Skip to main content

Posts

I need Thee every hour | Hymns | Lyrics

  I need Thee every hour, Most gracious Lord; No tender voice like Thine Can peace afford.   I need Thee, oh, I need Thee; Every hour I need Thee; Oh, bless me now, my Savior! I come to Thee. I need Thee every hour, Stay Thou nearby; Temptations lose their power When Thou art nigh. I need Thee every hour, In joy or pain; Come quickly and abide, Or life is vain. I need Thee every hour, Teach me Thy will; And Thy rich promises In me fulfill. I need Thee every hour, Most Holy One; Oh, make me Thine indeed, Thou blessed Son.

Utukufu na Heshima | Ali Mukhwana | Lyrics

Utukufu na heshima bwana Ni zako Yahweh Ni zako usiyeshindwa Utukufu na heshima bwana Ni zako Yahweh Ni zako usiyeshindwa Wewe uliyenihesabia haki Kwa neema yako Ni zako usiyeshindwa Mnara wangu wa utukufu Na kinga yangu Ni wewe usiyeshindwa Utukufu na heshima bwana Ni zako Yahweh Ni zako usiyeshindwa Haki yako bwana yanitangulia Utukufu wako wanifuata Ni wewe usiyeshindwa Ninayemtegemea ni wewe Ngao yangu ni wewe Ni wewe usiyeshindwa Utukufu na heshima bwana Ni zako Yahweh Ni zako usiyeshindwa Utukufu na heshima bwana Ni zako Yahweh Ni zako usiyeshindwa Uliyenichagua ni wewe Uzima wangu ni wewe Ni wewe usiyeshindwa Anilindaye na mabaya ni wewe Ni wewe bwana aa Ni wewe bwana usiyeshindwa Utukufu na heshima bwana Ni zako Yahweh Ni zako usiyeshindwa Utukufu na heshima bwana Ni zako Yahweh Ni zako usiyeshindwa Aliye kama wewe ni nani? Mwenye heshima kama zako ni nani? Mwenye upendo kama wako ? Mwenye neema ? Mwenye kubariki kama wewe? Mwenye kuinua kama wewe? Maamlaka yote hapa duniani Na...

Your Glory | Angel Benard and Paul Clement | Lyrics

We’ve seen your Glory We’ve seen your Power We lift You higher All the glory belongs to You Tumeona utukufu Tumeona nguvu zako Tunakuinua Utukufu wote ni wako We’ve seen your Glory We’ve seen your Power We lift You higher All the glory belongs to You Tumeona nguvu zako Tumeona utukufu wako Tunakuinua Utukufu wote ni wako We’ve seen your Glory We’ve seen your Power We lift You higher All the glory belongs to You Tumeona nguvu zako Tumeona utukufu wako Twakuinua Utukufu wote ni wako We’ve seen your Glory We’ve seen your Power We lift You higher All the glory belongs to You Tumeona nguvu zako Tumeona utukufu wako Twakuinua Utukufu wote ni wako You made a way  Where there seems to be no way We lift You higher  All the glory belongs to You Lord, you broke the chain I couldn't do it by myself We lift You higher  All the glory belongs to You See what you've done You gave meaning to my life We lift You higher  All the glory belongs to You Unakwenda na mimi Yesu Hatua hatua m...

Yesu Nakupenda | Henrick Mruma | Lyrics

  Yesu Yesu nakupenda U Mwamba wangu, Dhabiti, imara, milele Yesu Yesu nakupenda U Mwamba wangu, Dhabiti, imara, milele Yesu Yesu nakupenda U mwamba wangu, Dhabiti, imara, milele Yesu Yesu nakupenda U mwamba wangu, Dhabiti, imara milele Yale umetenda kwangu Sijaweza kuhesabu Oh o nakupenda Yesu We Mwamba wangu Yesu Yesu nakupenda U Mwamba wangu, Dhabiti, imara, milele Yesu Yesu nakupenda U Mwamba wangu, Dhabiti, imara, milele Yale umetenda kwangu Sijaweza kuhesabu Oh o nakupenda Yesu We Mwamba wangu Yale umetenda kwangu Sijaweza kuhesabu Oh o nakupenda Yesu We Mwamba wangu Yale umetenda kwangu Sijaweza kuhesabu Oh o nakupenda Yesu We Mwamba wangu Yale umetenda kwangu Sijaweza kuhesabu Oh o nakupenda Yesu We Mwamba wangu Nakupenda Yesu We Mwamba wangu Nakupenda Yesu We Mwamba wangu Nakupenda Yesu We Mwamba wangu Nakupenda Yesu We Mwamba wangu

Sitafa Moyo | Paul Mwai | Lyrics

Tulipo ianza safari,tulikuwa wengi sana Wengine wamepoteza imani yao,na kurudi nyuma wakafa moyo Lakini kwa neema na fadhili zako,Ebenezer umeniwezesha Sitafa Moyo, Ninajua, Wewe uliniita, Umwaminifu, Kazi ulioanza, Maishani mwangu, Nakuamini utaimaliza Sitafa Moyo, Ninajua, Wewe uliniita, Umwaminifu, Kazi ulioanza, Maishani mwangu, Nakuamini utaimaliza Umenitoa,mbali sana Na safari yangu,ni ndefu sana Milima na mabonde,nimepanda umbali umenileta nimekuona Bwana Umechukua laana zangu,ili niishi Umwema na mwaminifu,nakupenda Rabii Sitafa Moyo, Ninajua, Wewe uliniita, Umwaminifu, Kazi ulioanza, Maishani mwangu, Nakuamini utaimaliza Sasa roho yangu,nisikize Sema unazo nguvu,maana anaishi Usidhani umaskini,sema umepata Aishie ndani yako, ni mkuu saana Sitafa Moyo, Ninajua, Wewe uliniita, Umwaminifu, Kazi ulioanza, Maishani mwangu, Nakuamini utaimaliza Mimi sitahofu,sitakata tamaa Wewe ulinifia,najua unaishi Wewe ulichagua,kufa niishi Uaminifu wako Rabii,hauna kipimo Sitafa moyo (sitahangai...

Neema Gospel Choir - Victory Declaration (Live Music Video)

  Tumesimama juu ya mwamba Kamwe hatutatikisika Hatuna shaka Ndani ya Yesu tuko salama Tumesimama juu ya mwamba Kamwe hatutatikisika Hatuna shaka Ndani ya Yesu tuko salama Tumesimama juu ya mwamba Kamwe hatutatikisika Hatuna shaka Ndani ya Yesu tuko salama Tumesimama juu ya mwamba Kamwe hatutatikisika Hatuna shaka Ndani ya Yesu tuko salama Tumekimbilia kwake Tumesitirika kwake Katukumbatia kwa mbawa zake Hatuna shaka Ndani ya Yesu tuko salama Tumekimbilia kwake Tumesitirika kwake Katukumbatia kwa mbawa zake Hatuna shaka Ndani ya Yesu tuko salama Ni yake haya mapenzi mema Ni yake hii nyingi neema Ni yake haya mapenzi mema Ni yake hii nyingi neema Ni yake haya mapenzi mema Ni yake hii nyingi neema Ni yake haya mapenzi mema Ni yake hii nyingi neema Ni yake haya mapenzi mema Ni yake hii nyingi neema Ni yake haya mapenzi mema Ni yake hii nyingi neema Imetimia kwetu Ameifanya kweli Ahadi yake Imetimia kwetu Ameifanya kweli Ahadi yake Imetimia kwetu Ameifanya kweli Ahadi yake Imetimia kwe...