Skip to main content

Posts

Eve Nyasha Ngoloma Ft Rebekah Dawn | Bila Wewe Siwezi | Lyrics

  Verse 1 Nimeonja wema wako (I've tasted Your godness) Nimeona uzuri wako (I've seen Your beauty) Naamini we ni yule yule (I believe You're still the same) Uliyetenda toka mwanzo (The One who's been faithful from the start) Basi ninakuamini (So I put my trust in You) Hata nikiwa mabondeni (Even in my lowest valleys) Naamini we ni yule yule (I believe You're still the same) Unayetembea nami (Walking beside me) Pre-Chorus Njoo hima uniokoe Bwana (Make haste, come and save me, Lord) Usichelewe niokoe Bwana (Don't delay, rescue me, Lord) Chorus Bila wewe siwezi, Siwezi Bwana (I can't make it without You, I can't, Lord) Pekee yangu siwezi, Siwezi Bwana (Left to myself, I can't make it, I can't, Lord) Bila wewe siwezi, Siwezi Bwana (I can't make it without You, I can't, Lord) Pekee yangu siwezi, Siwezi Bwana (Left to myself, I can't make it, I can't, Lord) Verse 2 Mwenye haki akilia (When the righteous one cries out) Bwana unamsikia (Y...

Naomi Wasonga | Wewe ni Mwema | Lyrics

  Twakutukuza Twakuinua Wewe ni Mungu Wastahili sifa (Fadhili zako) Ni mpya kila siku asubui (Wema wako) Wanizunguka pande zote (Yesu) Wewe ni mwema Wewe ni mwema Nitakuimbia maana umetukuka sana Farasi na mpanda farasi umewatupa baharini Bwana ni guvu zangu, tena wimbo wangu Nitakusifu wewe siku zote Wewe ni mwema Wewe ni mwema Wewe ni mwema Wewe ni mwema Wewe ni mwema  Mwema aaah ahh ah

Monica Gloria - Unajibu | Lyrics

  Verse 1 Unajua haya ya moyo wangu (You know the desire of my heart) Unajua ombi la moyo wangu (You know the prayer of my heart) Unajibu kwa wakati wako (You answer at your time) Unajibu kwa wakati unaofaa (You answer at the right time)*2 Chorus Ahadi zako ni Kweli na Amina (Your promises are Yeh and Amen) Neno lako ni Kweli na Amina (Your word is Yes and Amen) Njia zako ni kweli na Amina (Your ways are true/Yes and Amen) Verse 2 Bwana umetamalaki juu ya dunia na miungu yote (Lord you rule over the world/universe and all gods ) Umeamua Idadi ya nyota na kuzipa zote jina zao (You've determined the number of the stars; you've called them each by name) Maarifa yako hayaeleweki, umesimamisha sayari bila hata nguzo (Your knowledge is beyond comprehension, you've held the planet without any pillar) Ewe Mungu, ewe Mungu wa ajabu (You God*2 , are awesome ) Ewe Mungu, ewe u mkuu (You God*2, Are great) Chorus Ahadi zako ni Kweli na Amina (Your promises are Yeh and Amen) Neno...

Kestin Mbogo ft. Peter Watako | Ni Jina La Yesu | Lyrics

  Ni jina La Yesu Ni jina la Yesu oh Latupa nguvu na mamlaka Latupa nguvu na mamlaka (Repeat) Viwete watembea Viziwi wasikia Vipofu wanaona Wagonjwa wanapona Kwa hilo jina lake Yesu Kwa hilo jina lake Yesu Ni jina La Yesu Ni jina la Yesu oh Latupa nguvu na mamlaka Latupa nguvu na mamlaka (Repeat) Nyororo zinavunjwa Wokovu tunapata Na nguvu tunapewa Mamlaka tunajazwa Kwa hilo jina lake Yesu Kwa hilo jina lake Yesu Ni jina La Yesu Ni jina la Yesu oh Latupa nguvu na mamlaka Latupa nguvu na mamlaka (Repeat) Latupa nguvu na mamlaka Latupa nguvu na mamlaka (Repeat)

Israel Mbonyi | Malengo ya Mungu | Lyrics

  Atakaye kuwa na wema Ahitajie kuheshimiwa Basi aende ayatafute kwa kutenda mema bila kusita Asiyajali macho ya watu Maana yao sio muhimu Bali ajali jina nimuitalo Kwani mi ni Mungu aliyemuumba Chorus Ninayajua yangu malengo Ni mema sio mabaya Ili niwape matumaini ya siku zijazo Nawapenda Wambieni wenye huzuni Tulizeni wenye majelaha Wambieni waje waone Tuna Mungu mwingi wa upendo Alitukuta tukigagaa dhambini akatutoa Katuosha na kutusafisha Akatuahidi uzima wa milele Verse 2 Simameni kwenye mnara, usubiri ntakacho kisema Zizuieni sauti za muovu Na upende kuwa mwenye haki Nenda omba tena uombe Tofautisha kuomba kwako, Maana hapo nitakuokoa Nitaoa jeshi kubwa kwa ajili yako

AYALA | EUNICE NJERI MUTHII | LYRICS

  Nafsi yangu, zaidi yatamani maskani yako Mungu mwenye enzi Moyo wangu na mwili huu Wakulilia ee Mungu Jua langu, Ngao yangu Wanipa neema na utukufu Hakuna kitu chema Wewe wanyima watafutao uso wako  Kama ayala, aionavyo kiu Ndivyo nafsi yangu yakutamani (Repeat) Naweka moyo kweye hija Bonde la kilio nitapita  Naweka moyo kweye hija Sayuni kwako nisimame (Repeat) Nimekukimbilia, chemichemi ya uzima (Repeat)

KARURA VOICES - USIKUBALI | LYRICS

Nitaishi aje kama mtu Asiyekujuwa Usikubali Na wakati wangu ukifika Uniite nyumbani Kama hodari Na shetani akiomba ruhusa Aniangamize Usikubali Na shetani akiomba ruhusa Anikandamize Usikubali Chorus Usikubali Usikubali Siogopi kifo Naogopa kufa na sikujui Siogopi moto Sio wangu moto ni wa aadui Nimependwa na Baba Baba ah Alinifia Mwana Mwana ah Nimejazwa na Roho Roho oh Baba, Mwana, Roho

Ila YESU | Henrick Mruma | LYRICS

  Umejawa nazo nguvu Umeketi enzini Jina lako la shangaza,  La stajabisha Yesu (Repeat) Chorus Ila Yesu nimekunyoshea mikono Unatisha, haulinganishiki hata iweje (Repeat) Umetamalaki, umetamalaki, Uko juu sana Ya miungu yote Jina lako halifanani Hali lingani Na miungu mingine (Repeat) Chorus Ila Yesu nimekunyoshea mikono Unatisha, haulinganishiki hata iweje Umetamalaki, umetamalaki, Uko juu sana Ya miungu yote Jina lako halifanani Hali lingani Na miungu mingine (Repeat) Waamamisha milima Wapasua bahari Wafungua vifungo Wafufua wafu Chorus Ila Yesu nimekunyoshea mikono Unatisha, haulinganishiki hata iweje Umetamalaki, umetamalaki, Uko juu sana Ya miungu yote Jina lako halifanani Hali lingani Na miungu mingine (Repeat)

REJESHA | Njoki Munyi | LYRICS

Ijapo safari iwe na ugumu Utanishika mkono Ijapo adui aje kwa vishindo Bado wewe uko nami Iwapo safari iwe na huzuni Utayapanguza machozi Ijapo adui aje kwa vishindo Bado wewe uko nami Chorus Utayarejesha maono yangu Miaka yote iliyoliwa na nzige Nimeona wema wako Na nguvu zako maishani mwangu Iwapo safari iwe na giza Utaangaza njia zangu Ijapo adui aje kwa vishindo Bado wewe uko nami Iwapo safari iwe na ukame Wewe ni maji ya uzima Ijapo adui aje kwa vishindo Bado wewe uko nami Chorus Utayarejesha maono yangu Miaka yote iliyoliwa na nzige Nimeona wema wako Na nguvu zako maishani mwangu Refrain Akisema ndio akuna wa kupinga Nitasimama kwa agano lake Nimeona aa wema wako Na nguvu zako maishani mwangu Akifungua mlango hakuna atakaye funga Amesema amesema, Hakuna wa kupinga Nimeona aa wema wako Na nguvu zako maishani mwangu Akikubariki hakuna wakupinga Simama leo kwa hilo neno Nimeona aa wema wako Na nguvu zako maishani mwangu Akikuponya wewe umepona Simama leo kwa ahadi zake Nimeona aa we...