Skip to main content

Posts

HAKUNA USILOWEZA | LYRICS - JACKIE M. OBIERO

  Hakuna usiloweza, Hakuna usiloweza   Nakwabudu kwa Roho Naye Roho anipa ufahamu Kwamba wewe ni mungu Ushindwi na lolote Wewe ni Mungu wa vyote   Hakuna usiloweza, Hakuna usiloweza Hakuna usiloweza, Hakuna usiloweza   Waonyesha rehema kwa yule upendaye, Sio kwa nguvu, mamlaka, ila kwa Roho wako tu, Ni rehema yako kwa mwanadamu kumfanyia mema Ni rehema yako tu, kwa mwanadamu wee kumfanyia mema Ni rehema, rehema, rehema yako, watufanyia mema Ah ukipendezwa, pendezwa wewe wa angaza njia zetu uu Mungu mkubwa, Mungu mkubwa eh Haku-u-una   Hakuna usiloweza, Hakuna usiloweza   Hakuna usiloweza, Hakuna usiloweza   Hakuna usiloweza, Hakuna usiloweza

FAITH MBUGUA HAKUNA MUNGU KAMA WEWE | LYRICS

  Hakuna Mungu Kama wewe Hakuna Mungu Kama wewe Uko juu sana wala kule kuzimu Hakuna mungu kama wewe (Repeat)   Ndiri na ciugo jiganiru Ciakwaria uhoro wa unene waku hindi ndahoya tauria uturaga moyo honania inya waku umuthi   Gutiri ngai ungi tawe Gutiri ngai ungi tawe Iguru mono ona kuria kuriku

MercyLinah - Mwenye Nguvu (Official Video)| LYRICS

  Utendaye mambo makuu yasiyotafutikana Mambo ya ajabu yasiyohesabika Ufanyaye njia jangwani Na mito ya maji nyikani Eeeh Mungu mwaminifu usiyeshindwa   Mwenye Nguvu, Ni wee mwenye mamlaka, ni wee Mwenye uweza, ni wee Ehh Yahwe, ni wee   Ooh Yahwe, Yahwe Oooh Yahwe Twakuheshimu Twakuabudu

RAFIKI MWEMA | Chandelier de Gloire | LYRICS

  Kuna yule aliyenipenda   Si kwa ajili ya mali   Alinipenda wala hakujali udhaifu wangu Akanionyesha upendo ambao sijaona kwa wengine Huyu halali wala, hasizinzii   Hata leo hajawai kunichoka  Sikumtafuta, ni yeye aliyekuja kwangu   Ingawazaje dhambi, makosa yangu  Yesu alinipenda wa kwanza Nikamwamini, yeye kanisamehe dhambi Upendo wake, Yesu yeye wanishangaza Yesu, huyu Yesu, Rafiki mwema Yesu, huyu Yesu ninampenda  (Repeat) Yesu Kristo Bwana wangu, ni Rafiki mwema ( x4) Yesu huyu Yesu Rafiki mwema Yesu huyu Yesu ninampenda  (Reapeat)

Mungu Wetu By Israel Ezekia (Official Video) | LYRICS

Mungu Wetu, Mwenye uweza wote, Tunakuimamia, Mtawala wa Kila kilichopo,  Tunakupa sifa wewe Twa kwabudu Yesu, Twakuinua Yesu, Wema wako, Fadhili zako, Huruma zako, Uweza wako,  Yesu, wee wa pekee

Essence of Worship - Tunaleta Sifa (Official Music Video) | LYRICS

  Wewe ni Mungu  Hakuna mwingine wa kuabudiwa  Unastahili sifa zote  Wewe ni Bwana aah  Tunaleta sifa zetu kwako  Maana wewe ndiwe Mungu mkuu  Tunaleta sifa zetu kwako Bwana  Tunaleta sifa zetu kwako  Maana wewe ndiwe Mungu mkuu  Tunaleta sifa zetu kwako Bwana  Usifiwe Yahweh  Usifiwe Yahweh  Kazi yako ya msalaba  Yanifanya kuwa salama  Usifwe Yahweh  Upendo wako wa milele  Umenifanya niendelee  Usifiwe Yahweh  Usifiwe Yahweh  Usifiwe Yahweh  Usifiwe Yahweh  Halleluyah Yahweh  Halleluyah Yahweh 

Zoravo - Sina cha kukurudishia (Ahsante) | LYRICS

Sina cha kukurudishia eh Bwana Kwa fadhili zako maishani mwangu Umefanya yaliyo makubwa Wewe ni mwema Wewe ni mwema (repeat)   Ahsante, ahsante, ahsante Kwa fadhili zako (repeat)