaidi ya vile nivyo muomba Nimemuomba Kazi amenipa na ndoa Nimemuomba watoto amenipa na gari Huyu yesu anazidi kuninyeshea mvua ya baraka eh (Chants) Ananiongezea baraka Naiona tofauti ya leo na jana Ananiongezea baraka Nii Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka Ananiongezea baraka Naiona tofauti ya leo na jana Ananiongezea baraka Ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka Ananiongezea baraka Naiona tofauti ya leo na jana Ananiongezea baraka Ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka Yeye aliye ia—nzisha safari Ataimaliza,yeye mwenye...

Paul Clement - Unaweza Yesu ( Official Video )

  Utukuzwe wewe uwezaye kufanya, Mambo ya ajabu mno Bwana. Kuliko yote tuyaombayo, Unaweza Yesu. Utukuzwe wewe uwezaye kutenda, Mambo ya ajabu mno Bwana. Kuliko yote tuyawazayo, Unaweza Yesu...×2 CHORUS Unaweza kufanya, Unaweza kutenda, Yaliyo makubwa, Unaweza Yesu.×2 Unaweza kufanya Unaweza kutenda Yaliyo makubwa Unaweza Yesu ×2 VERSE 1 Ibrahimu na Sarah walijua, Hawawezi kupata mtoto tena, Lakini Mungu ukawashangaza, Zaidi ya walivyowaza. Lazaro alikufa, akaoza kabisa, Siku nne alilala kaburini Lakini Yesu ukamfufua Lazaro akawa hai tena. BRIDGE. Zaidi ya... (Iyeee) Tuombayo...(Iyeee) Zaidi ya... (Iyeee) Tuwazayo...(Iyee) Unaweza kufanya Unaweza Yesu CHORUS Unaweza kufanya Unaweza kutenda Yaliyo makubwa Unaweza Yesu ×2 Verse 2 Nani alijua kama ungefanya njia, Katikati ya bahari ya shamu, Umeishangaza dunia, Hakuna linalokushinda. Nani alijua ile mifupa mikavu, Inaweza kuwa hai tena, Kwa pumzi ya uhai wako, Mifupa ikawa jeshi kubwa. BRIDGE. Zaidi ya... (Iyeee) Tuombayo....

Zaidi ya Fahamu/Uko Mwenyewe | Henrick Mruma ft. Clara Minja | Song Lyrics

  Wewe Mungu wa ajabu, Unafanya Maajabu Pale ninaposhindwa Unafanya Mwenyewe   [Repeat]   Zaidi ya fahamu zangu Zaidi ya mawazo yangu Zaidi ya akili yangu Zaidi ya upeo wangu [Repeat}   Uko Mwenyewe Uko Mwenyewe Hakuna wa mfano wako Bwana Uko mwenyewe. [Repeat]   Tazama naenda mbele, wala Hakuna Narudi nyuma tena, Lakini siwezi kumwona kama Wewe. [Repeat]   (Kama wewe, Kama wewe) Wala hakuna (Kama wewe, Kama wewe) Lakini siwezi kumwona kama wewe. [Repeat]   Tazama naenda mbele, wala Hakuna Narudi nyuma tena, Lakini siwezi kumwona kama Wewe. [Repeat]   Wa mfano wako Wa uweza wako Wa mfano wako Wa uweza wako. [Repeat]   Tazama naenda mbele, wala Hakuna Narudi nyuma tena, Lakini siwezi kumwona kama Wewe. [Repeat]