Skip to main content

Posts

Moyo | Eliya Mwantondo ft Paul Seleli | Lyrics

Naomba Uniguze Bwana Naomba Uniguze Bwana Guza moyo wangu Guza moyo wangu Naomba Uniguze Bwana Naomba Uniguze Bwana Guza moyo wangu Guza moyo wangu Naomba uniponye Bwana Naomba uniponye Bwana Ponya moyo wangu Ponya moyo wangu Naomba uniponye Bwana Naomba uniponye Bwana Ponya moyo wangu Ponya moyo wangu Naomba Uniguze Bwana Naomba Uniguze Bwana Guza moyo wangu Guza moyo wangu Naomba unigange Bwana Naomba unigange Bwana Ganga moyo wangu Ganga moyo wangu Naomba Uniguze Bwana Naomba Uniguze Bwana Guza moyo wangu Guza moyo wangu Yesu wee eeh ewe Yesu wee eeh ewe Guza moyo wangu Guza moyo wangu Yesu wee eeh ewe Yesu wee eeh ewe Ponya moyo wangu Ponya moyo wangu Yesu wee eeh ewe Yesu wee eeh ewe Ponya moyo wangu Ponya moyo wangu Yesu wee eeh ewe Yesu wee eeh ewe Ponya moyo wangu Ponya moyo wangu Moyo wangu, Moyo wangu Nataka Nikuabudu wewe Yesu Moyo wangu Moyo wangu, Moyo wangu Nataka ukuabudu wewe Yesu Moyo wangu Moyo wangu, Moyo wangu Nataka ukuabudu wewe Yesu Moyo wangu Maisha yangu, Maish...

BAHATI - YAHWEH (Official Video) | Lyrics

Yahweh, Yahweh eh Mwamba wangu, we ni Mungu wangu Yahweh, Yahweh eh Mwamba wangu, nguvu yangu Inao nyingi shinda, umenipa ushindi Walipoteta Baba, ulisimama nami Baba wakati wa vita, ukaniita mshindi Kwa waisraeli ukaleta maji jangwani Umenibeba ka mtototo, na mama Umetimiza ndototo, za zama Umenibeba ka mtototo, na mama Umetimiza ndototo, zangu za zama Baba Yahweh, Yahweh eh Mwamba wangu, we ni Mungu wangu Yahweh, Yahweh eh Mwamba wangu, nguvu yangu Kwa hii safari, nifikishe salama Ingawa mitego mingi niondolee njiani Ninapokosa shukrani lawama Baba rehema zako kwangu hazikomi Baba niondolee, nami nikujue kiundani Niondolee kilicho ndani hakikupendezi Niondolee, marafiki wanafiki Niondolee Yesu niondolee Yahweh, Yahweh eh Mwamba wangu, we ni Mungu wangu Yahweh, Yahweh eh Mwamba wangu, nguvu yangu Umenibeba ka mtototo, na mama Nimetimiza ndototo, za zama Umenibeba ka mtototo, na mama Nimetimiza ndototo, zangu za zama Baba Yahweh, Yahweh eh Muumba wangu, nguvu yangu Yahweh, Yahweh eh Mw...

Paul Clement Ft Victor Maestro - Baraka (Official Video ) | Lyrics

  Ananiongezea baraka Naiona tofauti ya leo na jana Ananiongezea baraka Huyu ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka Ananiongezea baraka Naiona tofauti ya leo na jana Ananiongezea baraka Huyu ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka Ananiongezea baraka Naiona tofauti ya leo na jana Ananiongezea baraka Huyu ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka Ananiongezea baraka Naiona tofauti ya leo na jana Ananiongezea baraka Huyu ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka Amenijibu zaidi ya vile nivyo muomba Nimemuomba Kazi amenipa na ndoa Nimemuomba watoto amenipa na gari Huyu yesu anazidi kuninyeshea mvua ya baraka eh (Chants) Ananiongezea baraka Naiona tofauti ya leo na jana Ananiongezea baraka Nii Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka Ananiongezea baraka Naiona tofauti ya leo na jana Ananiongezea baraka Ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka Ananiongezea baraka Naiona tofauti ya leo na jana Ananiongezea baraka Ni Mungu, ni Mungu, ni Mungu wa Baraka Yeye aliye ia—nzisha safari Ataimaliza,yeye mwenye...

Joel Lwaga - Olodumare (Official Lyric Video) | Song Lyrics

Oh Baba Olodumare, My one and the only, The giver of Life, Equal to none  Hapa nasimama cos uko na mimi You never let me go Mipaka yangu umeitanulia mbali Even sky sio limit kwa hii kibali Hata haters wanashangilia  Kwa ndani umewa‘win’ hao! Sina kingine mimi najivunia zaidi yako Baba Ndio maana niko tuli nimetulia, we hunaga baya Hata wale wananionea husuda shabaha yao mbaya Watanipataje Mwamba umenifunika Bure wata‘tire’ Cos I know you You got me wey You got me You got me wey You got me Papa You got me wey You got me That’s why I never, never, never fall down You got me wey You got me You got me wey You got me Papa You got me wey You got me That’s why I never, never, never fall down Nikiteleza Baba unaniinua Hujanitupa wala hujanijutia Kama ni toba zimejaa gunia Ukweli ni kwamba tu umenihurumia Ningekulipa nini kama ungetaka Nilipe jema moja moja Maana hata hii pumzi ninayovuta Hakuna Dollar ingetosha Sina kingine mimi najivunia zaidi yako Baba Ndio maana niko tuli nimetulia...