Skip to main content

BAHATI - YAHWEH (Official Video) | Lyrics




Yahweh, Yahweh eh

Mwamba wangu, we ni Mungu wangu

Yahweh, Yahweh eh

Mwamba wangu, nguvu yangu


Inao nyingi shinda, umenipa ushindi

Walipoteta Baba, ulisimama nami

Baba wakati wa vita, ukaniita mshindi

Kwa waisraeli ukaleta maji jangwani

Umenibeba ka mtototo, na mama

Umetimiza ndototo, za zama

Umenibeba ka mtototo, na mama

Umetimiza ndototo, zangu za zama Baba


Yahweh, Yahweh eh

Mwamba wangu, we ni Mungu wangu

Yahweh, Yahweh eh

Mwamba wangu, nguvu yangu


Kwa hii safari, nifikishe salama

Ingawa mitego mingi niondolee njiani

Ninapokosa shukrani lawama

Baba rehema zako kwangu hazikomi

Baba niondolee, nami nikujue kiundani

Niondolee kilicho ndani hakikupendezi

Niondolee, marafiki wanafiki

Niondolee Yesu niondolee


Yahweh, Yahweh eh

Mwamba wangu, we ni Mungu wangu

Yahweh, Yahweh eh

Mwamba wangu, nguvu yangu


Umenibeba ka mtototo, na mama

Nimetimiza ndototo, za zama

Umenibeba ka mtototo, na mama

Nimetimiza ndototo, zangu za zama Baba


Yahweh, Yahweh eh

Muumba wangu, nguvu yangu

Yahweh, Yahweh eh

Mwamba wangu, we ni Mungu wangu











 

Comments

Popular posts from this blog

KARURA VOICES - USIKUBALI | LYRICS

Nitaishi aje kama mtu Asiyekujuwa Usikubali Na wakati wangu ukifika Uniite nyumbani Kama hodari Na shetani akiomba ruhusa Aniangamize Usikubali Na shetani akiomba ruhusa Anikandamize Usikubali Chorus Usikubali Usikubali Siogopi kifo Naogopa kufa na sikujui Siogopi moto Sio wangu moto ni wa aadui Nimependwa na Baba Baba ah Alinifia Mwana Mwana ah Nimejazwa na Roho Roho oh Baba, Mwana, Roho

Sitasahau | Kestin Mbogo ft. Pst. Emmanuel Mule | LYRICS

  Najirusha chini ya miguu yako, Yesu nasema ahsante, Nimerudi na shukurani kwako, Sawasawa na yale umetenda, Mataifa yote na yaisikie Sauti yangu leo Nitaimba nitasifu nitakiri Sawasawa na yale umetenda Chorus Nakuabudu, Nakutukuza, Nakuinua Pokea sifa wewe ni Mungu Refrain Sitasahau, Sitasahau, Siwezisahau Mema umenitendea Bridge Mito: Umenivusha Jangwa: Umenivusha Moto: Umenivusha Sitasahau Mawimbi: Umetuliza Dhoruba: Umetuliza Njia: Katengeneza Sitasahau Neno lako: Umetimiza Ahadi: Umetimiza Njia: Katengeneza Sitasahau Magonjwa: Umeniponya Moyo: Umeniponya Dambi zangu zote: Umesamehe Sitasahau Kibali: Umenivisha Heshima: Umenivisha Wema: Umenivisha Sitasahau Refrain Sitasahau, Sitasahau, Siwezisahau, Mema Umenitendea Baba Asante Baba Asante Umenitendea Baba asante(repeat)

Jane Aller | Wastahili (Worthy) | LYRICS

  Malaika wakuabudu, Wewe wastahili Maserafi na makerubi, Wakusujudu Wastahili kuabudiwa, Wewe wastahili  Wastahili kusujudiwa, Wewe wastahili Naungana na Malaika miguuni pako nikisema hakika wastahili  Naungana na Maserafi miguuni pako nikisema hakika wastahili Wastahili, wastahili wastahili mwokozi You are worthy  You are worthy  You are worthy Lamb of God Wagiriire Wageriire,  Wagiriire Mwathani